You are wrong, ukitak kufanikiwa kwanza jifunze kutoka kw walioshindwa then kutoka kwa waliofanikiwa. Umefik Mtwara ukakutan na changamoto ya uhaba wa mbogamboga sokoni, mboga bei ghali ukaona kuna fursa, lazima utafute kwanza wanaosupply hapo sokoni wanashindwa nini kuzalisha vya kutosha, wanakosa kitu gani, ukishasoma udhaifu wao nenda kajifunze kilimo cha nyanya kwa waliofanikiwa, then rudi mtwara kulima hizo nyanya! Biashara nyingi zenye ushindani ni namna hiyo, unajifunza weakness za washindani, unaboresha unakamata soko......Siku zote jifunze toka kwa waliofanikiwa sio toka kwa walioshindwa......
Mkuu fungua uzi mpya ambatanisha na picha i hope utapata msaadaJamani naomba mkulima mwenyewe ufahamu wa ugonjwa wa majani kujikunja Katika kilimo cha pilipili mbuzi dawa yake ni nini
Bora umesema ukweli na kutoa tahadhari kwa wanajamiiMkuu mm nipo humo kwenye hicho kilimo...soko kwa sasa haliheleweki kila mtu kalima tikiti alafu hesabu hizo ni za mitandaoni ingia kwenye field utaona....usitie watu moyo alafu wakaingia kwa fujo mwishowe wakakata tamaa ya maisha