We jomba penyeza apo kati.Taja kauli mojaya kibabe Sana,ambayo haikosekani kwenye daladala
Mie nilikutana na moja, "We dada nipe ya nyuma yako."
Hahahhahahahaha
Tuanzie hapa.Ningetamani ulete hata Nukuu za VITABU vilivyojaa MAARIFA.
Subiri nauli yako utapewa, pesa imekaa vibaya!Taja kauli mojaya kibabe Sana, ambayo haikosekani kwenye daladala
Mie nilikutana na moja, "We dada nipe ya nyuma yako."
Hahahhahahahaha