- Thread starter
- #61
Nchi ya Tanzania ina matatizo mengi sana yanafika hata bilioni,ukijitahidi kutatua moja halisaiidii kitu,kuhusu soka letu,baadhi matatizo yetu ya msingi ni yafuatayo
- Uongozi mbovu
- Simba na Yanga
- Mfumo wa Ligi ni mbovu
- Hatuna mipango endelevu ya muda mrefu
- Hatuna makocha wazawa wenye ujuzi na uzoefu wa kutosha
- Wachezaji hawajitumi/hawana morali na timu ya Taifa
- Tunaajiri makocha ambao wanapenda fomesheni ya kujilinda sana
Pia makocha nao ni vilaza sana tu.