kinyanyamba
Member
- Apr 10, 2012
- 96
- 13
Mkuu tatizo ni wachezaji, hapa bongo hata aje wenger ama ferguson unadhani ndo tutacheza afcon ?.kinachotakiwa ni maandalizi ya academy za kutosha.mbona haohao makocha wakitoka hapa wanaenda kufanya vizuri sehemu nyingine?