SoC04 Taifa lina kipi cha kutoa katika majukwaa ya kimataifa na umiliki wa Mali asilia iwe kiteknolojia, kisiasa na kideolojia

Tanzania Tuitakayo competition threads

Isaka Jimmy

New Member
May 17, 2024
3
1
Kwa asilimia kubwa Sana taifa limekua liki tafuta na kuwepo katika jukwa la kimataifa kuzungumzia utajiri hasiria ambao Umekua kua ukichangia Sana katika pato la taifa pamoja na watu binafsi. Uwepo wa utajiri huo Bado ahutoshi kua kitambulisho cha taifa leo hii uki uliza watu waliopo Nje ya nchi wanahifahamu Tanzania vipi basi Uta ambiwa mlima Kilimanjaro;

Jambo Ambalo naona ni zuri lakini haikupaswa mazingira yako hasiria yawe utambulusho wako ambapo tunaweza kua na vitu vingi kua sababu ya utambulusho wetu katika majukwa ya kimataifa kama vile kushiriki mashindano ya Kiteknolojia duniani.

Mashindano ya kidiplomasia ata pia mashindano ya kisayansi. Yote haya yametokana nakutokuwepo na msukumo mzuri katika sekta za Kielimu na zile zinazo husika na eneo usika mfano ni kazi sana leo hii kumshawishi mtoto wa shule kupenda mambo ya sayansi kwakua ya mekua yakifanywa kimazoea kutoka kwa walimu wanao fundisha kwakua ni utimizaji wa wajibu kama mwalimu ila sio sabu anapenda kile afundishacho kwakua nae ame pokea kutoka kwa mtu ambae alikua akifundisha kwa kuhisi ni wajibu nasio sabu anapenda hivyo ni ngumu mtu huyo kua na uwezo wakumshawishi mwanafunzi apende sayansi ambayo leo hii ingeweza kua moja ya kitu ambacho tungeweza kutangaza katika majukwa ya kimataifa
 
apende sayansi ambayo leo hii ingeweza kua moja ya kitu ambacho tungeweza kutangaza katika majukwa ya kimataifa
Kama nimekupata vizuri kaka unamaanisha siai kama nchi tutafute kitu cha kukianzisha ndio tujivunie kuliko kujipa kichwa kwa vitu tulivyokuta tu vipo.

Wazo zuri, we have to make things happen. Kama wadachi walivyojijengea nchi yao kutoka kwenye maji, au ukuta mkuu wa wachina. Basi hata wenyewe tukijenga mabwawa makubwa na mafly over tutajimwambafai.
 
Kama nimekupata vizuri kaka unamaanisha siai kama nchi tutafute kitu cha kukianzisha ndio tujivunie kuliko kujipa kichwa kwa vitu tulivyokuta tu vipo.

Wazo zuri, we have to make things happen. Kama wadachi walivyojijengea nchi yao kutoka kwenye maji, au ukuta mkuu wa wachina. Basi hata wenyewe tukijenga mabwaya makubwa na mafly over tutajimwambafai.
Ubaya vitu tunavyo jivunia kua vinatutambulisha kama taifa vina athiriwa na mabadiliko ya nchi siku Tenno akisipo kuwepo na mlima kilimanjaro ukabaki Miamba tutajivunia nini?
 
Back
Top Bottom