Taifa la Tanzania lilipata hasara kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli

Taifa la Tanzania lilipata hasara kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,250
Reaction score
3,451
Baada ya kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli, taifa la Tanzania lilirudi nyuma hatua tano katika nyanja zote za kimaisha, kiuchumi, kisiasa na kijamii

Tumeona deni la taifa likiongezeka hadi trillion mia, tumeona uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma ukipungua,Tumeona wizi wa Mali ya Umma ukiongezeka na tumeona uzalendo wa Viongozi ukipungua.

Nini kifanyike?

2025 tunahitaji Rais ataerudisha heshima ya Taifa la Tanzania, tunahitaji Rais ataelipia hasara iliyotokea kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.
 
Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli alikuwa kiongozi wa kipekee mwenye uthubutu, mzalendo wa kweli, na mtendaji asiyeogopa changamoto alisimama kidete kwa ajili ya maslahi ya taifa, akapambana na ufisadi, uzembe na matumizi mabaya ya rasilimali za umma.

Kuna msemo usemao nyayo za tembo hazifutwi kwa ufagio.

Uongozi wa Magufuli umeacha alama kubwa alama ambazo zitabaki kuwa kipimo kwa kila anayekuja.
Kila kiongozi mpya atalinganishwa naye, kwa sababu aliweka viwango vya juu katika utendaji na uwajibikaji.
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli,taifa la Tanzania lilirudi nyumba hatua tano katika nyanja zote za kimaisha,kiuchumi,kisiasa na kijamii

Tumeona deni la taifa likiongezeka hadi trillion mia,tumeona uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma ukipungua,Tumeona wizi wa Mali ya Umma ukiongezeka na tumeona uzalendo wa Viongozi ukipungua.

Nini kifanyike?

2025 tunahitaji Rais ataerudisha heshima ya Taifa la Tanzania,tunahitaji Rais ataelipia hasara iliyotokea kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.
Hamna hasara yeyote iliyo tokea
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli,taifa la Tanzania lilirudi nyumba hatua tano katika nyanja zote za kimaisha,kiuchumi,kisiasa na kijamii

Tumeona deni la taifa likiongezeka hadi trillion mia,tumeona uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma ukipungua,Tumeona wizi wa Mali ya Umma ukiongezeka na tumeona uzalendo wa Viongozi ukipungua.

Nini kifanyike?

2025 tunahitaji Rais ataerudisha heshima ya Taifa la Tanzania,tunahitaji Rais ataelipia hasara iliyotokea kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.
Yupo wapi Ben sanane?
Anzory gwanda yupp wapi?
Alphonso mawazo yupo wapi?
Nani alimpiga Risasi Tundu lisu na kwann??
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli,taifa la Tanzania lilirudi nyumba hatua tano katika nyanja zote za kimaisha,kiuchumi,kisiasa na kijamii

Tumeona deni la taifa likiongezeka hadi trillion mia,tumeona uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma ukipungua,Tumeona wizi wa Mali ya Umma ukiongezeka na tumeona uzalendo wa Viongozi ukipungua.

Nini kifanyike?

2025 tunahitaji Rais ataerudisha heshima ya Taifa la Tanzania,tunahitaji Rais ataelipia hasara iliyotokea kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.
Kifo cha Magufuli = Good riddance to bad rubbish.

That does not mean nasifia uongozi wa sasa.
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli nchi imejiozea na watu wake wameshauzoea huo uozo. Wabunge wanaona deal kuingia bungeni tu kwenda kujikusanyia posho, access ya mikopo mikubwa na kugonga meza bila kuiwajibisha serikali. Mifumo na taasisi nyingi zinapaswa kufumuliwa na kusukwa upya na hili litawezekana tu pale wananchi wenyewe tutakapojua haki na nguvu yetu zidi ya uozo wote uliopo serikalini na katika taasisi zake.
 
Naunga mkono hoja ingawa alikuwa na mapungufu yake, lakini alitanguliza maslahi ya taifa tofauti na waja wa manyaaaazi, wenyewe uzalendo wao uko arabuni, ndio maana alivyoingia mwinyi tu alianzisha biashara ya twiga kwenda uarabuni. Lakini sisi makafiri tulitakiwa tukinukishe hadi sababu za kuuawa kwake ziwekwe wazi yaani mwili ungekaguliwa tena kujua kama ni sumu au mapenzi ya allah.
 
Updates... Polepole

Utamaduni, desturi na katika ya Chama cha Mapinduzi Rais Samia hatakiwi kupeperusha bendera ya CCM kipindi hiki kwa msingi kuwa amekuwa Makamu wa Rais, Mungu akampromote kuwa Rais, tunapokwenda kubadilisha awamu tunakwenda kusema tumewaletea hawa, tutakimbia kwa mwendokasi huu.

"Hatuwezi kuwa nchi inaendeshwa kama idara ya 'Fire', tunataka mtu ambaye anchukizwa na ulegelege huu"

, Salamu ya 'Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.... Kazi iendelee!' inamkiuka Mungu

"Ni Haki ya kila mmoja kugombea lakini haipendezi kwenye mchakato wa Ubunge ni Watu wa Familia za Viongozi."
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli,taifa la Tanzania lilirudi nyumba hatua tano katika nyanja zote za kimaisha,kiuchumi,kisiasa na kijamii

Tumeona deni la taifa likiongezeka hadi trillion mia,tumeona uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma ukipungua,Tumeona wizi wa Mali ya Umma ukiongezeka na tumeona uzalendo wa Viongozi ukipungua.

Nini kifanyike?

2025 tunahitaji Rais ataerudisha heshima ya Taifa la Tanzania,tunahitaji Rais ataelipia hasara iliyotokea kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.
"Na Mimi nataka niseme watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na kwa mabaya kwasababu nime sacrifice maisha yangu kwa wananchi hasa masikini"
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli,taifa la Tanzania lilirudi nyumba hatua tano katika nyanja zote za kimaisha,kiuchumi,kisiasa na kijamii

Tumeona deni la taifa likiongezeka hadi trillion mia,tumeona uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma ukipungua,Tumeona wizi wa Mali ya Umma ukiongezeka na tumeona uzalendo wa Viongozi ukipungua.

Nini kifanyike?

2025 tunahitaji Rais ataerudisha heshima ya Taifa la Tanzania,tunahitaji Rais ataelipia hasara iliyotokea kwa kifo cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.
Wewe ungeandika matusi tu unayotaka kumtukana SSH.Mambo ya marehemu achia makaburi.
 
Wewe ungeandika matusi tu unayotaka kumtukana SSH.Mambo ya marehemu achia makaburi.
kweli
Magufuli alikuwa na mapungufu kama binadamu wa kawaida
ILA
katika swala la malezi
kwangu binafsi atabaki kuwa
MZAZI NA BABA BORA WA MUDA WOTE.

Magufuli alijua vizuri malezi ya watoto wake.
Hata huyu Jesca hadi kujulikana kipindi kile
ni baada ya kufeli shuleni.

Na siku ya msiba wa baba yao
ndipo watu waliwaona vijana wakubwa kabisa wa marehemu.

Hatukuwahi kusikia wala kuwasoma sehemu
wakirumbana na trafic barabarani, kukwepa kodi bandarini wala kutumia nafasi ya baba yao kwa manufaa yao binafsi.

Je, ni nani hakuwafahamu akina Miraji kikwete, Ridhiwani kikwete?
ama hata huyu Abdul Samia?

Kwani Magufuli alishindwa kuwapa wanae hiyo nafasi?
Hata huyu Jesca kugombea mwaka huu
huo ubunge ni kiini macho tu
kutoka ile kambi ya mstaafu
wakiwaza kura za ukanda wa ziwa.
 
Naunga mkono hoja ingawa alikuwa na mapungufu yake, lakini alitanguliza maslahi ya taifa tofauti na waja wa manyaaaazi, wenyewe uzalendo wao uko arabuni ndio maana alivyoingia mwinyi tu alianzisha biashara ya twiga kwenda uarabuni.
Kama ni hivyo,hata shetani apendwe.
 
Back
Top Bottom