funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Je, ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Je, ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!