Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,403
Kwa baadhi ya ya tamaduni tai akitua juu ya paa lako...
Watu watakusanyika na kuanza kutoa maelezo mbalimbali
Wengine Watazomea na kupiga kelele, "Jamani eeh! Nuksi imetua!"😂
Wengine hata wataita waganga wa kienyeji
Na Wengine watafunga na kuomba.
Yote haya ni Kwa nini?
Kwa sababu kuna wazee waliwahi kusema tai ni wajumbe wa kifo.
Lakini ngoja nikuambie ....
Ndege yule yule anayeogopeka..
Huyo huyo tunayemuita mchafu na mwenye nuksi
Ndiye sababu ya sisi sote hatujafa kutokana na magonjwa mbalimbali
Iko hivi
TAI WANAKULA VITU VILIVYOFA… (mizoga) NA NDICHO KINACHOTUFANYA TUWE HAI.
Wanakula mizoga.
Nyama iliyooza.
Wanyama wanaooza.
Vitu ambavyo hakuna mnyama mwingine anayegusa.
Lakini ingekuwaje kama tai asingefanya hivyo?
Kama tai watatoweka leo-
Magonjwa kama vile kimeta, kichaa cha mbwa, nk yangeongezeka.
Kwa mfano yule mbwa aliyegongwa na kufa aliye kando ya barabara?
Nzi watakula.
Funza wataongezeka.
Bakteria watazidi ..Matokeo yake
Kifo kitaingia kwenye mnyororo wa chakula.
Kitaingia hewani.
Kitatuingia.
Lakini tai hutusaidia kuondoa huo uchafu bila kulalamika.. Na wala hatumpongezi
Wanakula kifo ili sisi tuishi.
Somo?
Wakati mwingine, wito wako utakupeleka kwenye maeneo machafu.Yasiyoonekana. na wengi na utaifanya, ili dunia dunia isioze
Sio kila shujaa huvaa manukato.
Wengine wananuka uvundo… ili wengine wapate harufu nzuri.😁
Inaendelea
Watu watakusanyika na kuanza kutoa maelezo mbalimbali
Wengine Watazomea na kupiga kelele, "Jamani eeh! Nuksi imetua!"😂
Wengine hata wataita waganga wa kienyeji
Na Wengine watafunga na kuomba.
Yote haya ni Kwa nini?
Kwa sababu kuna wazee waliwahi kusema tai ni wajumbe wa kifo.
Lakini ngoja nikuambie ....
Ndege yule yule anayeogopeka..
Huyo huyo tunayemuita mchafu na mwenye nuksi
Ndiye sababu ya sisi sote hatujafa kutokana na magonjwa mbalimbali
Iko hivi
TAI WANAKULA VITU VILIVYOFA… (mizoga) NA NDICHO KINACHOTUFANYA TUWE HAI.
Wanakula mizoga.
Nyama iliyooza.
Wanyama wanaooza.
Vitu ambavyo hakuna mnyama mwingine anayegusa.
Lakini ingekuwaje kama tai asingefanya hivyo?
Kama tai watatoweka leo-
Magonjwa kama vile kimeta, kichaa cha mbwa, nk yangeongezeka.
Kwa mfano yule mbwa aliyegongwa na kufa aliye kando ya barabara?
Nzi watakula.
Funza wataongezeka.
Bakteria watazidi ..Matokeo yake
Kifo kitaingia kwenye mnyororo wa chakula.
Kitaingia hewani.
Kitatuingia.
Lakini tai hutusaidia kuondoa huo uchafu bila kulalamika.. Na wala hatumpongezi
Wanakula kifo ili sisi tuishi.
Somo?
Wakati mwingine, wito wako utakupeleka kwenye maeneo machafu.Yasiyoonekana. na wengi na utaifanya, ili dunia dunia isioze
Sio kila shujaa huvaa manukato.
Wengine wananuka uvundo… ili wengine wapate harufu nzuri.😁
Inaendelea