Tahrir Square ya Tanzania

Tahrir Square ya Tanzania

Miaka ya 1950 kuna watu walikuwa wanamcheeeka Nyerere kuwa huyu kijana eti anataka kumuondoa Muingereza!

Kinachoniogopesha mimi wala siyo kufanyika kwa maandamano hayo, bali ni ile dhana kwamba kuna Watanzania wameanza kuwaza njia hatarishi kufikia mabadiriko wanayoyatamani, hii ndo point ya msingi ambayo wenye hekima lazima wajiulize tumefikaje huko?
 
Tanzania kwa sasa hakuna kitu kama hicho, lakini hii hali ikiendelea ya uonezi na shida zikiwazidia watu yatakuja kuwezekana vzr sana.
 
Tanzania kuna Rev square tu, ambayo nayo ikitokea kwa karne hii huwa imesinyaa.
 
"Sukuma supremacy"

Haya maneno nimekuta kule insta
 
miaka ya 1950 kuna watu walikuwa wanamcheeeka Nyerere kuwa huyu kijana eti anataka kumuondoa Muingereza!

Hoja yako ni nini?

Unamlinganisha Nyerere na nani unayedhani anayebezwa kuwa hawezi kuiondoa serikali madarakani?

Kumbuka pia Sababu za Mwl. Nyerere na mazingira zilikuwa tofauti na hizi so called sababu za hawa wa leo ambao wanapiga kelele kwenye mitandao.
 
Kinachoniogopesha mimi wala siyo kufanyika kwa maandamano hayo, bali ni ile dhana kwamba kuna Watanzania wameanza kuwaza njia hatarishi kufikia mabadiriko wanayoyatamani, hii ndo point ya msingi ambayo wenye hekima lazima wajiulize tumefikaje huko?
Hili ndio la msingi, hii dhana ikiendelea kujengeka serikali ya ccm ijichunge sana isirudie kufanya uonevu kwa halaiki. Polisi watafyatua risasi baadae wataona ni upuuzi kuendelea kuua ndugu zao. mapinduzi yatatimia.
 
Kwa serikali hii ya Sizonje, ataua wote watakaoandamana kwa maana ndiyo style yao hawa madhalimu.
 
Ni 1% tu ya waTanzania ndio wanaokesha mitandaoni na kusema sema ila 99% wapo kitaani wanafanya hustling hawana habari

Ukifuatisha mitandao utaingia cha kike ni asilimia ndogo ila wengi hawana habari masokoni,kazini,na mitaani .watazungumza siku au dakika kadhaa yataisha

Usiseme waTanzania sema vijana wa mitandaoni niamini huku mitaani hawana habari na maandamano
 
Hatua tuliyofika ni mbya imefika wananch wanajiorganise kuandamana bila kuwa na kiongozi na hatua yakutoa matusi kwa kiongoz mkubwa wa nch ujue tumefika hatua ya kukata tamaa.serikali ijitasmini wapi wanakosea?libya misri tunisia ethiopia ilianza hvi hvi mdogo mdogo waswahili wanasema bandubandu humaliza gogo.gadafi aliwapa watu wake kila ki2 akasahau kuwapa uhuru wakupumua kutoa yaliyomo kifuani hatma yake ndyo yale yaliyotokea.serikali ijitasmini,ni wapi wanakosea
 
Tanzania hakuna kiwanja free vina wamiliki huwezi kuingia popote kama misri.Ukiingia kwa nguvu kitachokupata utajijua
 
Hoja yako ni nini?

Unamlinganisha Nyerere na nani unayedhani anayebezwa kuwa hawezi kuiondoa serikali madarakani?

Kumbuka pia Sababu za Mwl. Nyerere na mazingira zilikuwa tofauti na hizi so called sababu za hawa wa leo ambao wanapiga kelele kwenye mitandao.
Kile kitendo cha watu kuanza kuongea tu mitandaoni suala la kuandaa mgomo nayo ni hatua usibeze.
 
Back
Top Bottom