Tahrir Square ya Tanzania

Tahrir Square ya Tanzania

Wanapiga kampeni za kuandama kwenye social media(sio mwanzisha huu uzi) wenyewe hawana ata ujasiri wa kutumia majina yao!
Mwenyekiti wa Chadema mwenyewe kajificha kwa kuogopa kujisaidia kwenye debe!
Wanapiga kampeni nje ya nchi hata kuja holiday hawasubutu, ndio maandamano!

Halafu kuna wachache bila kufikiria watataka kutimiza azma yao...wajinga ndio waliwao!!!
 
Tanzania hakuna kiwanja free vina wamiliki huwezi kuingia popote kama misri.Ukiingia kwa nguvu kitachokupata utajijua
Unafikiri wanaoandaa hawalijui hilo au unadhani wanaandama sherehe ya watu kwenda kula pilau.
 
Kile kitendo cha watu kuanza kuongea tu mitandaoni suala la kuandaa mgomo usidharau nayo ni hatua.
Anzeni kwa kutumia majina yenu halisi na mpige kampeni za wazi wazi!
Mwenyekiti wenu mwenyewe kajificha kwa kuogopa kujisaidia kwenye debe ndio mnataka sisi tuandamane?!
 
Nyani Ngabu kama ulikushinda UKUTA utaweza nini tena, we endelea kulea wazee wa kizungu maandamano Tanzania yamebaki historia!
 
Wanapiga kampeni nje ya nchi hata kuja holiday hawasubutu, ndio maandamano!
Arab spring walioongoza mapinduzi yale ni diasopora ambao walikuwa na uraia wa nchi mbili,kote mapinduzi ya Iran na Afghanstan yote yaliongozwa na diaspora kama mainjinia.Tanzania kulijua hilo imegoma hadi leo kata kata swala la kukubali duo citizenship.Mtu achague moja kuwa mtanzania au raia wa huko aliko.Hivyo uwezo wa Diaspora kuota kuwa yale ya arab spring wanayaweza sio kweli.Kenya,Uganda,Rwanda waweza lakini Tanzania ni Diaspora Bullet Proof.Na sababu ya kutoruhusu hao wenye uraia pacha wanaogopa wakikanyaga Tanzania na uraia wao pacha hawarudi tena.Ndio maana hata likizo wanagopa kuja wakati midiaspora ya Arab spring ilikuwa ikiingia na kutoka kama chooni.Kwenye zile nchi zao
 
Anzeni kwa kutumia majina yenu halisi na mpige kampeni za wazi wazi!
Mwenyekiti wenu mwenyewe kajificha kwa kuogopa kujisaidia kwenye debe ndio mnataka sisi tuandamane?!
Panua uelewa.

Maandamano yaliyoiondoa serikali ya Misri, Tunisia na Libya, yaliandaliwa mitandaoni bila ya kuwa na kiongozi yeyote. Yawezekana upeo wako ni mdogo kiasi cha kutojua nguvu ya upashanaji habari kwa njia ya social media.

Usitegemee kuwa ili serikali ianguke, unahitaji wananchi wote waandamane. Wanavijiji kwa ujumla huwa hawana uamuzi wowote kwa serikali kuwepo au kutokuwepo pale njia ya uchaguzi inapokosa kutumika.
 
Anzeni kwa kutumia majina yenu halisi na mpige kampeni za wazi wazi!
Mwenyekiti wenu mwenyewe kajificha kwa kuogopa kujisaidia kwenye debe ndio mnataka sisi tuandamane?!

barafuyamoto
Kila post chadema chadema chademaaaa, inakuuma sana nini? waandike na ccm kdg tupumue

ushauri ni kwa upande mmoja,na kweli awaache mpumue
 
Sema utaandamana kisayansi semea nafsi yako ukiweka tutaandamana humjui vizuri huyo mtakayeandamana naye ni nani na aweza kukufanya nini
Hata wakati wa mapinduzi ya Libya kulikuwa na watu kama wewe mitandaoni, nikukumbushe tu kauli ya Membe aliyekuwa waziri wa mambo ya nje naye alikuwa akibeza kuwa 'nchi haiwezi kupinduliwa kwa pickup', kilichotokea ni historia.
 
Kwanza watanzania wengi sasa wanamiliki Internet,ni jinsi tu ya kujipanga
 
Kwa nini tusiende mahakamini kwanza kuomba haki yetu ya kuandamana, mahakama zikitoa tafsiri ya nini haki ya wananchi kuandamana, ndipo tufanye maandamano.
 
Anzeni kwa kutumia majina yenu halisi na mpige kampeni za wazi wazi!
Mwenyekiti wenu mwenyewe kajificha kwa kuogopa kujisaidia kwenye debe ndio mnataka sisi tuandamane?!
Anzia kwako tafadhali tutajie jina lako usijiite babu M mana M haijulikani inamaanisha matako,matango,mapumbu,mazuzu ama nini mkuuu
 
Pascali kushindwa kuandamana kutoa hisia zao ndiko kunazalisha matukio kama yale ya Rufiji na Kibiti. Sasa jee tunapenda yale matukio ya kudunguliwa wenye nguo za kijani na kofia za dola yajirudie? Na mbaya zaidi watu wakihamasishana inaweza isiwe Kibiti na Rufiji tuu bali sehemu mchanganyiko. Waacheni watu waandamane kwa amani na kutoa hisia zao kama wale wa Kenya pale Uhuru park walio kusanyika zaidi ya milioni na hakuna aliyerudi nyumbani na jeraha
 
Back
Top Bottom