Taharuki; Pantoni kubwa kigamboni hatarini

Taharuki; Pantoni kubwa kigamboni hatarini

uwezo wake nikubeba abiria elf 2000 waliokaa, lakini kwa Leo wamesimama juu na chini wamebanana


Hatujifunzi kutoka MV Bukoba na MV Nyerere, tatizo lipo wapi!! Mbona tuna nidhamu sana kwenye usafiri wa anga why not surface na marine
 
Umewahi kushuhudia kimebeba watu 4000?
images-5.jpeg
 
unakuta na wanaume wamo humo na vitambi vyao wanashindwa kuogela hapo tu🙄🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom