kwa hali ile watu tulijaa sana Leo, kwa ule msongamano huenda hata tulizidi zaidi ya 4000, wewe ebu fikiria tumeshuka Gari zote stand ya daladala zote zilijaa na tukabaki , mwendo kasi zilijaa, na tukabaki, wengine wametembea kwa miguuMlikuwa 4000?
Elfu 4 unaijua au unaisikia? Hapa naona shida darasa.Habari za hivi punde;
abiria takribani zaidi elf 4,wapo ndani ya maji karibia kwa saa moja sasa, Engine inayofanya kazi ni moja tu, Kivuko kibovu pia inadaiwa kivuko kimebeba watu idadi kubwa zaidi .
kwa hali ile watu tulijaa sana Leo, kwa ule msongamano huenda hata tulizidi zaidi ya 4000, wewe ebu fikiria tumeshuka Gari zote stand ya daladala zote zilijaa na tukabaki , mwendo kasi zilijaa, na tukabaki, wengine wametembea kwa miguu
Duuh shukurun Mungu mmevuka salama
Mbona hapo katikati hakuna watu au wameshuka? Lakini idadi hii ya kwenye picha ni zaidi ya elfu sita kwa jinsi nilivyohesabu na kuzidisha kisha nikamatapulayi na kudivaidi by zero. Fanyeni uzalendo kwa baadhi yenu kujitolea kushuka.
[emoji23][emoji23][emoji23]umematipulayi mara ngapMbona hapo katikati hakuna watu au wameshuka? Lakini idadi hii ya kwenye picha ni zaidi ya elfu sita kwa jinsi nilivyohesabu na kuzidisha kisha nikamatapulayi na kudivaidi by zero. Fanyeni uzalendo kwa baadhi yenu kujitolea kushuka.
Kwanini mbona bado hatujamaliza mjadala?Duuh shukurun Mungu mmevuka salama
Mnaongea mkiwa na experience ya kupanda hivyo vivuko au mnacomment kuchangamsha baraza tu? Hizo habari nadhani mtuachie sisi wakazi wa kigamboni ndio tunajua maisha ya pale ferry... KTY Kivuko kidogo cha MV kazi kina capacity ya watu 800 na magari 20 lakini mara nyingi asubuhi na jioni hubeba abiria mara mbili ya uwezo wake na kuna kipindi huwa kinabeba abiria tu kutokana na wingi wa watu... Sasa capacity ya MV Magogogoni ni mara mbili ya MV Kazi! go figureHata wajaze vipi hawawezi kufika 1,000
Kikubwa wamevuka salama huu mjadala ata ukiendelea mpk keshoKwanini mbona bado hatujamaliza mjadala?
Elfu nne ni wachache..I have seen the worst!Umewahi kushuhudia kimebeba watu 4000?
Hapana hii picha siyo ya leo nilikuwa natoa kama mfano linavyojazaDuuh shukurun Mungu mmevuka salama
Elfu nne ni wachache..I have seen the worst!
Mkuu wewe sio mwana kigamboni, don't judge what you don't know! Do you think they like the situation? Au unaongelea mamlaka husika?Basi wakifa wasije kulialia humu.
Pole sana.....endelea kupambana uje Dar upaone utoe ushamba.....bahari sio bwawa mama
Wote hamna uwezo wa kujisimamia, siyo mamlaka hata nyie watumiaji wa kivuko hamna uwezo wa kujiongoza.Mkuu wewe sio mwana kigamboni, don't judge what you don't know! Do you think they like the situation? Au unaongelea mamlaka husika?
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteWote hamna uwezo wa kujisimamia, siyo mamlaka hata nyie watumiaji wa kivuko hamna uwezo wa kujiongoza.
Mamlaka husika ndo yenye kosaa... Mtu binafsi Huwezi zuiaa watu wasiingie kwenye panton yule anaefunga geti mlinzi ndo anaweza fanya hivyooo..Wote hamna uwezo wa kujisimamia, siyo mamlaka hata nyie watumiaji wa kivuko hamna uwezo wa kujiongoza.