Taharuki; Pantoni kubwa kigamboni hatarini

Habari za hivi punde;
abiria takribani zaidi elf 4,wapo ndani ya maji karibia kwa saa moja sasa, Engine inayofanya kazi ni moja tu, Kivuko kibovu pia inadaiwa kivuko kimebeba watu idadi kubwa zaidi .
Ngoja yatokee halafu tuunde tume bs.
 
Ukiachilia mbali meli ya Titanic..Yamato Meli kubwa ya kivita kuwahi kutokea duniani ilikuwa na uwezo wa kubeba watu 3000....sasa hki kivuko cha bongo cha kubeba watu 4000 sjakielewa
hiyo titatic watu elf 3 seated! ingekuwa bongo mfano isimamishe watu kama hivi wanaweza ingia watu elf 18000 kibongo bongo! bila kujali Safety kwa idadi inapozidi hata vifaa vilivyomo vya kujiokolea havitawatosha
 
Hapo hatuna waswas, kuna jeshi la maji lipo hapo na wavuvi poa hata rais ni jirni hapo lazma atapiga mbizi maana nakumbuka alishawai kusema tupge mbizi kipindi akiwa waziri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za hivi punde;
abiria takribani zaidi elf 4,wapo ndani ya maji karibia kwa saa moja sasa, Engine inayofanya kazi ni moja tu, Kivuko kibovu pia inadaiwa kivuko kimebeba watu idadi kubwa zaidi .


Hivi huu ujinga hapa Tanzania utaisha lini? Kila kukicha meli ama pantoni zinaruhusiwa kujaza abiria zaidi ya uwezo wake, ikizama wananchi wanalalamika na kuilaumu serikali. Nani alaumiwe hapa?
 
Sisi sirikali tūnasubiri madhara yatokee kwanza kisha tutumbuane alafu ndò tutaìta ghesi lije likitoe kivuko kisha tunàkikarabati
 
Hivi huu ujinga hapa Tanzania utaisha lini? Kila kukicha meli ama pantoni zinaruhusiwa kujaza abiria zaidi ya uwezo wake, ikizama wananchi wanalalamika na kuilaumu serikali. Nani alaumiwe hapa?
wanaoruhusu kujaza abiria, hata kama excuse yao waseme kwamba wanapunguza idadi ya magari swali, unapoongeza abiria kubwa kuriko maboya ya kuokolea maisha maana yake suala la usalama halizingatiwi kabisa
 
Back
Top Bottom