Tahadharini LG Tv Workshop usithubutu

Tahadharini LG Tv Workshop usithubutu

is it original sony?? nina moja hapa mwaka wa 4 huu!!
Ndio mkuu ni org. Wakati naanza maisha ya kujitegemea nilinunua kila kitu cha sony tena kipindi kike technical department yao ilikuwa mikocheni kule jirani na ilipokuwa Majembe auction.M na nilinunua kwa ushauri wao wa kiufundi kabisa, kweli nilikaa nazo kana miaka 3 hivi ikazingua moja nikaweka chonjo, sijakaa sawa ikazingua ya sebureni nikaona isiwe tabu nikatundika projector hadi leo ila Redio bado ninayo inadunda si kitoto.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa haya matatizo yaliyoorodheshwa hapa na members cku yangu ikijifanya nyoko nyoko nalirudia li chogo langu LA HITACHI nilolitupiaga stoo miaka 6 ilopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inafanya kazi ileile kama ya TV mkuu sema inatumia mwanga.
Ni projector kama zilivyo zingine sema yenyewe inatumia mfumo wa kisasa wa Digital Light Processing kutoa picha tofauti na zile zinategemea taa na rgb pekee, hii yenyewe imeongezewa kachip ndo hako kanaprocess hizo image kwa ubora zaidi.
Ukifunga hii hata kama una toto tundu home hautakuwa na stress za kuvunjiwa TV na manati, mana kitu kinamulika ukutani tena kwa size unayoitaka mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gharama yake ni kiasi gani?
 
Ahsante sana mkuu lakini ingekuwa poa safi ukanishauri kimuundo au matumizi inakuaje? Yaani ni kama projector ya kawaida unatumie na PC au inakuwaje!! Natanguliza shukran mkuu
Ukitaka picha nzuri tafuta yenye HDMI port unaunga na king'amuzi tu au PC hata DVD deki sasa hivi zipo zenye hdmi port.
Kuunganisha ni zile njia za kawaida tu kama kwa Tv.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mkuu ni org. Wakati naanza maisha ya kujitegemea nilinunua kila kitu cha sony tena kipindi kike technical department yao ilikuwa mikocheni kule jirani na ilipokuwa Majembe auction.M na nilinunua kwa ushauri wao wa kiufundi kabisa, kweli nilikaa nazo kana miaka 3 hivi ikazingua moja nikaweka chonjo, sijakaa sawa ikazingua ya sebureni nikaona isiwe tabu nikatundika projector hadi leo ila Redio bado ninayo inadunda si kitoto.


Sent using Jamii Forums mobile app

anyway technical faults zipo haswa kwa electronic appliances but so far kwa mtazamo wangu hawa jamaa (Sony) wapo vizuri katika electronics wanajua wanafanya nini!
 
Workshop Haina vifaa vya kugundua tatizo! Tofauti na kuna lao, niliingia ndani na kujionea mwenyewe.
 
Back
Top Bottom