johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,895
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa........ Usisahau kuwalinda wengine bwashee!Corona Extra ni Beer bwashee.
Hahahaaaa........ Usisahau kuwalinda wengine bwashee!Corona Extra ni Beer bwashee.
Mkuu huenda huyu bwashee amechanganyikiwa,siyo bure!Kwani Tanzania tuna corona bwashee?
Askofu Rashid katika ubora wakeWewe ni nani hata unataka uende kinyume na wabunge wako wa CCM?View attachment 1703037
Akili ya kuambiwa...changanya na ya kwako weye.... pia soma between lines!Magufuli aongee kwa style ipi hadi muelewe. Amesema million times Tanzania haina corona ila iliyopo ni ndogo
Anasema kukataa social distancing ni jambo sahihi ambalo litatupeleka sehemu sahihi!😆😆😆Askofu Rashid katika ubora wake
Anaimba pambio la kuusifu ufalme wetu pendwa kwa tamko.Anasema kukataa social distancing ni jambo sahihi ambalo litatupeleka sehemu sahihi!😆😆😆
Pole wewe Comrade kwasababu hizi gongo tulikua tunawauzia Mataga ili waweze kupata akili mbovu za kutukana mitandaoni.Poleni bwashee kwa mitambo ya gongo iliyokamatwa huko Rombo!
Boss unatembea kutoka wapi hadi wapi?Ndio maana nimeamua kutembea tu sitaki shida na mtu.
Kwa sasa Rombo iko kwenye red list!Pole wewe Comrade kwasababu hizi gongo tulikua tunawauzia Mataga ili waweze kupata akili mbovu za kutukana mitandaoni.
Level seat inatosha manka!Social distancing ukiwa unatumia public transport ni ngumu.
Ni ngumu sana, inawezekana tu kama kampuni za usafiri zinamilikiwa na serikali na inatoa ruzuku kufidia hasara.Level seat inatosha manka!
Umesikia kuwa mwanakondoo ameitwa kwa RPC Kinondoni?!Ni ngumu sana, inawezekana tu kama kampuni za usafiri zinamilikiwa na serikali na inatoa ruzuku kufidia hasara.
Usiwe mbinafsi!Kwani unataka serikali ije ipange safu za watu kwenye madaladala?
Serikali haijakukataza kununua gari lako mwenyewe!