johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,940
- 141,915
Leo jijini Dar es Salaam nimeshuhudia watu wengi wakiwa wamevalia barakoa na maeneo mengi kuna maji tiririka.
Hata benki na TRA nimeshuhudia barakoa za kutosha tu kwa watumishi.
Kiufupi wananchi wanajitahidi kuchukua tahadhari dhidi ya Corona ila kwenye vyombo vya usafiri ndio wanakofelishwa.
Ukiingia kwenye daladala au mwendokasi unaisikia kabisa harufu ya yule malaika Gabriel.
Serikali saidieni wananchi katika eneo hili la distancing.
Maendeleo hayana vyama!
Hata benki na TRA nimeshuhudia barakoa za kutosha tu kwa watumishi.
Kiufupi wananchi wanajitahidi kuchukua tahadhari dhidi ya Corona ila kwenye vyombo vya usafiri ndio wanakofelishwa.
Ukiingia kwenye daladala au mwendokasi unaisikia kabisa harufu ya yule malaika Gabriel.
Serikali saidieni wananchi katika eneo hili la distancing.
Maendeleo hayana vyama!