Tahadhari: Vijana mnaofanya kazi wenye mshahara laki 3 hadi 5

Mboka man

JF-Expert Member
Aug 22, 2020
478
1,638
Nimefuatilia na kuchunguza kusema ukweli vijana wengi wanapoteza muda wanavyofanya kazi wanaishia kulipwa mishahara ya laki 3 mpaka laki 5 na hapo ale chakula avae apendeze na mengineyo ahudumie familia mke na watoto bado hapo ndugu asaidie

Jioni vijana wanataka wale starehe, mwisho kijana anabaki hana kitu huku akijipa matumaini ya ipo siku kutoboa

Ukifika Umri wa miaka 35 mpaka 40 na bado unaendelea kupekea mshahara wa laki tatu hadi tano unaona ramani haisomi

Aisee fanya plan B haraka achana na hiyo kazi kimbilia kwenye biashara utakuja kudhalilika huko mbeleni kwani wengi wakifika 50 years akili inahamia ukistaafu usabili kiinua mgongo na mafao ndo uanze kujenga, kufanya investments

Hivyo vijana chukueni hatua mapema kupewa mshaara wa laki tatu, nne sijui tano hauwezi kufika popote
 
sasa mtaji tutatoa wapi
na unajua kabisa hiyo 300k,400k na 500k tunayopokea haitoshi

haya tupe plan b ya kupata mtaji tuache kazi tufanye biashara
Huyu hajui job market ya Tanzania ilivyo 70 to 80 % ni salary < 1,000,000 Gross salary, sio kirahisi kama unavyo zani utaacha kazi ukafanye businesses.#Punguza Assumptions
 
Nimefuatilia na kuchunguza kusema ukweli vijana wengi wanapoteza muda wanavyofanya kazi wanaishia kulipwa mishahara ya laki 3 mpaka laki 5 na hapo ale chakula avae apendeze na mengineyo ahudumie familia mke na watoto bado hapo ndugu asaidie

Jioni vijana wanataka wale starehe, mwisho kijana anabaki hana kitu huku akijipa matumaini ya ipo siku kutoboa

Ukifika Umri wa miaka 35 mpaka 40 na bado unaendelea kupekea mshahara wa laki tatu hadi tano unaona ramani haisomi

Aisee fanya plan B haraka achana na hiyo kazi kimbilia kwenye biashara utakuja kudhalilika huko mbeleni kwani wengi wakifika 50 years akili inahamia ukistaafu usabili kiinua mgongo na mafao ndo uanze kujenga, kufanya investments

Hivyo vijana chukueni hatua mapema kupewa mshaara wa laki tatu ,nne sijui tano hauwezi kufika popote

Dunia nzima ina waajiri na waajiriwa. Usifikiri tunaweza kuwa na daraja moja la waajiri peke yao.

Punguza papara na kudhani wenzako wamefail.
 
Mkuu kwanza kitendo cha kutumia neno mshahala badala ya mshahara umezingua.Pili kitendo cha kusema mshahara wa 300k hadi 500k ni kupoteza muda pia umezingua.Mwisho kitendo cha wewe kusema kwamba waache ajira wafanye biashara pia umezingua.

Sasa ili kusaidia wote watakaosoma huu uzi wasivunjike Moyo napenda niseme yafuatayo.Mshahara hata uwe mkubwa kiasi gani au mdogo kiasi gani sio guarantee ya mafanikio katika maisha.Biashara hata iwe kubwa kiasi gani au ndogo kiasi gani pia sio guarantee ya mafanikio katika maisha.Nilichojifunza binafsi Msingi wa mafanikio uko katika Mambo matatu ambayo,Nidhamu,Ujasiri na Fursa.

Nidhamu ni uwezo wa kufanya Jambo sahihi kwa wakati sahihi na kwa usahihi.Ujasiri ni kuwa tayari kufanya Jambo sahihi,kwa wakati sahihi na kwa usahihi na FURSA ni Jambo sahihi katika wakati sahihi,kwa mtu sahihi.Nimejaribu kufupisha maelezo kwa kutumia maneno Jambo,Wakati,Ujuzi na Mtu.Sasa ili note mfano unaoeleweka kuwasaidi wale ambao wanalipwa mshahara wa 300,000.

Kwa ntu anayelipwa 300,000 kwa mwezi ambaye anataka kujikomboa anaweza kuanza kwa kufanya Biashara yoyote ambayo anaweza kuifanya katika muda wa ziada kwa mtaji ambao hauzidi 10% ya huu mshahara wake ambao ni 30,000/

Zipo Biashara nyingi sana unaweza kufanya kwa 30,000 kwa kutumia muda wa ziada.Biashara unazoweza fanya baada ya kutoka kazini.Biashara ambazo zinaweza kuwa na faida ya zaidi ya 40% ambazo unaweza kuzifanya.Mfano wa biashara ni kama vile Biashara ya kuuza karanga kwa kufungasha,Biashara ya kuuza virutubisho,Biashara ya kuuza matunda,Biashara ya kuuza viburudisha na vitafunwa kama maandazi na Chapati.Hizi biashara zote zina profit margin ya kati 15% mpaka 40%

Kadiri mtaji wako unavokuwa na biashara yako inavokuwa,Jitahidi kuwa na malengo na kufanya scaling up.Cha muhimu ni kutambua kwamba kila mtu anayo nafasi ya kufanikiwa cha muhimu ni kuhakikisha unajiongezea ujuzina utaalamu na unakuwa na uwezo wa kutambua na kutambua fursa zinazokuzunguka.
 
Unabidi kujua kuwa kuna watu wanaingiza kwa mwezi mil 100 na hawanywi pombe wala kufanya starehe za wanawake wala kwenda club.

Kijana anayeingiza laki tano kwa mwezi then akafanya Anasa maana yake huo mchezo akiuongiza katika biashara uwezekano wa yeye kufulia 90%

Binafsi MTU asiache kazi Ila ajifunze kuweka akiba na baadae aangalie Kama atapata passive income.
 
Unabidi kujua kuwa kuna watu wanaingiza kwa mwezi mil 100 na hawanywi pombe wala kufanya starehe za wanawake wala kwenda club.

Kijana anayeingiza laki tano kwa mwezi then akafanya Anasa maana yake huo mchezo akiuongiza katika biashara uwezekano wa yeye kufulia 90%

Binafsi MTU asiache kazi Ila ajifunze kuweka akiba na baadae aangalie Kama atapata passive income.
Ushauli mzuli

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Nimefuatilia na kuchunguza kusema ukweli vijana wengi wanapoteza muda wanavyofanya kazi wanaishia kulipwa mishahara ya laki 3 mpaka laki 5 na hapo ale chakula avae apendeze na mengineyo ahudumie familia mke na watoto bado hapo ndugu asaidie

Jioni vijana wanataka wale starehe, mwisho kijana anabaki hana kitu huku akijipa matumaini ya ipo siku kutoboa

Ukifika Umri wa miaka 35 mpaka 40 na bado unaendelea kupekea mshahara wa laki tatu hadi tano unaona ramani haisomi

Aisee fanya plan B haraka achana na hiyo kazi kimbilia kwenye biashara utakuja kudhalilika huko mbeleni kwani wengi wakifika 50 years akili inahamia ukistaafu usabili kiinua mgongo na mafao ndo uanze kujenga, kufanya investments

Hivyo vijana chukueni hatua mapema kupewa mshaara wa laki tatu ,nne sijui tano hauwezi kufika popote
Kwani utakapostaafu si unao watoto watakusaidia maisha
 
Nimefuatilia na kuchunguza kusema ukweli vijana wengi wanapoteza muda wanavyofanya kazi wanaishia kulipwa mishahara ya laki 3 mpaka laki 5 na hapo ale chakula avae apendeze na mengineyo ahudumie familia mke na watoto bado hapo ndugu asaidie

Jioni vijana wanataka wale starehe, mwisho kijana anabaki hana kitu huku akijipa matumaini ya ipo siku kutoboa

Ukifika Umri wa miaka 35 mpaka 40 na bado unaendelea kupekea mshahara wa laki tatu hadi tano unaona ramani haisomi

Aisee fanya plan B haraka achana na hiyo kazi kimbilia kwenye biashara utakuja kudhalilika huko mbeleni kwani wengi wakifika 50 years akili inahamia ukistaafu usabili kiinua mgongo na mafao ndo uanze kujenga, kufanya investments

Hivyo vijana chukueni hatua mapema kupewa mshaara wa laki tatu ,nne sijui tano hauwezi kufika popote
Mkuu
Omba mods warekebishe lugha
Hakuna neno Mishahala ni Mishahara au Mshahara.

Unaharibu kiswahili chetu
 
Back
Top Bottom