Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,330
- 6,116
Umenikumbusha miaka kadhaa iliyopita, kwenye lift za IFM daaah kuna wadada wawili walivua t-shirts live joto lilivyokolea tulikwama kama dakika 10 tu.
Hapana ni lile la pale makaburi ya mjerumani mkabala na ofisi za nhif kama unaenda ofisi za Tanga Fresh za Zamani.Pole sana mkuu, si lile jengo pale karibu na NMB na CRDB?

Umenichekesha sana mkuu, ila kwakweli serikali ingeweka viwango vya aina ya lift na technology salama na ifuatwe na watu woteAisee niliruka kama mshale, sijui nguvu zilitoka wapi.
Tangu siku hiyo kitu kinaitwa lift sitaki na sikitaki maishani mwangu. Shubhaamit
![]()
Umenichekesha sana mkuu, ila kwakweli serikali ingeweka viwango vya aina ya lift na technology salama na ifuatwe na watu wote
SAWA ILA SUMATRA HAWAHUSIKILift nao si usafiri mkuu?
Haya maisha bhana... kila mtu huwa yanamgonga kwa style yake.
Tena kwa wale waoga ndo kabisa wanazimia...hizi teknolojia za lifti inabidi ziboreshweMi hatari sana aisee. Usifanye masihala
Usije ukarudia tena kulazimisha mlango wa lift kufungukaMimi pia ni mhanga, jengo la Mega complex Arusha, floor ya tano Kenyatta University.
Tulikuwa watatu vidume wote, jamaa yangu akaanza kulipiga ngumi, mlango mgumu balaa, Dakika kama Tano, Jenereta likawashwa hapo tushaanza onja joto ya jiwe kijasho.
Ni ombea mtu tu akusimulie.
Sent using Jamii Forums mobile app
....Unamkumbuka Othman?Umenikumbusha hadithi ya MDUARA ilikuwa inatoka kwenye gazeti la Sani miaka ya nyuma mwandishi akiwa Hussein Tuwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa kulikuwa na lift mbili moja ilikuwa mbovu mbovu.....sisi wazee wa floor ya 5 zilikuwa zinatutesatushawahi kukwama kwenye lift kama dk 15 tukiwa tumebanana kichz,pale hall5 udsm... aliyewah kukaa mule nadhan anafaham zile lift... tulkuwa tunajazana sana asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe nilikuwa sina uhakika sana, nadhani ni Amri Bawji. Huwa nawachanganya kwa kuwa uandishi wao unaelekeana na hadithi zao zilikuwa zinaandikwa gazeti la sani na kiu
...Ok, sawa nadhani uliteleza kidogo!Mimi mwenyewe nilikuwa sina uhakika sana, nadhani ni Amri Bawji. Huwa nawachanganya kwa kuwa uandishi wao unaelekeana na hadithi zao zilikuwa zinaandikwa gazeti la sani na kiu
Sent using Jamii Forums mobile app