Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

Yaani hata sikumbuki vizuri best, niliishia pale mchumba wake anamsisitiza aende akatibiwe sina hakika kama niliendelea zaidi ya pale

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichotokea pale kipindi Tiga anakoga jamaa akampigia Dk. Martine Lundi muongo, Tiga natoka bafuni anamkuta wanamlizia kuelekezana nyumba. Alichofanya alikuwa mpole Martine alivyoingia kukatokea sintofaham baada ya Tiga kuwasha ile swich ya feni mbovu na umeme ukakatika akapata upenyo wa kutoroka! Mchumba wake aliazawadiwa risasi kwa ghadhabu kutoka kwa Dk Lundi ila alifia hosptl. Sorry, (@) inahusika hapa. Kitafuta mkuu. Jamaa aliandika sana mle!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa kama tatu hivi zilizopita nilikua Kariakoo kwenye jengo moja la ghorofa saba ambalo hutumika kama makazi ya watu na ofisi pia. Ofisi niliyokua naenda ipo ghorofa hiyo ya saba ambapo ilinilazimu nipande lift

Nilipobonyeza kitufe cha namba ya floor ninayoenda akawa amekuja dada ambaye kwa mavazi yake nikahisi alikua ametoka au anakwenda kwenye mazoezi (nadhani kwenye jengo lile ipo gym) hivyo ikanilazimu nibonyeze kitufe cha kumsubiria akapanda tukaondoka

Sekunde chache tu baada ya kuondoka tukiwa tunapita floor ya tatu taa zikazimika ndani ya ile lift, ikatoa mlio kama imegonga kitu halafu ikawa kama inarudi chini kisha ikasimama kabisaa! Yule dada akapiga yowe la ku panik. Nilipomwambia asiwe na wasiwasi tutatoka akanisogelea na kunikumbatia huku anaendelea kupiga kelele

Changamoto kubwa ni ile milango ya lift yenyewe ilivyokua mizito mpaka unahisi kabisa hata hizo kelele hazifiki popote. Nilinyoosha mkono na kubonyeza kitufe cha emergency bila kuondoa mkono(continuously) lakini hatukuweza kupata msaada kwa haraka

Hali ilikua ya taharuki kubwa maana kile kichumba cha lift ni kdogo, milango ni minene sana na joto lilikua linaongezeka. Tulikaa mle kama dakika saba au nane ambazo zilikua kama mwaka ndipo zikasikika sauti za watu kwa nje wakiwa wanashughulika kutufungulia mlango na muda walipofanikiwa kutufungulia yule dada niliyekua nae alikua amelala chini kwenye sakafu ya lift na akawa kama anaeelekea kupoteza fahamu!!!

Namshukuru Mungu tulitoka salama ingawa yule dada ilibidi apelekwe hospitali kwa hali aliyokua nayo maana hata mambo yake mengine ya kiuanamke (tafsida imezingatiwa) yalimuharibikia na ukizingatia mavazi aliyokua amevaa hakutarajia pengine mambo yamtokee wakati huo!

Wito wangu kwa watengeneza elevators, watengeneze lifts za milango transparent ili mtu aweze kuona nje angalau pressure inapungua kuliko hizi lift zenye milango utadhani gereza au kaburi aisee! Mtu unapokua unawaona watu nje unajua muda wowote unatoka. Amakweli kifo kwa binadamu ni sekunde tu!
Kuanzia j3 ni ngazi kwa kwenda mbele hadi ghorofa ya 3, wanaoenda namba 8 watajijua, nimeogopa mweee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia maandishi ndipo tulipojifunza ustaarabu tulionao sasa. Haijalishi andiko linakuvutia wewe au la, ila elewa kila andiko liwe la kipuuzi au la hekima lina impact kwenye jamii yoyote. Wengine wanavutiwa na maandiko matakatifu na wanayafuata ila wanajishuhulisha na shuhuli za kuzalisha kipato, maandiko yana sehem yake na umuhimu wake. Wengine hayajui na wala hawana mpango wa kuyajua maandiko yako uyaonayo bora na yanakuletea kipato na rizki mezani na wanaishi vyema pengine hata kukushinda wewe.
Nimekuuliza wawafaham hao jamaa wawili nikimaanisha kupitia maandiko yao kwani umeonyesha kutomuunga mkono mmoja wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hauhitaji maandishi mengi kunifahamisha.Nimekuandikia kuna mmoja mtunzi halafu mwingine muigaji.Wake up boy!Sneezing,?
 
Kilichotokea pale kipindi Tiga anakoga jamaa akampigia Dk. Martine Lundi muongo, Tiga natoka bafuni anamkuta wanamlizia kuelekezana nyumba. Alichofanya alikuwa mpole Martine alivyoingia kukatokea sintofaham baada ya Tiga kuwasha ile swich ya feni mbovu na umeme ukakatika akapata upenyo wa kutoroka! Mchumba wake aliazawadiwa risasi kwa ghadhabu kutoka kwa Dk Lundi ila alifia hosptl. Sorry, (@) inahusika hapa. Kitafuta mkuu. Jamaa aliandika sana mle!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nitafute mkwanja nikisake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa kama tatu hivi zilizopita nilikua Kariakoo kwenye jengo moja la ghorofa saba ambalo hutumika kama makazi ya watu na ofisi pia. Ofisi niliyokua naenda ipo ghorofa hiyo ya saba ambapo ilinilazimu nipande lift

Nilipobonyeza kitufe cha namba ya floor ninayoenda akawa amekuja dada ambaye kwa mavazi yake nikahisi alikua ametoka au anakwenda kwenye mazoezi (nadhani kwenye jengo lile ipo gym) hivyo ikanilazimu nibonyeze kitufe cha kumsubiria akapanda tukaondoka

Sekunde chache tu baada ya kuondoka tukiwa tunapita floor ya tatu taa zikazimika ndani ya ile lift, ikatoa mlio kama imegonga kitu halafu ikawa kama inarudi chini kisha ikasimama kabisaa! Yule dada akapiga yowe la ku panik. Nilipomwambia asiwe na wasiwasi tutatoka akanisogelea na kunikumbatia huku anaendelea kupiga kelele

Changamoto kubwa ni ile milango ya lift yenyewe ilivyokua mizito mpaka unahisi kabisa hata hizo kelele hazifiki popote. Nilinyoosha mkono na kubonyeza kitufe cha emergency bila kuondoa mkono(continuously) lakini hatukuweza kupata msaada kwa haraka

Hali ilikua ya taharuki kubwa maana kile kichumba cha lift ni kdogo, milango ni minene sana na joto lilikua linaongezeka. Tulikaa mle kama dakika saba au nane ambazo zilikua kama mwaka ndipo zikasikika sauti za watu kwa nje wakiwa wanashughulika kutufungulia mlango na muda walipofanikiwa kutufungulia yule dada niliyekua nae alikua amelala chini kwenye sakafu ya lift na akawa kama anaeelekea kupoteza fahamu!!!

Namshukuru Mungu tulitoka salama ingawa yule dada ilibidi apelekwe hospitali kwa hali aliyokua nayo maana hata mambo yake mengine ya kiuanamke (tafsida imezingatiwa) yalimuharibikia na ukizingatia mavazi aliyokua amevaa hakutarajia pengine mambo yamtokee wakati huo!

Wito wangu kwa watengeneza elevators, watengeneze lifts za milango transparent ili mtu aweze kuona nje angalau pressure inapungua kuliko hizi lift zenye milango utadhani gereza au kaburi aisee! Mtu unapokua unawaona watu nje unajua muda wowote unatoka. Amakweli kifo kwa binadamu ni sekunde tu!
Hii ni story ya kutunga, Kwa sasa hakuna rift yenye system umeme ukizima na yenyewe inasimama au kama ina tatizo lift haifungi milango

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa kama tatu hivi zilizopita nilikua Kariakoo kwenye jengo moja la ghorofa saba ambalo hutumika kama makazi ya watu na ofisi pia. Ofisi niliyokua naenda ipo ghorofa hiyo ya saba ambapo ilinilazimu nipande lift

Nilipobonyeza kitufe cha namba ya floor ninayoenda akawa amekuja dada ambaye kwa mavazi yake nikahisi alikua ametoka au anakwenda kwenye mazoezi (nadhani kwenye jengo lile ipo gym) hivyo ikanilazimu nibonyeze kitufe cha kumsubiria akapanda tukaondoka

Sekunde chache tu baada ya kuondoka tukiwa tunapita floor ya tatu taa zikazimika ndani ya ile lift, ikatoa mlio kama imegonga kitu halafu ikawa kama inarudi chini kisha ikasimama kabisaa! Yule dada akapiga yowe la ku panik. Nilipomwambia asiwe na wasiwasi tutatoka akanisogelea na kunikumbatia huku anaendelea kupiga kelele

Changamoto kubwa ni ile milango ya lift yenyewe ilivyokua mizito mpaka unahisi kabisa hata hizo kelele hazifiki popote. Nilinyoosha mkono na kubonyeza kitufe cha emergency bila kuondoa mkono(continuously) lakini hatukuweza kupata msaada kwa haraka

Hali ilikua ya taharuki kubwa maana kile kichumba cha lift ni kdogo, milango ni minene sana na joto lilikua linaongezeka. Tulikaa mle kama dakika saba au nane ambazo zilikua kama mwaka ndipo zikasikika sauti za watu kwa nje wakiwa wanashughulika kutufungulia mlango na muda walipofanikiwa kutufungulia yule dada niliyekua nae alikua amelala chini kwenye sakafu ya lift na akawa kama anaeelekea kupoteza fahamu!!!

Namshukuru Mungu tulitoka salama ingawa yule dada ilibidi apelekwe hospitali kwa hali aliyokua nayo maana hata mambo yake mengine ya kiuanamke (tafsida imezingatiwa) yalimuharibikia na ukizingatia mavazi aliyokua amevaa hakutarajia pengine mambo yamtokee wakati huo!

Wito wangu kwa watengeneza elevators, watengeneze lifts za milango transparent ili mtu aweze kuona nje angalau pressure inapungua kuliko hizi lift zenye milango utadhani gereza au kaburi aisee! Mtu unapokua unawaona watu nje unajua muda wowote unatoka. Amakweli kifo kwa binadamu ni sekunde tu!
Umenikumbusha 2012 nikiwa intercontinental hotel Adis Ababa lift ilinizimikia ghorofa ya 8.Bahati nzuri lift zao ni za wazi na za vioo hata hivyo walio chini wanakuona.Nikaona kitufe cha emergency nikabonyeza king'ora kikalia sana kuwaona watu chini wanapiga kelele nisaidiwe.Baada ya chini ya dakika mbili nikaona ninashushwa ghorofa ya saba mlango unafunguliwa na mafundi.Kutoka wakaniomba radhi nikapewa dola 20 kama samahani.
Nilichoshangaa umeme ulikatika king'ora kililizwa na nini kuulizia wakaniambia umeme ukikatika emergency button ina umeme wake mbadala ndio unasababisha king'ora kilie.
BONGO TUJITAFAKARI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku tulikua semina dodoma ilifanyikia chuo cha mipango, ile asubuhi tumejazana kwenye lift kwenda juu kufika floor ya 8 ikagoma ikaazaa kurudi chini kwa kasi ikafika mahari ikasimama tuliganda pale kama dk 5 na milango haifunguki, vilio vya kina dada vilitawala mle ndani ikabidi tuwe tunawatuliza maana joto lilikua kali na hewa inapungua hadi mafundi walipokuja, kuanzia siku hiyo kuna watu waliamua wawe wanapandisha ngazi hadi floor ya 12

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wanavyotengeneza hamna namna ya kupata natural air in normal way. Kiasi kwamba hata umeme ukizima watu wataelendelea kupata hewa wakati wanasubiri msaada. Au technologia yao lazima iwe totally closed!!

Mwenzenu Mara ya kwanza na mwisho kupanda lift ilikuwa March 2013 sujawahi tamani tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana jengo la CCM pale Lumumba St la ghorofa 8 wameachana na lift kabisa kina dada R. Mogela wameshazoea kupanda na kushuka ngazi kila siku!
Meza ya 'Mapokezi' yao iko chini ukiuuliza ofisi fulani gorofa ya sita hata kama hawapo atakwambia "wapo we panda juu" utahenya na ngazi na kukuta hola wamefunga au umekosea namba ya mlango! Inabidi ushuke ukamuone yule resepshenist! Anakuambia "jaribu mlango na. 8 ghorofa ya 8" unamwangalia kwa hasira! Kummeza huwezi! Hapoapo unamuuliza wapi naweza kwenda short call? Anakujibu gorofa ya nne kushoto baada ya ngazi! Ghafla kichefuchefu kinapanda! Chini! Kimya!
mbavu zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BBC HQ
bbcworldwide04.jpg
BBC-Worldwide-HQ-1-1.jpg
 
Back
Top Bottom