AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,879
- 5,605
Ndio hiyo ya kufungiwa kwenye sanduku la chuma.🤣Pole sana ndugu yangu inabidi twende na technology inavyo badilika

Ndio hiyo ya kufungiwa kwenye sanduku la chuma.🤣Pole sana ndugu yangu inabidi twende na technology inavyo badilika

Mkuu maana yangu ni kwamba kukiwa na vioo watu wanawaona kwahiyo ni mizuri kwaajili ya usalama, endapo mtu anataka kukudhuru inakuwa rahisi kuonekana ndio usalama ninaouzungumzia mimi.Nimefurahinkwelim kweli. Ati milango ya kioo nitauvunja!! Wadhani hicho lkioo ni laini tu kwamba ukipiga chafya tu tiyari kimevunjika?? Hapana. Kioo uzuri wake ni kuwa, wataalam wanawaona mpo wapi hivyo watafanya bidii kuwatoeni. Mlango wa lifti ni madhubuti saana kwa usalama wako pia.
Furaha na masikitiko ni huyo aliyebaki anamkumbatia mdada aliyeingiwa kifafa. Nadhani hata namba zake alikupa umpigie. Hapo ndio wamama mshike adabu mbele ya mwanamume
Kwa mara ya kwanza niliipanda ya malaika beach hotel yaani ni nzuri sana unajihisi uko salama hundred percentHata pale Shoppers Plaza ya Mikocheni ipo ya vioo japo vigorofa vyao ni viwili. Nyingine ipo jengo la NSSF Waterfront
Sio kuonekana tu hata pressure inakaa sawa kama unawaona watu kwa nje na namna wanavyoshughulika kukutoa kuliko ile milango mizito hujui kama kelele zako zinasikika? Au watu wanakuona? Pressure inakua juu kwa hofuMkuu maana yangu ni kwamba kukiwa na vioo watu wanawaona kwahiyo ni mizuri kwaajili ya usalama, endapo mtu anataka kukudhuru inakuwa rahisi kuonekana ndio usalama ninaouzungumzia mimi.
Pole sana, takataka kama hilo lipo TRA Dar es salaam, pale kukwama ni kila leo
Absolutely correctSio kuonekana tu hata pressure inakaa sawa kama unawaona watu kwa nje na namna wanavyoshughulika kukutoa kuliko ile milango mizito hujui kama kelele zako zinasikika? Au watu wanakuona? Pressure inakua juu kwa hofu
Huo muda ilitosha kabisa kumpiga mashine huyo mrembo..uliletewa mboga mezani ukaacha kula..bure kabisaSaa kama tatu hivi zilizopita nilikua Kariakoo kwenye jengo moja la ghorofa saba ambalo hutumika kama makazi ya watu na ofisi pia. Ofisi niliyokua naenda ipo ghorofa hiyo ya saba ambapo ilinilazimu nipande lift
Nilipobonyeza kitufe cha namba ya floor ninayoenda akawa amekuja dada ambaye kwa mavazi yake nikahisi alikua ametoka au anakwenda kwenye mazoezi (nadhani kwenye jengo lile ipo gym) hivyo ikanilazimu nibonyeze kitufe cha kumsubiria akapanda tukaondoka
Sekunde chache tu baada ya kuondoka tukiwa tunapita floor ya tatu taa zikazimika ndani ya ile lift, ikatoa mlio kama imegonga kitu halafu ikawa kama inarudi chini kisha ikasimama kabisaa! Yule dada akapiga yowe la ku panik. Nilipomwambia asiwe na wasiwasi tutatoka akanisogelea na kunikumbatia huku anaendelea kupiga kelele
Changamoto kubwa ni ile milango ya lift yenyewe ilivyokua mizito mpaka unahisi kabisa hata hizo kelele hazifiki popote. Nilinyoosha mkono na kubonyeza kitufe cha emergency bila kuondoa mkono(continuously) lakini hatukuweza kupata msaada kwa haraka
Hali ilikua ya taharuki kubwa maana kile kichumba cha lift ni kdogo, milango ni minene sana na joto lilikua linaongezeka. Tulikaa mle kama dakika saba au nane ambazo zilikua kama mwaka ndipo zikasikika sauti za watu kwa nje wakiwa wanashughulika kutufungulia mlango na muda walipofanikiwa kutufungulia yule dada niliyekua nae alikua amelala chini kwenye sakafu ya lift na akawa kama anaeelekea kupoteza fahamu!!!
Namshukuru Mungu tulitoka salama ingawa yule dada ilibidi apelekwe hospitali kwa hali aliyokua nayo maana hata mambo yake mengine ya kiuanamke (tafsida imezingatiwa) yalimuharibikia na ukizingatia mavazi aliyokua amevaa hakutarajia pengine mambo yamtokee wakati huo!
Wito wangu kwa watengeneza elevators, watengeneze lifts za milango transparent ili mtu aweze kuona nje angalau pressure inapungua kuliko hizi lift zenye milango utadhani gereza au kaburi aisee! Mtu unapokua unawaona watu nje unajua muda wowote unatoka. Amakweli kifo kwa binadamu ni sekunde tu!
Nimepiga ramli nimeona kuna mtu.hapo mtaani kwenu anakuloga.Njoo pm nikupe dawa na kukuibia vijihela kidogo.I'm kidding!Saa kama tatu hivi zilizopita nilikua Kariakoo kwenye jengo moja la ghorofa saba ambalo hutumika kama makazi ya watu na ofisi pia. Ofisi niliyokua naenda ipo ghorofa hiyo ya saba ambapo ilinilazimu nipande lift
Nilipobonyeza kitufe cha namba ya floor ninayoenda akawa amekuja dada ambaye kwa mavazi yake nikahisi alikua ametoka au anakwenda kwenye mazoezi (nadhani kwenye jengo lile ipo gym) hivyo ikanilazimu nibonyeze kitufe cha kumsubiria akapanda tukaondoka
Sekunde chache tu baada ya kuondoka tukiwa tunapita floor ya tatu taa zikazimika ndani ya ile lift, ikatoa mlio kama imegonga kitu halafu ikawa kama inarudi chini kisha ikasimama kabisaa! Yule dada akapiga yowe la ku panik. Nilipomwambia asiwe na wasiwasi tutatoka akanisogelea na kunikumbatia huku anaendelea kupiga kelele
Changamoto kubwa ni ile milango ya lift yenyewe ilivyokua mizito mpaka unahisi kabisa hata hizo kelele hazifiki popote. Nilinyoosha mkono na kubonyeza kitufe cha emergency bila kuondoa mkono(continuously) lakini hatukuweza kupata msaada kwa haraka
Hali ilikua ya taharuki kubwa maana kile kichumba cha lift ni kdogo, milango ni minene sana na joto lilikua linaongezeka. Tulikaa mle kama dakika saba au nane ambazo zilikua kama mwaka ndipo zikasikika sauti za watu kwa nje wakiwa wanashughulika kutufungulia mlango na muda walipofanikiwa kutufungulia yule dada niliyekua nae alikua amelala chini kwenye sakafu ya lift na akawa kama anaeelekea kupoteza fahamu!!!
Namshukuru Mungu tulitoka salama ingawa yule dada ilibidi apelekwe hospitali kwa hali aliyokua nayo maana hata mambo yake mengine ya kiuanamke (tafsida imezingatiwa) yalimuharibikia na ukizingatia mavazi aliyokua amevaa hakutarajia pengine mambo yamtokee wakati huo!
Wito wangu kwa watengeneza elevators, watengeneze lifts za milango transparent ili mtu aweze kuona nje angalau pressure inapungua kuliko hizi lift zenye milango utadhani gereza au kaburi aisee! Mtu unapokua unawaona watu nje unajua muda wowote unatoka. Amakweli kifo kwa binadamu ni sekunde tu!
Sasa ivi kuna elevator za Vioo at entrance na Pia zina Back up Power incase umeme umekata huku Inasubiri generator au umeme urudi basi inashuka floor ya chini yake na kufungua mlango mpaka power irudi
😀😀😀Nimepiga ramli nimeona kuna mtu.hapo mtaani kwenu anakuloga.Njoo pm nikupe dawa na kukuibia vijihela kidogo.I'm kidding!
Kumsubiria aingie lilikua ni jambo la kibinadamu zaidi mkuuMkuu, ulibonyeza unapokwenda, halafu ukabonyeza kumsubiri mdada...hapo ndipo zali lilipoanzia. Maji ukiyavulia nguo, shurti uyaoge,,,
Nakushauri mfuatilie huyo mdada hadi hospitali ili muendelee kuwasiliana, yajayo yanafurahisha. Kumbuka kutujuza maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wangu siamini kama hauna meno ya chini.😀😀😀
😛😛😛Mkuu wangu siamini kama hauna meno ya chini.
Hahahahaaa! Sasa ulivyotoa ulimi utadhani unalamba dawa.A-,maize-ng!😛😛😛