Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

Kiukweli binafsi kuanzia ghorofa ya kwanza - tatu huwa sipandi lift kabisaaa napiga zangu mdogo mdogo,naogopa mnoo na ikinilazimu kupanda hadi nifike niendako huwa nahisi presha kabisaa, sizipendi kabisaaaa.
Kama ukiliweza hilo ni uwamuzi mzuri sana Clkey
 
umenikumbusha 2016 ilikuwa siku ya harusi ya mdogo wangu, kwenye hoteli flani pale ubungo tulikuwa watatu tunashuka kwenye lift tumpeleke bibi harusi salom. umeme ukakatika tena ule wa mgao wa kukatika asubuhi kurudi jioni. sitasahau jamani tulikaa kwenye lift karibu nusu saa ilikuwa hekaheka mpaka kugundulika tumekwamia wapi, kumbe bahati nzuri tumekwama ground flour yani tulishafika chini, ndio ikaletwa chepe ikaingizwa kwenye mlango ukaanza kufunguliwa kwa lazima kukapatikana tu kaupenyo cha kuingiza hewa, wenzangu wawili niliokuwa nao walisha faint chini nguvu zimewaisha wanaswet balaa, mimi nimekazana na maombi jamani dah. tunasikia tu nje wanasema generator automatic ni bovu sijui na fundi hapokei simu jamani dah! sijui alitokea wapi msamaria mwema akachokonoa generetaro likawaka ndio mlango ufunguke tukatoka. sikuamini kama tumetoka salama kutokana na story za lift ambazo nishazisikiaga. kweli Mungu alitusaidia
 
umenikumbusha 2016 ilikuwa siku ya harusi ya mdogo wangu, kwenye hoteli flani pale ubungo tulikuwa watatu tunashuka kwenye lift tumpeleke bibi harusi salom. umeme ukakatika tena ule wa mgao wa kukatika asubuhi kurudi jioni. sitasahau jamani tulikaa kwenye lift karibu nusu saa ilikuwa hekaheka mpaka kugundulika tumekwamia wapi, kumbe bahati nzuri tumekwama ground flour yani tulishafika chini, ndio ikaletwa chepe ikaingizwa kwenye mlango ukaanza kufunguliwa kwa lazima kukapatikana tu kaupenyo cha kuingiza hewa, wenzangu wawili niliokuwa nao walisha faint chini nguvu zimewaisha wanaswet balaa, mimi nimekazana na maombi jamani dah. tunasikia tu nje wanasema generator automatic ni bovu sijui na fundi hapokei simu jamani dah! sijui alitokea wapi msamaria mwema akachokonoa generetaro likawaka ndio mlango ufunguke tukatoka. sikuamini kama tumetoka salama kutokana na story za lift ambazo nishazisikiaga. kweli Mungu alitusaidia
Pole sana nyantumba mambo hayo kama hayajakukuta huwezi kupata picha halisi. Na harusi ukaiona chungu. Bilashaka sasa hivi kabda ya kupanda lift unajiuliza mara mbilimbili
 
wengine tumeshazoea maana jengo nnalofanyia kazi kugoma lift nikawaida, kwahiyo tunajioneaga kawaida hata ukikaa robo saa poa tu, tushazoea, ishu huwa ni pale wanapokuja wageni ambao ni wapita njia sio wa jengo hilo ndo huwa wanahenya hatari sisi tunabaki kucheka
 
umenikumbusha 2016 ilikuwa siku ya harusi ya mdogo wangu, kwenye hoteli flani pale ubungo tulikuwa watatu tunashuka kwenye lift tumpeleke bibi harusi salom. umeme ukakatika tena ule wa mgao wa kukatika asubuhi kurudi jioni. sitasahau jamani tulikaa kwenye lift karibu nusu saa ilikuwa hekaheka mpaka kugundulika tumekwamia wapi, kumbe bahati nzuri tumekwama ground flour yani tulishafika chini, ndio ikaletwa chepe ikaingizwa kwenye mlango ukaanza kufunguliwa kwa lazima kukapatikana tu kaupenyo cha kuingiza hewa, wenzangu wawili niliokuwa nao walisha faint chini nguvu zimewaisha wanaswet balaa, mimi nimekazana na maombi jamani dah. tunasikia tu nje wanasema generator automatic ni bovu sijui na fundi hapokei simu jamani dah! sijui alitokea wapi msamaria mwema akachokonoa generetaro likawaka ndio mlango ufunguke tukatoka. sikuamini kama tumetoka salama kutokana na story za lift ambazo nishazisikiaga. kweli Mungu alitusaidia
Pole sana, naelewa hali hii mkikaa mda hata dakika 5 ni mlima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom