Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
Unapata panick attack u aweza kufa aisee.Robo saa ungekua kwenye zile lift za milango kama ya gereza hali yako sijui ingekuaje mkuu!
Hahaaa hii hali Mimi ilinikuta lakini sijawai fikiria kuacha tumia elevatorKuna siku tulikua semina dodoma ilifanyikia chuo cha mipango, ile asubuhi tumejazana kwenye lift kwenda juu kufika floor ya 8 ikagoma ikaazaa kurudi chini kwa kasi ikafika mahari ikasimama tuliganda pale kama dk 5 na milango haifunguki, vilio vya kina dada vilitawala mle ndani ikabidi tuwe tunawatuliza maana joto lilikua kali na hewa inapungua hadi mafundi walipokuja, kuanzia siku hiyo kuna watu waliamua wawe wanapandisha ngazi hadi floor ya 12
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka fulani nikiwa nasoma Law School pale Mawasiliano nikiwa na rafiki yangu na mtu mwingine, jumla watatu..tukapanda lift ya jengo mojawapo..Kuna siku tulikua semina dodoma ilifanyikia chuo cha mipango, ile asubuhi tumejazana kwenye lift kwenda juu kufika floor ya 8 ikagoma ikaazaa kurudi chini kwa kasi ikafika mahari ikasimama tuliganda pale kama dk 5 na milango haifunguki, vilio vya kina dada vilitawala mle ndani ikabidi tuwe tunawatuliza maana joto lilikua kali na hewa inapungua hadi mafundi walipokuja, kuanzia siku hiyo kuna watu waliamua wawe wanapandisha ngazi hadi floor ya 12
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaNi migumu balaa, jamaa yangu alijifanya bondia kulipigiza, akaumia tu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo experience ninayo mkuu ilinikuta nikiwa na husband na mtt wetu mdogo wa miezi 7. Lilikua tukio la dkk chache but lilinipa hofu ambayo sitakaa nisahau nawaza mtt wangu atakavyoanza kukosa hewa jamani Mungu mkubwa tulipojaribu kubonya kitufe ilifunguka. Ndo maaana nasema nimesisimkwa maana nikikumbuka najisikia vibayaCajojo hiyo experience uisikie tu kwa mwingine ni hatari sana
Kuna jaa plus joto ushuzi basi tafrani. Hapo round hawachukui wenye mioyo midogo kama mie tunaanza safr ya kwenda kwa baba kwa kuzimia kwanzaHalafu sehemu nyingine lift zinajaa balaa! Kama lile jengo la RITA pale karibu na Bilicanas. Unaomba Mungu lisitokee jambo baya maana inabidi hiyo rescue action isichelewe hata kwa dakika moja amasivyo itakua balaa kwa watu wanavyojazana
Kama ukishuku tu usitumie lolLift za vioo labda majengo mapya na kwenye malls.
Kuna siku nimeenda ubungo plaza kuingia kwenye lift nikawa nasali isizime maana hapo tu lift haina hata ac unawaza ikizima si ndo mnakufa humo humo
Imagine unaenda gorofa ya 10 si mlima huo



Hapo napo maamuzi yake magumu maana huna jinsiImagine unaenda gorofa ya 10 si mlima huo![]()
Hizo ndio standards tunataka ziwekwe na serikali kwa wenye majengo yote wanaopaswa kuweka liftUmenikumbusha 2012 nikiwa intercontinental hotel Adis Ababa lift ilinizimikia ghorofa ya 8.Bahati nzuri lift zao ni za wazi na za vioo hata hivyo walio chini wanakuona.Nikaona kitufe cha emergency nikabonyeza king'ora kikalia sana kuwaona watu chini wanapiga kelele nisaidiwe.Baada ya chini ya dakika mbili nikaona ninashushwa ghorofa ya saba mlango unafunguliwa na mafundi.Kutoka wakaniomba radhi nikapewa dola 20 kama samahani.
Nilichoshangaa umeme ulikatika king'ora kililizwa na nini kuulizia wakaniambia umeme ukikatika emergency button ina umeme wake mbadala ndio unasababisha king'ora kilie.
BONGO TUJITAFAKARI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwendo wa escalators kwa kwenda mbele, nice building, superb architectural workBBC HQ![]()
![]()
😀😀😀Wazee wa mazoezi sie, hata liwe ghorofa la 30 tunachapa mguu, issue za kumsingizia Mungu eti ametwaa sizitaki mie!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeh?😀😀😀Kuna jaa plus joto ushuzi basi tafrani. Hapo round hawachukui wenye mioyo midogo kama mie tunaanza safr ya kwenda kwa baba kwa kuzimia kwanza
Pole sana mkuu, si lile jengo pale karibu na NMB na CRDB?Hili suala lisikie tu kwa mwenzako.
Mungu atuepushie. Kwa sasa sipandi kabisa lifti. Kilichowahi kunikumba jengo la tanesco mkoa wa tanga sitakisahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama ajali ya gari mkuu, Mtu anapata ajali ya gari kisha anapandishwa gari jingine kupelekwa hospitaliHahaaa hii hali Mimi ilinikuta lakini sijawai fikiria kuacha tumia elevator
Sent using Jamii Forums mobile app