Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

benjamin mkapa ilizingua grorofa ya kumi na tano, ilishuka kasi ya ajabu mpaka chini, afu ikapanda tena mpaka juu, ikashuka kistaarabu, nilivyoshuka nikaghairi nilichokuwa nimekufuata hapo
Nimecheka utafikiri jambo zuri mkuu, hahahaaa pole sana
 
Kama kuna lift unaitumia kila siku jaribu kubonyeza emergency button upime upepo...

Pole sana mkuu.
 
Hahahaa mkuu, alivyokuja kunikumbatia kweli nilimuona ila akili yangu nadhani pamoja na ya kwake haikua huko unapoelekea wewe, maana dada wa watu alidhani malaika mtoa roho kaja kuchukua roho yake, sasa labda akinisogelea mimi naweza kumfukuza huyo ziraeli mtoa roho. Wakati huo na mimi akili yangu inatoa ahadi kedekede kwa Muumba pindi akiniokoa na janga hilo nitamfanyia nini yeye Mungu wangu. Nilijua dada anataka kupoteza fahamu baada ya kufunguliwa milango
Hapo kwenye kutoa ahadi kedekede umejaribiwa. Ni muhimu utimize hizo ahadi.
 
Back
Top Bottom