scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,732
Mwisho nshapanda mpaka ya saba sema s kwa sababu n maramojamoja ila kipindi nasoma chuo zilkuwa nne kila sku unapotoka na kuingiaUnapanda na ngazi hata kama ni ghorofa kumi mkuu!? Au utaanza kutumia lift watakapo badilisha technology?
Sent using Jamii Forums mobile app