Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

Joined
Oct 2, 2014
Posts
74
Reaction score
6
Kwa wale form six leaver kama we ni mtu mzima na akili zako timamu na unapenda elimu usije logwa uka chagua St Joseph, hivi vyuo vina matatzo sugu.

Sio kama naongelea ushabiki noooo mi ni mwanafunzi wa pale St. Joseph Arusha

Naombeni niwakumbushe tena wadogo zangu kama kweli una jali maisha yako na unapenda future yako usije uka apply chuo chochote cha St. Joseph, hakuna kona ya nchi isiojua uozo wao, utaajiriwa wapi kwenye huu ulimwengu wa wasomi haya ndo matazizo sugu:

1. Chuo kutokuwa na prospectus
2. Chuo kutumiaa carriculum ya india ambayo hufanya watu waimbe nyimbo chekechea na kuhesabu visoda
3. Chuo hakina university chatter
4. Chuo hakina special exams
5. Kuitana majina na attendence ina yes na no tu hakuna ruhusu hata km uumwe..
6. Malecture hawana vigezo ..mtu anakuja kumsalimia mume wake anapewa kipindi
7. Mtu wa HGE na EGM ana uwezo wakusoma physics
8. Usajili wa kozi za education hadi leo hauja be approved na TCU
8. Ada kubwa zaidi ya elimu inayo tolewa
9. Ku treAtiwa kama watoto kuingia darasanikwa ruhusa na kutoka nje kwa ruhusa
10. Chuo kutotambua uwepo wa dini ya kiislamu

NAOMBA UKIPATA UJUMBE HUU MWAMBIE NA MWENZIO ILI TUOKOE KIZAZI KINACHO KUJA NA HUU UOZO WA ST JOSEPH

 
Wasisahau na KIU vyote hvyo majanga,mm mwenywe nlkuwa mwanafunzi wa hcho chuo ila nimeamua kuacha maana nimeona hakina tija hvyo wadogo zetu kuwen makin na hvyo vyuo
 
Nadhani wamesikia

Sasa kesho na keshokutwa wakija hapa wanalialia sisi tutawapita kama hatuwaoni

Ni bora ukasome diploma chuo cha kueleweka kuliko kusoma degree ya kikanjanja
 
Wakuu mawazo yenu mazuri ila tatizo wengine wapo vijijini na wengine hawana ata simu za Internet au computer so wakija muwasaidie tu,alafu mkuu kilikuu kiu ulikua unasoma kozi gani pale na level ipi?
 
Bila kusahau KIU (Kampala International University) Dar es salaam constitute college hasa KADA ZA AFYA!
 
Vipi kuhusu hiki "St.Joseph University In Tanzania College Of Agriculture,Science&Technology(Songea)"
 
daaa!! kna rafiki yangu ameomba hapo ametoka dip na amepitia NACTE,sasa afanyaje??? msaada plz
 
Back
Top Bottom