Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

St. JOseph kampasi ya Arusha, Makambako, Songea na Dar kwa kozi za kilimo,biashara, uhasibu, kompyuta na ualimu sio vyuo bali ni maduka ya wahindi kwa ajili ya kujipatia kipato katika nchi yetu.
Hivi vyuo vina matatazo ambayo wao kama wao wahindi hawawezi kuyamaliza hata kama wapewe miaka 100,cha muhimu ni wanafunzi mnaomba vyuo TCU chochonde msije kuvijaza maana ile kitendo cha kukiandika kwenye option zako watu wa TCU watakupangia st. Joseph hata kama ilikua ni option yako ya mwisho.
 
Wakuu, nimeona wengi wakikilalamikia chuo cha st.joseph bila kuweka data wakati kunawatu wanakitetea, hebu tuweke data ili kama kweli zitakua sahihi watu wakiogope au wachukue hatua mapema,
ningependa tuainishe kwa collage husika( campas) mf. songea(collage of agriculture) arusha na dar, tuanze na ada zao, vigezo vya kujiunga,pia na matatizo mengine yaliyopo huko
 
Uboreshe uzi wako kwa kuanza na matatizo uliyoyaona na ndolioo uombe watu wachangie ingekua poa sana
 
Uboreshe uzi wako kwa kuanza na matatizo uliyoyaona na ndolioo uombe watu wachangie ingekua poa sana

Mada nyingi zinajadili na kueleza ubora wa elimu inayo tolewa uko chini, nilitaka tuulinganishe na ada inayo lipwa na sifa wanazo jiunga nazo wanachuo na mengi yaliyopo huko
 
Kwa wale form six leaver kama we ni mtu mzima
na akili zako timamu na unapenda elimu usije
logwa uka chagua St Joseph, hivi vyuo vina
matatzo sugu.
Sio kama naongelea ushabiki noooo mi ni
mwanafunzi wa pale St. Joseph Arusha
Naombeni niwakumbushe tena wadogo zangu
kama kweli una jali maisha yako na unapenda
future yako usije uka apply chuo chochote cha St.
Joseph, hakuna kona ya nchi isiojua uozo wao,
utaajiriwa wapi kwenye huu ulimwengu wa
wasomi haya ndo matazizo sugu:
1. Chuo kutokuwa na prospectus
2. Chuo kutumiaa carriculum ya india ambayo
hufanya watu waimbe nyimbo chekechea na
kuhesabu visoda
3. Chuo hakina university chatter
4. Chuo hakina special exams
5. Kuitana majina na attendence ina yes na no tu
hakuna ruhusu hata km uumwe..
6. Malecture hawana vigezo ..mtu anakuja
kumsalimia mume wake anapewa kipindi
7. Mtu wa HGE na EGM ana uwezo wakusoma
physics
8. Usajili wa kozi za education hadi leo hauja be
approved na TCU
8. Ada kubwa zaidi ya elimu inayo tolewa
9. Ku treAtiwa kama watoto kuingia darasanikwa
ruhusa na kutoka nje kwa ruhusa
10. Chuo kutotambua uwepo wa dini ya kiislamu
NAOMBA UKIPATA UJUMBE HUU MWAMBIE NA
MWENZIO ILI TUOKOE KIZAZI KINACHO KUJA NA
HUU UOZO WA ST JOSEPH
 
daaa jamaaa angu yuko njia ya panda wadau kwa michango yenu ndani !!! Tunaomba conclusion wadau!! coz siku zilizobaki ni chache xana!!! msaada plz
 
St. Joseph ni bomu la elimu kwa hatima ya taifa letu......

mnaobisha sijui mna tatizo gani ingaeje tunaongelea kwa kozi za EDUCATION

wabunge wazazi wakazi wa mitaa ya arusha wanajua kua Chuo NI SACCOS ya wahindi kuvuna hela za wavuja jasho ...

HAYO YOTE NI KWA SABABU TCU IMEPIGWA MFUKONI HADI WAZIRI

NDG PLZ UCJE ST. JOSEPH
 
Nasikia Kuna michango ya kulipia tablet ni kweli?Alafu tablet hakuna,tunaomba mtujuze wadau.
 
St. Joseph ni bomu la elimu kwa hatima ya taifa letu......

mnaobisha sijui mna tatizo gani ingaeje tunaongelea kwa kozi za EDUCATION

wabunge wazazi wakazi wa mitaa ya arusha wanajua kua Chuo NI SACCOS ya wahindi kuvuna hela za wavuja jasho ...

HAYO YOTE NI KWA SABABU TCU IMEPIGWA MFUKONI HADI WAZIRI

NDG PLZ UCJE ST. JOSEPH

Yana mwisho. Ukawa wakiingia ikulu hayo yatakuwa historia.
 
Yana mwisho. Ukawa wakiingia ikulu hayo yatakuwa historia.

ni kweli kamanda .......
inauma sn tumesoma kwa shida advance tumekesha...
Leo wanaleta malecturers wa kihindi ambao english hwaezi hata wanachokifundsha wanakiri hawajakisomea...

walimu gn wanaandaliwa hivi kila tunapoenda field huko mashuleni wanatushangaa tunasoma kozi gani

YANA MWISHO SIKU MOJA MACHOZI YETU YATAKAUA FURAHA
 
St.jospeh Arusha pale course main ni Education,na kwa uzoefu wangu wa kusoma vyuo vikuu Tanzania hamna watu ni shida kama watu wanao somea Education yani wao kila kitu ni ku complain,na pili wanasahau kama kila Taasisi zinachangamoto zake za uendeshaji,me nilicho ona st.joseph wanazingatia sana discpline na academic na hili ndili linalo changia wanafunzi wengi wasio kizi vigezo hivyo kushindwa kumaliza masomo yao na kuanza kulalamika bila sababu.
 
jaman kwa yeyote anaesoma st.joseph songea naomba anibip private 0788905263 plz naomba na ila kama kna mtu anasoma pale songea unamfahamu plz naomba namba zake kupitia iyo namba kabla ya 30.08.2015 MSAADA PLZ naomba.mchana mwema wadau.
 
Bila shaka unaongelea specification na sio generalization. Mimi nilikuwa mwanafunzi wa st joseph university arusha campus, aisee naomba kama huelewi kinachoendelea bora ukae kimya. E bhana eee kama una ndugu yyte yule amechagua st joseph faculty ya education au agriculture kule songea basi ameumia. Msijaribu

Unakosea sana kuandika ujumbe wako koz unaupotosha umma kukidhi mahitaji ya hisia zako.
Unaposema "VYUO VYOTE VYA ST.JOSEPH" unakosea sana.
"NAombeni niwakmbushe tena wadogo zangu
NAombeni niwakmbushe tena wadogo zangu
kama kweli una jali maisha yako na unapenda
future yako usije uka apply chuo chochote cha st
joseph..hakuna kona ya nchi isiojua uozo wa st
joseph uta ajiliwa wapi kwenye huu ulimwengu
wa wawasomi..."
Uwe specific kwamba ni college ya education coz ndiyo unayoifahamu wewe.Usiupotoshe umma
 
jaman msaada st.joseph coz ya batch of technology in Agriculture ni kiasi gani kwa mkopo na unachangia kias gan??? msaada plz kwa anaefahamu!!
 
Sadoseba mkuu embu tujuze uozo Upo wapi na wewe Upo college gani bishaneni kwa oja mkuu,tume habari za uhakika.
 
St. JOseph kampasi ya Arusha, Makambako, Songea na Dar kwa kozi za kilimo,biashara, uhasibu, kompyuta na ualimu sio vyuo bali ni maduka ya wahindi kwa ajili ya kujipatia kipato katika nchi yetu.
Hivi vyuo vina matatazo ambayo wao kama wao wahindi hawawezi kuyamaliza hata kama wapewe miaka 100,cha muhimu ni wanafunzi mnaomba vyuo TCU chochonde msije kuvijaza maana ile kitendo cha kukiandika kwenye option zako watu wa TCU watakupangia st. Joseph hata kama ilikua ni option yako ya mwisho.

Sidhan kama una akili nyingi kukiko tcu
 
Jamaa wanaponda bila oja bora wale wa kampala walikua wanatoa oja awa wanasema tu usichague st joseph chochote tupe data tena zenye uhakika sio maneno tu.
 
petro faustine Hebu elezea kipengele cha nane, ada kubwa ki vipi unaijua? kwani fee structure yao ikoje?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom