Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

Sijaona point hata moja ya msingi hapo..
Asiwadanganye huyo. St joseph ipo vizuri.
Wengi wamesoma hapo na wanakula maisha fresh tena serikalini.

Ofcourse kuna baadhi ya course mpya hazijapata usajili, ila nyingine za zamni zipo.powa.
Mbona kuna ma inginia kibao wanapeta na degree zao za st. Joseph
 
7 ,9 Na 10. zina tatizo gan..kile ni chuo cha wakatolik..na siyo kwwli kwamba hakitambui uislamu.
Mbona kwenye form yao kuna kipengele cha religion
 
Vipi kuhusu hiki "St.Joseph University In Tanzania College Of Agriculture,Science&Technology(Songea)"

Ni mambo Yale Yale hakuna jipya sheria nyingi na makanjibai kibao hata kukielewa kiingereza chao ni vigumu mno
 
Mtoa mada una matataizo binafsi na hivyoo vyuo. Kuna wahandisi wengi sana wamesoma hivyo, na wako vzr sana kwenye kazi kuliko hata wahandisi waliosoma vyuo vingine. Pia new courses kutokuwa na usajili ni kitu cha kawaida, si kuna process?
 
Mtoa mada una matataizo binafsi na hivyoo vyuo. Kuna wahandisi wengi sana wamesoma hivyo vyuo, na wako vzr sana kwenye kazi kuliko hata wahandisi waliosoma vyuo vingine. Pia new courses kutokuwa na usajili ni kitu cha kawaida, si kuna process?
 
Sijaona point hata moja ya msingi hapo..
Asiwadanganye huyo. St joseph ipo vizuri.
Wengi wamesoma hapo na wanakula maisha fresh tena serikalini.


Ofcourse kuna baadhi ya course mpya hazijapata usajili, ila nyingine za zamni zipo.powa.
Mbona kuna ma inginia kibao wanapeta na degree zao za st. Joseph


Mkuu...kipi alichokizungumza mleta mada ni uongo!

Hoja hupingwa kwa hoja

Tusaidie
 
7 ,9 Na 10. zina tatizo gan..kile ni chuo cha wakatolik..na siyo kwwli kwamba hakitambui uislamu.
Mbona kwenye form yao kuna kipengele cha religion

Ukatoliki co tatzo.. bugando ni chuo cha kikatoliki lakini kuna msikiti kwenye hostel zao
 
Jamani mi nina cheti kilimoGPA 3.3, CF258, SECON CLASS nataka nikasome degree chuo gani nitapata?
Kwa kozi zifuatazo
1. ag engeenearing
2.crop production
3.horticulture
hesabu kwangu imelala hata 'o'level nilipata Math B, Physics D,Chemistry C,Bios C, english C Na yaliyo baki D.
 
Oya wakuu st joseph vyote vina matatizo?Duuuh awa jamaa vipi alafu wanakozi nzuri tu,vipi Kile cha boko?kipo poa au ndio wale wale kinatoa kozi za afya.
 
Wahindi yao medicine na mambo mengine uwalimu watauweza wapi tena wa kibongo bongo,wameona walimu wakibongo wanaingia na attendance kuita majina wakajua ndio walimu wetu mnafundishwa ivyo so nazani wanafundisha tu kama attendance ni somo pia.
 
Tuko vizuri sana tuliomaliza st j...jamaa wanazingatia sana nidhamu, ukiwa na nidhamu Kwa chochote unachofanya utakifanya vizuri tu...tatizo wanafunzi wa bongo wengi wameshakaririshwa ukifika chuo maisha ni kujiachia tu utakavyo..ukifanya hivyo Kwa hawa jamaa utateseka
 
Jamani mi nina cheti kilimoGPA 3.3, CF258, SECON CLASS nataka nikasome degree chuo gani nitapata?
Kwa kozi zifuatazo
1. ag engeenearing
2.crop production
3.horticulture
hesau kwangu imelala hata 'o'level nilipata Math B, Physics D,Chemistry C,Bios C, english C Na yaliyo baki D.

Hiyo ya 1&3 nenda SUA
 
Mtoa mada ana matatizo binafsi.
Products za engineering zinazotisha kwa performance ni za St.Joseph..
Xema vijana mnapenda bata sana.Ukiwa mvivu, mzembe na mwenye tabia mbaya utaiona St.Joseph chungu.;Otherwise its a best "Practical" Engineering University in the country.
Wiki chache zilizopita imetunukiwa tuzo ya best engineering University in Tanzania baada ya female engineering scholars wa St.Joseph kuonesha uwezo wa juu kabisa kwenye competition against wale wa vyuo vingine.Fuatilia takwimu.
 
Mtoa mada ana matatizo binafsi.
Products za engineering zinazotisha kwa performance ni za St.Joseph..
Xema vijana mnapenda bata sana.Ukiwa mvivu, mzembe na mwenye tabia mbaya utaiona St.Joseph chungu.;Otherwise its a best "Practical" Engineering University in the country.
Wiki chache zilizopita imetunukiwa tuzo ya best engineering University in Tanzania baada ya female engineering scholars wa St.Joseph kuonesha uwezo wa juu kabisa kwenye competition against wale wa vyuo vingine.Fuatilia takwimu.

Bila shaka unaongelea specification na sio generalization. Mimi nilikuwa mwanafunzi wa st joseph university arusha campus, aisee naomba kama huelewi kinachoendelea bora ukae kimya. E bhana eee kama una ndugu yyte yule amechagua st joseph faculty ya education au agriculture kule songea basi ameumia. Msijaribu
 
Namba moja mpaka tano..siyo kweli

Unabisha ili uonekane unajua kubisha au unabisha ukiwa facts. Jamaa vyote alivyozungumza ni vya ukweli na tunakutana navyo hasa sisi tunaochukua agriculture na education. Acha kubisha vitu usivyovijua
 
Unabisha ili uonekane unajua kubisha au unabisha ukiwa facts. Jamaa vyote alivyozungumza ni vya ukweli na tunakutana navyo hasa sisi tunaochukua agriculture na education. Acha kubisha vitu usivyovijua

Wewe unaendaje kusoma agriculture st. Joseph wakati sua ipo.

Unasomaje education st. Joseph wakati kuna vyuo kibao vya educatio kama duce. Muce.
Na vingine ving vya diploma.
Ila usijali we komaa tu.. walimu woote na na ma afisa kilimo huwa wanapata ajira..
 
Back
Top Bottom