Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

unapotoa fact kwamba chuo hakifai uwe unaongea unaelewekaaa.....we unaongelea mambo ya education ambyo ni kweli st joseph imeshindwaaa....lakin kuna engineering...au na hyo ww umeshasoma ukaona hawajui pia....kma unataka ushahid njoo nkupeleke tanroad kuna watu wako kazin.....mambo ya kuomba ruhusa kutoka na kuingia class...that is just part of dicpline....kuna shida gan juu ya hilo....unajengewa nidhamu....attendance ina shida gan....akat ni logic ya kawaida tu....nyimbo za chekechea umeimba ww labda...na prospectus ya engineering ipo...kma ww umeshindwa acha...uzur sheria zao zimeandikwa pale kwenye website yao...we ulijaza ya nn kma uliona zitakushindaa.....wameshasoma watu wamemaliza na sheria hzo hzo...we kma unajua revolution nenda kwenye vyuo vingne.....
 
HABARI MUHIMU
Hakuna jambo la muhimu kwa mwanadamu, na
katika usitawi wa nchi kama ELIMU.
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo kiitwacho
ST.JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA(ARISHA
CAMPUS).
NDUGU ZANGU Watanzania hiki sio chuo kikuu
bali ni GENGE La watu kujikusanyia fedha za
walipa kodi wa Tanzania.NASEMA HIVI KWA
SABABU ZIFUATAZO;
1-Chuo hiki hakina prospectus(Yaani nyaraka
inayoonesha wahadhili waliopo,masomo
wanayotakiwa kufundishwa wanafunzi kwa muda
wao wote watakao kuepo chuoni hapo n.k)
2-Chuo hakina syllabus(Yaani mtaala )Matokeo
yake wanafunzi wanafundishwa masomo tofauti
na chuo chochote hapa Tanzania.
NB:KIMSINGI "PROSPECTUS" NA "SYLLABUS"
NDIVYO VINAVYOIFANYA TAASISI YA ELIMU
IITWE CHUO KIKUU.KAMA HAYO MAMBO MAKUU
HAYAPO,JE HIKI CHUO KILISAJILIWA KWA
MISINGI IPI NA KWA SHERIA ZIPI?
3-Chuo hiki hakina UNIVERSITY CHATTER(Yaani
mkusanyiko wa maandishi unaoonesha ni namna
gani chuo kimesajiliwa nk)
4-Chuo hiki hakitambuliki na BALAZA LA VYUO
VIKUU TZ (TCU).Kwani ktk orodha ya vyuo
vikuu,"colleges" hakipo.Jilidhisha tembelea
internet.
5-Chuo hiki kinatoa kozi ziitwazo;"BACHELOR OF
SCIENCE IN EDUCATION WITH
MATHEMATICS,PHYSICS,CHEMISTRY,BIOLOGY or
COMPUTER."Kozi hambazo hazifundishi na chuo
chochote hapa Tanzania na wala hazijahakikiwa
na Balaza la Vyuo Vikuu Tanzania.
Ndugu zangu Watanzania haya ni matatizo
makuu na mengine mengi tutaendelea
kujulishana.
Mimi na ndugu zangu ktk masomo tupo nje ya
chuo hiki takribani MIEZI 3 TUKIISHINIKIZA
SELIKARI ITUTOE KTK CHUO HIKI,NA TIKIWA
TAYARI KUANZA MWAKA UPYA.
EWE MDOGO WANGU,KAKA NA DADA ZANGU
USIJE UKAJIROGA KWA KUJIUNGA AU
KUMSHAURI MTU AJIUNGE NA CHUO HIKI
MAANA KUFANYA HIVYO NI KUIANGAMIZA
"FUTURE" yako.
Au wasiliana nami kupitia;0764285020 au
kibajideo@gmail.com
 
HABARI MUHIMU
Hakuna jambo la muhimu kwa mwanadamu, na
katika usitawi wa nchi kama ELIMU.
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo kiitwacho
ST.JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA(ARISHA
CAMPUS).
NDUGU ZANGU Watanzania hiki sio chuo kikuu
bali ni GENGE La watu kujikusanyia fedha za
walipa kodi wa Tanzania.NASEMA HIVI KWA
SABABU ZIFUATAZO;
1-Chuo hiki hakina prospectus(Yaani nyaraka
inayoonesha wahadhili waliopo,masomo
wanayotakiwa kufundishwa wanafunzi kwa muda
wao wote watakao kuepo chuoni hapo n.k)
2-Chuo hakina syllabus(Yaani mtaala )Matokeo
yake wanafunzi wanafundishwa masomo tofauti
na chuo chochote hapa Tanzania.
NB:KIMSINGI "PROSPECTUS" NA "SYLLABUS"
NDIVYO VINAVYOIFANYA TAASISI YA ELIMU
IITWE CHUO KIKUU.KAMA HAYO MAMBO MAKUU
HAYAPO,JE HIKI CHUO KILISAJILIWA KWA
MISINGI IPI NA KWA SHERIA ZIPI?
3-Chuo hiki hakina UNIVERSITY CHATTER(Yaani
mkusanyiko wa maandishi unaoonesha ni namna
gani chuo kimesajiliwa nk)
4-Chuo hiki hakitambuliki na BALAZA LA VYUO
VIKUU TZ (TCU).Kwani ktk orodha ya vyuo
vikuu,"colleges" hakipo.Jilidhisha tembelea
internet.
5-Chuo hiki kinatoa kozi ziitwazo;"BACHELOR OF
SCIENCE IN EDUCATION WITH
MATHEMATICS,PHYSICS,CHEMISTRY,BIOLOGY or
COMPUTER."Kozi hambazo hazifundishi na chuo
chochote hapa Tanzania na wala hazijahakikiwa
na Balaza la Vyuo Vikuu Tanzania.
Ndugu zangu Watanzania haya ni matatizo
makuu na mengine mengi tutaendelea
kujulishana.
Mimi na ndugu zangu ktk masomo tupo nje ya
chuo hiki takribani MIEZI 3 TUKIISHINIKIZA
SELIKARI ITUTOE KTK CHUO HIKI,NA TIKIWA
TAYARI KUANZA MWAKA UPYA.
EWE MDOGO WANGU,KAKA NA DADA ZANGU
USIJE UKAJIROGA KWA KUJIUNGA AU
KUMSHAURI MTU AJIUNGE NA CHUO HIKI
MAANA KUFANYA HIVYO NI KUIANGAMIZA
"FUTURE" yako.
Au wasiliana nami kupitia;0764285020 au
kibajideo@gmail.com
 
mtoa maada yuko sahihisi kabsa ila tuchambueni coz ya education ndo ina matatizo compus zotee!!
 
ukishangaa ya kiu utakutana na ya st joseph,watu(tcu)wanafanyakazi kimazowea,MABADILIKOOOOOOOOO
 
well said: hata mi nilishangaa sana kuona bachelor of clinical medicine hapo st joseph ilhali government bado hawajaidhinisha kozi ya clinical medicine kutolewa bachelor kwa hapa nchini
 
ukishangaa ya kiu utakutana na ya st joseph,watu(tcu)wanafanyakazi kimazowea,MABADILIKOOOOOOOOO

Mkuu mabadiliko muhimu sana hasa kwenye MFUMO MZIMA WA SERIKALI IKIWAMO WIZARA ZAKE ZOTE KAMA WIZARA YA ELIMU NA NYENGINEZO KIUJUMLA NA TAASISI ZAKE PIA KAMA HAO TCU NA HESLB...hivyo usifanye makosa hapo OCTOBER-25TH kwa kupiga kura yako kwa "MFUMO ULE ULE" NA "VIONGOZI WALE WALE".
 
Tanzania zaidi ya uijuavyo. Watu wanapiga hela tu na taasisi za kudhibiti upuuzi huu zipo. Hiki chuo na KIU vimelalamikiwa zaidi ya miaka mi3 sasa.
Natamani tuwe na waandishi wa habari wa dizaini ya wale wa "jicho pevu" wa KTN Kenya; wangekua tayari wamewamulika hawa.
 
october 25 utapigia kura nani? kama CCM ahh!!! endeleeni u kupata shida, mana hamna jinsi sasa hangaiken tu.
 
HABARI MUHIMU
Hakuna jambo la muhimu kwa mwanadamu, na
katika usitawi wa nchi kama ELIMU.
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo kiitwacho
ST.JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA(ARISHA
CAMPUS).
NDUGU ZANGU Watanzania hiki sio chuo kikuu
bali ni GENGE La watu kujikusanyia fedha za
walipa kodi wa Tanzania.NASEMA HIVI KWA
SABABU ZIFUATAZO;
1-Chuo hiki hakina prospectus(Yaani nyaraka
inayoonesha wahadhili waliopo,masomo
wanayotakiwa kufundishwa wanafunzi kwa muda
wao wote watakao kuepo chuoni hapo n.k)
2-Chuo hakina syllabus(Yaani mtaala )Matokeo
yake wanafunzi wanafundishwa masomo tofauti
na chuo chochote hapa Tanzania.
NB:KIMSINGI "PROSPECTUS" NA "SYLLABUS"
NDIVYO VINAVYOIFANYA TAASISI YA ELIMU
IITWE CHUO KIKUU.KAMA HAYO MAMBO MAKUU
HAYAPO,JE HIKI CHUO KILISAJILIWA KWA
MISINGI IPI NA KWA SHERIA ZIPI?
3-Chuo hiki hakina UNIVERSITY CHATTER(Yaani
mkusanyiko wa maandishi unaoonesha ni namna
gani chuo kimesajiliwa nk)
4-Chuo hiki hakitambuliki na BALAZA LA VYUO
VIKUU TZ (TCU).Kwani ktk orodha ya vyuo
vikuu,"colleges" hakipo.Jilidhisha tembelea
internet.
5-Chuo hiki kinatoa kozi ziitwazo;"BACHELOR OF
SCIENCE IN EDUCATION WITH
MATHEMATICS,PHYSICS,CHEMISTRY,BIOLOGY or
COMPUTER."Kozi hambazo hazifundishi na chuo
chochote hapa Tanzania na wala hazijahakikiwa
na Balaza la Vyuo Vikuu Tanzania.
Ndugu zangu Watanzania haya ni matatizo
makuu na mengine mengi tutaendelea
kujulishana.
Mimi na ndugu zangu ktk masomo tupo nje ya
chuo hiki takribani MIEZI 3 TUKIISHINIKIZA
SELIKARI ITUTOE KTK CHUO HIKI,NA TIKIWA
TAYARI KUANZA MWAKA UPYA.
EWE MDOGO WANGU,KAKA NA DADA ZANGU
USIJE UKAJIROGA KWA KUJIUNGA AU
KUMSHAURI MTU AJIUNGE NA CHUO HIKI
MAANA KUFANYA HIVYO NI KUIANGAMIZA
"FUTURE" yako.
Au wasiliana nami kupitia;0764285020 au
kibajideo@gmail.com

Namba tano umesema uongo.. hizo course mbona vyuo kibao vinatoa .kama sua.duce.tumain,teku.
 
Hakuna chuo ambacho hakina matatizo. !!! Vijana wengi wa siku hizi mna penda mteremko, St Joseph ni kwa wale wanaopenda kufuata sheria ni sehemu muhimu sana ya kupata elimu. Kwa taarifa yako nenda kwenye soko la ajira ndiyo utapata majibu huko. Vijana wanaotoka St Joseph wapo vizuri sana kiutendaji na nidhamu ya kazi. Achaneni na hizo mob psychology hazitakusaidia. Kama ww pamekushinda tulia waache wenzako wasome.
 
Tanzania majungu sijui yataisha lini. Pigeni shule vijana, Wewe kama umeshindwa shule usitafute sababu ya wenzako pia washindwe. Watu wamesoma hapo na wamemaliza wapo kwenye soko la ajira huko wana pambana na kazi za kujenga taifa. Mtoa mada jipange upya.
 
na bro wangu kamaliza st joseph engineering ana gpa ya 4.3 kila office akienda kuomba ajira wana mshangaa wanasema kwa engineering hiyo gpa ya 4.3 haiwezekan..so wahind wanatoa jpa kubwa ambazo hazina mashiko kwa taifa
 
emu nyie achane ubish yan mna tubishia sie tunao soma st joseph km vyuo vzur mlete mdogo wako akione chamoto
 
St joseph hakipo kwenye tcu je wewe mtoa mada ulichaguliwa kupitia wapi?

Mtoa mada,, aende akafanye utafiti tena..


Mimi nimsaidie ivi. St joseph ipo kwenye list ya tcu. Sema kuna baadhi ya course ambazo hazijapata approve ya tcu
 
Back
Top Bottom