Tahadhari kubwa: Noti bandia zimerudi kwa kasi

Dawa ni kupunguza matumizi ya noti, tutumie mitandao na credit cards
 
Mkuu pole sana kwa kukumbana na huo utapeli. Bila shaka upelelezi utasaidia kuwatia mbaroni wahusika. Usiache kurudi hapa kutupa feedback.

Tiba

Mpaka jioni hii kuna maendeleo
 
mnajua kuandika na kusoma noti bandia hamjuhi gavana alipoteza muda wake wiki nzima kuelekeza umma note bandia na halali au nyie mlikuwa mnakunywa keroro mda huo. mbona vitoto vya kichaga hata cha miaka minne kinajua original na feki.
 
Mshana mimi sikupi pole wewe ni mfanya biashara wa kati SME ambaye hujui matumizi sahihi ya taasisi au mifumo ya fedha kwa nini hukuwaambia wa deposit bank then wakupe deposit slip? million 4 ulizihesabu kwa mkono? ungekuwa na counting machine inauwezo wa ku detect fake notes. Ulishindwa hata kutumia local techniq..... unaikunja note mkononi then unaichia isipojikunjua ni fake.

Sasa unalipwa cash 4m then anakuja mteja mwingine 5m then jioni unavamiwa unaanza kulia lia na police. Pia kwa nini kama issue iko kwenye upepelezi unaiweka kwenye mitandao? uchunguzi wako utafanikiwa?
 
Sikumoja kuna mbaba kaenda kwenye ATM kutoa hela jina la BANK kapuni alitoa hela kama 20,000Tsh kati ya hizo hela elfu kumi ilikua yabandia ikabidi aende nayo direct hadi ndati(BANK) nakuwaambi, alichojibiwa anajua yeye basi akawaambia ingawa mmekataa kunielewa ila nawapa tu taarifa kuweni makini na kazi yenu kuna mchezo unafanyika hapa.Hata kwenye bank zipo sana izo ela bandia.
Sisi tunawakamataga. Huo mchezo umeanza sana tena unatokea kwa bank tellers wengine wanakuunganishia fake
 
Mshana mimi sikupi pole wewe ni mfanya biashara wa kati SME ambaye hujui matumizi sahihi ya taasisi au mifumo ya fedha kwa nini hukuwaambia wa deposit bank then wakupe deposit slip? million 4 ulizihesabu kwa mkono? ungekuwa na counting machine inauwezo wa ku detect fake notes. Ulishindwa hata kutumia local techniq..... unaikunja note mkononi then unaichia isipojikunjua ni fake.

Sasa unalipwa cash 4m then anakuja mteja mwingine 5m then jioni unavamiwa unaanza kulia lia na police. Pia kwa nini kama issue iko kwenye upepelezi unaiweka kwenye mitandao? uchunguzi wako utafanikiwa?

Nimetoa tahadhari tuu mjue 90% ya kilichotokea sijakisema nitaweka wazi kila kitu in future
 
pole sana
jamani mtatulaumu bure kua hatukusikilza matangazo ya noti bandia si kweli kughafirika kupo
mf:mimi dukani mtu aliyezileta zilikua mpya kweli kweli si rahisi kujua zikiwa mpya
 
Pole, kuna siku nilimkuta mama mmoja mfanyabiashara ya vifaa vya ujenzi ana lap kilugha baadaya ku;lizwa na hawa wazee. Walienda dukani kununua mabati kwa bei ya 1,500,000/= wakampa pesa akahesabu ziko sawa lakini mara mmoja wao akamwambia kuwa awape punguzo la 200,000/= mama akakataa basi mmoja wao akamwambia turudishie pesa yetu, akawapa wakachukua mkononi lakini yule wa pili akasema ebu mrudishie hiyo pesa atupe mabati tusisumbuke, mama akapewa tena ile pesa palepale, vijana wakapatia mabati haraka haraka matapeli yale yakaondoka. jioni ndo mama anagundua kuwa kumbe alibadilishiwa kile kitita na kupewa zote bandia hivyo wewe acha tu!
 
Sikumoja kuna mbaba kaenda kwenye ATM kutoa hela jina la BANK kapuni alitoa hela kama 20,000Tsh kati ya hizo hela elfu kumi ilikua yabandia ikabidi aende nayo direct hadi ndati(BANK) nakuwaambi, alichojibiwa anajua yeye basi akawaambia ingawa mmekataa kunielewa ila nawapa tu taarifa kuweni makini na kazi yenu kuna mchezo unafanyika hapa.Hata kwenye bank zipo sana izo ela bandia.

Yaani hapa kariakoo acha ni hatari sana kwa hizo fake.
 
Ukishajua ni feki ina maana wameshindwa kuzifoji... ila mpokeaji hakuwa makini wakati anapokea. BTW kwanini watu hawatumii mashine za kuhakiki fedha. Mbona naona sehemu kama Ulaya na Marekani ukilipa cash kwa kutumia noti kubwa ni lazima waipitishe kwenye counterfeit Dectectors

Na mi nashangaa kupokea hela nyingi hivyo ina maana biashara ni kubwa ila bongo watu hawako makini mpaka wanapolizwa yaani unaibiwa ndio unaweka mlinzi seriously, anyway pole yake sana
 
Kituko kinachofanyika na nchi hii hakuna sehemu nyingine duniani kwani hadi sasa mimi naziona noti zote tunazotumia ni BANDIA nikiwa na maana ifuatayo
- Tuna noti za 10,000/= na 5,000/= tunazoaminishwa ni halali za aina 4 tofauti kwa ukubwa na uengenezwaji kwani alama zinafanana lakini zimetofautiana mkao katika noti hizo
- Tuna noti na 2,000/= 1,000/= na 500/= za aina 3 tofauti tunazoaminishwa ni halali kwani zinatofautiana ukubwa na zingine zinachakaa haraka kutofautisha na zingine.

Kwa hiyo hata hizi tunazoaminishwa ni halali ni feki pia, na tukio hili la kubadilisha fedha ndio lililotajirisha watu wakati ule kwani waliingiza noti bandia nyingi na ndipo utajili walipoupata akina fulani.
 
Anakonda kina nani hao?ninong'oneze.
[FONT=century
gothic]Kituko kinachofanyika na nchi hii hakuna sehemu nyingine
duniani kwani hadi sasa mimi naziona noti zote tunazotumia ni BANDIA
nikiwa na maana ifuatayo
- Tuna noti za 10,000/= na 5,000/= tunazoaminishwa ni halali za aina 4
tofauti kwa ukubwa na uengenezwaji kwani alama zinafanana lakini
zimetofautiana mkao katika noti hizo
- Tuna noti na 2,000/= 1,000/= na 500/= za aina 3 tofauti
tunazoaminishwa ni halali kwani zinatofautiana ukubwa na zingine
zinachakaa haraka kutofautisha na zingine.

Kwa hiyo hata hizi tunazoaminishwa ni halali ni feki pia, na tukio hili
la kubadilisha fedha ndio lililotajirisha watu wakati ule kwani
waliingiza noti bandia nyingi na ndipo utajili walipoupata akina
fulani.
[/FONT]
 
Anakonda kina nani hao?ninong'oneze.

Yule/Wale walioibuka na utajiri wa ajabu ndani ya uongozi huu wa awamu ya nne pasipojulikana wametoa wapi fedha na kila uchwao wanakana kumiliki fedha nyingi na baadhi ya makampuni yao wanayakana pia
 
Back
Top Bottom