Tahadhari: Hii ni hatari sana kwenye simu

hii mada imejaa upotoshaji na mbaya zaidi wengine wanajisifu kuwa wamewaelimisha wengine kumbe ndio wanaeneza ujumbe wenye kupotosha, mwanzisha mada kama upo na chanzo cha hii habari tafadhali tupatie tuende deep zaidi au tufahamishe namna umeweza kugundua hili kwa lugha ya kitaalamu.
 
Haha okay time to POP ur little bubble. From just ordinary physics u might know that the signals r transfrd in form of radio waves,the transmission is directed in ol directions(ie kutoka kwenye mnara signal zinasambaa equally pande zote) NOW 4 the adv physics antenna ya sim hai concentrate anything niquote vizuri mkuu HAI CONCENTRATE anything intensity of the signal is equal throughout (distance kutoka kwenye mnara ikiongezeka intensity of th signal inapungua ndo maana unahitajika mnara mwingine after a certain dist) antena inakusanya 2 the weak signals thnks to induction(kama haukujua chuma chochote kilicho near u ni antena hizi waves ambazo nilisema abv ziko everywhere zikipita zina induce electric current kwenye chuma,kiwe ni hereni uliyovaa,saa yako ya mkonom,au antenna ya sim but the current induced z just 2 weak 2 detect) then the electronics take over and amplify those weak signals nd converting em 2 sound ili usikie so this thing ni HOAX hakuna ukweli wowote
 
Mtoa maada yupo sahihi kabisa, ukifungua simu yoyote ile utaiona sender ipo upande wa pili usio na kioo/screen. Mawimbi pale kwenye sender/source yanatolewa kwa maximum intensity ili yaweze kufika kwenye transmitter yakiwa na substancially intensified signal. Namuunga mtoa thread not for the sake of controversy as long as I am a reputable Physist and Mathematician.

Reputable Physist. Really !!!!!!!!
I can assume your reputation in physics is not associated with anything to do with Radio or Electromagnetic waves.
 
Nzowa Godat

Ok japo Physics yangu ya kuungaunga trough kanumbas schools kuna hoja mbili kule hujatoa ufafanuzi.

  • What is maximum intensity?(at least approximation). Kwenye phsyics topic ya kwanza form1 ni Measurement na mambo ya SI unit.Basi mwageni darasa kisayansi au wekeni link tuone kama hiyo intesity ni real threat tu simu ikigeuzwa . Maneno ya kama maximum yanakuwa tata bila vipimo na ukadiriaji wa kitalaam..
  • Na vipi kama nasilkiza karadio kangu kadogo huku nimekageuza kuna tatizo pia?
hili ndio tatizo letu watanzania, kurahisiha mambo na kujipa matumaini pasipopaswa...wataalamu karibu wote wa mambo ya signals za simu wanasema effects yake HAIJALISHI HOW YOU USING THE PHONE....backside, upside or whatever...what matters ni unapoiweka karibu na sikio lako!!! ukiigeuza juu chini, upandeupande au kwa nyuma mionzi inasafiri pande zote...na ndo maana hutaona hata mwanasayansi mmoja aliyewahi kusema eti ni salama kutumia simu upande wa mbele kuliko wa nyuma!! never sikia hiyo mimi...!!!they all say one thing : STAY AWAY FROM THE PHONE (use Bluetooth headset-whenever needed only not all time,use loud speaker) and if you cant dont use it much on talking and they recommend to use more texting than calling whenever possible!! why??!! JUST PUT IT AWAY NEAR YOUR HEAD!!

So kama ni hatari we are all in the same danger wajameni...hamna anaemzidi mwingine ati kwa kujali uelekeo wa simu wakati unatumia...just the same danger!!!

kwa kuwasaidia zaidi you can go through these links and see :

Tips To Prevent, Cellphone Radiation, Mobile Radiation, Cellphones, Electro Magnetic Rays | Hyderabad - YReach.com

Effects of cellphone/mobile phone use on our brain and memory
 
Effects of Mobile Phones on Human Health


Bacteria is often found on the surface of cell phones.

The explosive popularity of mobile phones has moved scientists and doctors to study the devices' potential ill effects on human health. The studies have revealed that the phones do pose some risks, whether from merely touching them, or from actually using them.




  • Bugs and Superbugs

    • Mobile phones are an excellent way to carry around germs and bacteria, and the risk for this rises exponentially for devices belonging to doctors, nurses and other health professionals. According to ABC News, 94.5% of tested cell phones of health-industry employees were tainted with bacteria, some considered dangerous. A number of the devices contained traces of "superbugs," which are not treated easily with antibiotics. ABC News adds that, despite such findings, most health professionals don't clean their phones properly or regularly.
    All Thumbs

    • With the average mobile user now sending more text messages than he makes calls --- 357 sent or received per month, according to a 2008 survey by Nielsen News, to 204 phone calls made or received --- it's no surprise that stress injuries are up. The repetitive pressing of the thumbs while texting has been blamed for damaged ligaments and other sources of hand discomfort. Although easily treatable in most cases, doctors say surgery can be necessary in extreme cases.
    Nickel Allergies

    • Common allergens like pollen and dust are often found on a mobile phone's surface, but there's another irritant commonly found in phones themselves: nickel. The metal can be found on various areas of the phone; skin contact can result in redness or a rash --- with rash often indicating a contact dermatitis infection.
    Music Volumes

    • With music players now commonly incorporated into mobile phones, the devices are being blamed for users' hearing woes --- with permanent hearing damage possible for those who listen at high volume. According to ABC News, an average phone conversation runs approximately 60 decibels; those who use the same phone to listen to music, however, may exceed the safe decibel levels --- 85 or lower --- by going upwards of 100 decibels.


      Effects of Mobile Phones on Human Health | eHow.com Effects of Mobile Phones on Human Health | eHow.com
    • SOURCE: GOOGLE
 
Haha okay time to POP ur little bubble. From just ordinary physics u might know that the signals r transfrd in form of radio waves,the transmission is directed in ol directions(ie kutoka kwenye mnara signal zinasambaa equally pande zote) NOW 4 the adv physics antenna ya sim hai concentrate anything niquote vizuri mkuu HAI CONCENTRATE anything intensity of the signal is equal throughout (distance kutoka kwenye mnara ikiongezeka intensity of th signal inapungua ndo maana unahitajika mnara mwingine after a certain dist) antena inakusanya 2 the weak signals thnks to induction(kama haukujua chuma chochote kilicho near u ni antena hizi waves ambazo nilisema abv ziko everywhere zikipita zina induce electric current kwenye chuma,kiwe ni hereni uliyovaa,saa yako ya mkonom,au antenna ya sim but the current induced z just 2 weak 2 detect) then the electronics take over and amplify those weak signals nd converting em 2 sound ili usikie so this thing ni HOAX hakuna ukweli wowote
Umesahau kuwa simu ni transmitter pia sio receiver peke yake, na ni hii transmission ambayo watu ndo wanaiogopa. Pia nguvu ya transmission inaongezeka unapokuwa kwenye eneo lenye signal mbaya.
 
Mtoa maada yupo sahihi kabisa, ukifungua simu yoyote ile utaiona sender ipo upande wa pili usio na kioo/screen. Mawimbi pale kwenye yanatolewa kwa maximum intensity ili yaweze kufika kwenye transmitter yakiwa na substancially intensified signal. Namuunga mtoa thread not for the sake of controversy as long as I am a reputable Physist and Mathematician.

Kwa hiyo tushike lipi wakuu? Naomba mjadili kwanza nyie halafu mje na muafaka mliofikia ili msiendelee kutu-mix.
 
Hebu jamani tusipotezane hapa, inaonekana kun baadhi ya points ambazo watu hawazielewi vizuri lakini wapost tu.

Kwanza "Sigals za wireless nyingi zinazotoka kawenye anttena(minarayasimu in thiscase ) ni Omnidirectional " si kweli, minara ya simu hutumia technologia inayojulikana kama beam forming specifically, inatumia constructive and destructive interference kudirect radio waves in particular angle. Ndiposa watu wanatumia neno cell.

Ukiangalia minara ya simu utapata kuna transmiter tatu zikiwa about 120 degrees apart, ukiwahi tower sita basi unamake cell moja. Uka angalia minara ya simu kutoka juu, kisha uchore line kutoka transmiter hadi transmiter ukizingatia 120 degrees angle kati yazo utapata picha kama hapo chini. ni kama cells za honeycomb.
Cells zimetengenezwa hiyo ndio kuwe na signal kutoka pande zote, na hiyo ndio sababu "Hijalishi simu imeleekezwa" wapi.
arraycomm.gif

Ukija kwa simu yenyewe, kwa sababu ya regulations za serikali ambazo zina limit kiasi cha radiation exposure, ma engineer wanatengeneza antena za simu kutransmit signals kutokea sehemu fulani ya simu kwa wingi kuliko sehemu zingine. Kama mnakumbuka Iphone mpya ilipotokea kuna sehemu ilikuwa ukiweka mkono tu basi simu inkatika, kama ingekuwa signal za simu zina tokea kote kwa usawa basi pasingekuwepo na shida hizo za iphone.

Aliye uliza vipimo. vina itwa "Specific Absorption Rate (SAR)" units zake ni "watts per kilogram (W/kg)". ukizingatia maelezo na mawaidha ya IEEE basi SAR za kichwa zisizidi 1.6 W/kg, kwa mwilli zisizidi 0.08 W/kg. Kwa mikono, viganja na miguu zisizidi 4 W/kg.

Kisha huwezi kucompare radio na simu, radio ni receiver tu, inapokea radio waves, wakati simu ni tranceiver. Ina transmit na ku recive.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom