Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,094
- 16,127
hii mada imejaa upotoshaji na mbaya zaidi wengine wanajisifu kuwa wamewaelimisha wengine kumbe ndio wanaeneza ujumbe wenye kupotosha, mwanzisha mada kama upo na chanzo cha hii habari tafadhali tupatie tuende deep zaidi au tufahamishe namna umeweza kugundua hili kwa lugha ya kitaalamu.