Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,980
- 37,027
• Kiasi cha fedha unachokisotea kuna watu walizishika na wengine ni fedha ya kuhonga au ya kufanyia birthday tu.
• Elimu unayoisotea kuna mtu atakupa karatasi kwamba umehitimu, maana yake yeye alishapita hiyo level na hakuridhika nayo.
• Cheo kikubwa duniani kwasasa ni Urais, ni cheo ambacho wengi wamekipata na wamekiacha. Zamani hizo kulikuwa na Rais wa Dunia yote, cheo ambacho sasa hakipo.
Ridhika na ulichonacho, acha kujitesa kwa vitu vipitavyo.
Maisha niliyonayo ukiniona wewe ambaye hujui nilikotoka unaweza kuona sijafanikiwa lakini akiniona mtu wa kijijini kwetu ambaye anajua nilikotoka atasema nimeganikiwa tena sana.
Godoro la kwanza kulalia ni lile la shule ya bweni form one , huko nyuma full kulalia mikeka chini au kwenye vitanda vya kamba.
Viazi pori nyumbani tumekula mara kadhaa ili kujikinga na kifo.
Sasa hivi nyumbani mpaka magodoro ya akiba yapo, nyama sometimes zinachacha.
Baada ya nafsi yangu kuanza kutaka maisha bora zaidi ya hapa ndipo nimegundua binadamu ni kama hana akili, anahangahikia mno vitu ambavyo havijawahi kumsaidia. Vitu vipitavyo, upepo, vanity.
Hakuna mtu aliyewahi kupata msaada wa kudumu kutoka kwenye cheo chake, elimu yake au mali yake.
Hivyo vyote vitakupa furaha ya muda mfupi, tena mfupi sana.
• Elimu unayoisotea kuna mtu atakupa karatasi kwamba umehitimu, maana yake yeye alishapita hiyo level na hakuridhika nayo.
• Cheo kikubwa duniani kwasasa ni Urais, ni cheo ambacho wengi wamekipata na wamekiacha. Zamani hizo kulikuwa na Rais wa Dunia yote, cheo ambacho sasa hakipo.
Ridhika na ulichonacho, acha kujitesa kwa vitu vipitavyo.
Maisha niliyonayo ukiniona wewe ambaye hujui nilikotoka unaweza kuona sijafanikiwa lakini akiniona mtu wa kijijini kwetu ambaye anajua nilikotoka atasema nimeganikiwa tena sana.
Godoro la kwanza kulalia ni lile la shule ya bweni form one , huko nyuma full kulalia mikeka chini au kwenye vitanda vya kamba.
Viazi pori nyumbani tumekula mara kadhaa ili kujikinga na kifo.
Sasa hivi nyumbani mpaka magodoro ya akiba yapo, nyama sometimes zinachacha.
Baada ya nafsi yangu kuanza kutaka maisha bora zaidi ya hapa ndipo nimegundua binadamu ni kama hana akili, anahangahikia mno vitu ambavyo havijawahi kumsaidia. Vitu vipitavyo, upepo, vanity.
Hakuna mtu aliyewahi kupata msaada wa kudumu kutoka kwenye cheo chake, elimu yake au mali yake.
Hivyo vyote vitakupa furaha ya muda mfupi, tena mfupi sana.