Tafakuri ya Said Michael kuhusu dhana ya "CCM MPYA"!!

Kisu Cha Ngariba

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
22,137
48,808
9571cadab5d42b24c36c85d579892396.jpg
 
Hii katuni niliiona jana nikacheka sana, unajua kumbe mtu unaweza kujivua nguo kisha ukajiona uko na nguo kabisa!! CCM wamejivua nguo Dodoma na kushangilia kuwa wamevaa suti. Naona Zanizabr wakagoma
 
Ha ha haaa kabadili maamuzi mwenyewe subiria atakuja kwenye katiba yetu. Hapo ndio udikteta ambao Kagame ameisababishia Tz
 
haaahaa hiyo katuni noma sasa sijui anarukaje kwa kasi wakat hata kushuka hapo hataweza
 
Back
Top Bottom