Tafakuri ya FaiizaFoxy 4: Historia. Professor Rudolph T. Ware III ni Mohamed Said wa USA?

Alama ni sahihi kabisa na mpaka kuna watu hupewa jina hilo kwa sifa zake.

Hili nalijua ila kwa Waswahili linakuwa linaongeza utata,na hii ni kutokana na nafasi ya lugha na kuwasikiliza waswahili wanasemaje au wanalizungumziaje tamko fulani.

Mathalani Alama kwa Waswahili huwa wanalitumia kama maana ya ishara,ila kwa waarabu wenyewe wanalitumia kwa mtu mwenye elimu,au ishara au alama kama Waswahili. Ila Waswahili sisi ukituambia kwamba "Alama" maana yake ni msomi unakuwa unatuchanganya na sijawahi kuwasikia Waswalihili wakitumia tamko "Alama" wakimaanisha maana hiyo uliyoitoa,kama um

Hapo au ungetumia tamko "Mwanachuoni" hili pa zuri.
 
Drioboy,
Mimi hakika najua si kuwa najifanya kujua.

Ukitaka ushahidi wa kujua kwangu sema nitakuonyesha.

Hayo mengine ni utashi wako sina mamlaka ya kukuingilia.
Hii inaitwa akili kubwa M.S anajifanya mjuaji sana na nilishamwambia simpendi uzee unampeleka kubaya
 
Hili nalijua ila kwa Waswahili linakuwa linaongeza utata,na hii ni kutokana na nafasi ya lugha na kuwasikiliza waswahili wanasemaje au wanalizungumziaje tamko fulani.

Mathalani Alama kwa Waswahili huwa wanalitumia kama maana ya ishara,ila kwa waarabu wenyewe wanalitumia kwa mtu mwenye elimu,au ishara au alama kama Waswahili. Ila Waswahili sisi ukituambia kwamba "Alama" maana yake ni msomi unakuwa unatuchanganya na sijawahi kuwasikia Waswalihili wakitumia tamko "Alama" wakimaanisha maana hiyo uliyoitoa,kama um

Hapo au ungetumia tamko "Mwanachuoni" hili pa zuri.
Si msomi tu, ni Mwalim wa wasomi. Alama wa Maulamaa.

Tafadhali rekebisha.

Unaweza kumuita upendavyo, binafsi nimependa hilo la Alama. Kuanza kumuita mtu mmoja "Ulamaa" haiji, si kibwagizo fasaha kwa "individual".

Unafahamu, sisi Waswahili mtu unae mheshimu huwezi kumuita kwa jina lake kavukavu lazima liwe na uzito stahiki na Alama ni vyema kabisa, hata ukirejea kwenye Qur'an unalipata hilo.

Hutoweza kunibadilisha kwenye hilo. Wanasema "you can't teach an old dog new tricks".

Niache tu, turudi kwenye mada.
 
Unaweza kumuita upendavyo, binafsi nimependa hilo la Alama. Kuanza kumuita mtu mmoja "Ulamaa" haiji, si kibwagizo fasaha kwa "individual".

Sasa hili la "Ulamaa" ndio waswahili wamesikika wakilitumia. Hilo la "Alama" umelisikia kwa kina nani au wewe ndio wa kwanza na kama wewe si wa kwanza kwanini uwatangulie wakubwa zako ?


Hutoweza kunibadilisha kwenye hilo. Wanasema "you can't teach an old dog new tricks".

Lengo sio kukubadilisha lengo ni kuku kumbusha urudi kwa waswahili wenyewe. Maana hata lugha nayo huwa inatoa hukumu.

Ila haya maneno yako ya mwisho,kielimu hayako sahihi kabisa na usiwe unayatumia katika jambo linalo husu elimu.
 
Sasa hili la "Ulamaa" ndio waswahili wamesikika wakilitumia. Hilo la "Alama" umelisikia kwa kina nani au wewe ndio wa kwanza na kama wewe si wa kwanza kwanini uwatangulie wakubwa zako ?




Lengo sio kukubadilisha lengo ni kuku kumbusha urudi kwa waswahili wenyewe. Maana hata lugha nayo huwa inatoa hukumu.

Ila haya maneno yako ya mwisho,kielimu hayako sahihi kabisa na usiwe unayatumia katika jambo linalo husu elimu.
Alama.

Huwezi ibadilisha maana.

Jaribu kutumia google utafute neno Alama uone nini utapata.

Sipo hapa kubishana kitu ambacho huna ujuzi nacho. Aidha jifundishe kuwa umepata jipya kutoka kwangu au liepuke lakini huwezi kunikubalisha kuwa eti Kiswahili kimezoeleka "Ulamaa" basi nami nimuite "Ulamaa". Nimekufahamisha juu kidogo hapo, rudi tena, kuwa Alama ni Mwalim wa Maulamaa. Sasa nini kinakutatiza hapo?

Kwanini ulazimishe kitu ambacho hakiendani na balagha? Huwezi kumuita mtu mmoja "Ulamaa", unaweza kumuita Alim kama ni msomi na kama ni Mwalim wa wasomi unamuita Alama. Simple.

Hiyo sentensi yako ya mwisho baki nayo wewe, elimu yako na yangu tofauti. Nitaitumia hiyo sentensi na nnarudia...

Hutoweza kunibadilisha kwenye hilo. Wanasema "you can't teach an old dog new tricks".

Niache tu, turudi kwenye mada.
 
Huyo anaejiita Dripboy ni "typical" punguani wa zao la "single mother", si unaona jinsi asivyo na adabu katika maandiko yake humu?

Huyo ni wale watoto ambao kila mwanamme anaeingia kwao anaambiwa "mwamkie baba'ko". Mwishowe wanadhani kila mtu anaweza kuwa baba wa yeyote.

Afanaalek kufa hakuna break.
Habari ya Masiku Madame Faiza... naona bado watubagaza watoto wa 'Singo Mama'
 
Jaribu kutumia google utafute neno Alama uone nini utapata.

Nimeshaona tofauti yangu na yako,wewe unatumia hisia mimi natumia elimu.

Nenda kasome misingi ya lugha yoyote ile,lazima ukitaka kujua mafumizi ya lugha husika na usahihi wa maneno urejee kwa wenye lugha yao.

Sasa mimi unaimbia google ,nimeenda google sijaona maana ya Alama zaidi ya Ishara kwa waswahili.
Sipo hapa kubishana kitu ambacho huna ujuzi nacho.

Nimekubali sina ujuzi nacho,basi nipe faida au nielekeze unaniambia niende google,na huko nyuma nilikuuliza hivi,je waswahili ambao tamko hili wanalitumia,je huwa wana maanisha nini ? Kama wewe ndio wa kwanza,swali kwanini umewatangulia wakubwa zako kisa mtazamo wako ?

Naposema "Waswahili" katika lugha mfano wake kama vile mfano wa "Mabedui" kwa waarabu hawa mabedui walikuwa wanatoa hukumu juu ya usahihi wa lugha au tamko fulani na kupitisha au kukosa lingine,rejea kikao kilichofanyika kati ya Imamu Kisai na Imamu Sibawayhi kipindi cha mtawala Haruni Rashidi akiwa na waziri wake Al Barmaki,kikao hiki aliyekuja kuamua ni bedui kuwa kati ya Imamu Kisai na Imamu Sibawayhi nani alipatia katika sentensi ambayo Imamu Kisai alimuuliza Imamu Sibawayhi. Kwahiyo naposema Waswahili wana nafasi kubwa katika kuhukumu juu ya usahihi wa tamko na maana yake. Sasa ungekuwa ni mtu wa kusoma mambo ya lugha na misingi yake hili ungelielewa na usinge bisha juu ya kadhia hii,lazima uwe na marejeo.
Kwanini ulazimishe kitu ambacho hakiendani na balagha?

Bibi mkubwa huku usiende sababu utashindwa kurudi. Tamko hilo halitaki wala halihitaji Balagha ya maana,wala Balagha ya bayana,liko wazi sana.

Maana,nitakuuliza balagha gani katika zile aina tatu za balagha ?
Huwezi kumuita mtu mmoja "Ulamaa",

Tamko Ulamaa nimeshakufafanulia ya kuwa kiasili katika kirabu ni wingi lakini Waswahili wamelitumia kwa umoja,na hakuna mswahili anaetumia tamko "Alama" kwa maana ya msomi zaidi yako wewe leo hii.

Sasa unapo kataa kwamba huwezi kumuita mtu mmoja "Ulamaa" ,mimi nitakuuliza kwa misingi gani ya lugha ya Kiswahili au ya Kiarabu ? Ukisema Kiswahili utakuwa muongo na ukisema Kiarabu nitakwambia kwani hapa tunazungumzia Kiarabu ?
unaweza kumuita Alim kama ni msomi na kama ni Mwalim wa wasomi unamuita Alama. Simple.

Hii maana umeipata wapi ? Waswahili hivi vitu hawana,Alimu na Alama sisi hatuna.
Hiyo sentensi yako ya mwisho baki nayo wewe, elimu yako na yangu tofauti. Nitaitumia hiyo sentensi na nnarudia...

Sasa hiki ni kiburi,sababu unaikataa haki.
Hutoweza kunibadilisha kwenye hilo. Wanasema "you can't teach an old dog new tricks".

Hii kauli kielimu haina nafasi,hii kauli imekaa kihuni na kwa ajili ya wahuni.

Tujikite kwenye mada.
 
Nimeshaona tofauti yangu na yako,wewe unatumia hisia mimi natumia elimu.

Nenda kasome misingi ya lugha yoyote ile,lazima ukitaka kujua mafumizi ya lugha husika na usahihi wa maneno urejee kwa wenye lugha yao.

Sasa mimi unaimbia google ,nimeenda google sijaona maana ya Alama zaidi ya Ishara kwa waswahili.


Nimekubali sina ujuzi nacho,basi nipe faida au nielekeze unaniambia niende google,na huko nyuma nilikuuliza hivi,je waswahili ambao tamko hili wanalitumia,je huwa wana maanisha nini ? Kama wewe ndio wa kwanza,swali kwanini umewatangulia wakubwa zako kisa mtazamo wako ?

Naposema "Waswahili" katika lugha mfano wake kama vile mfano wa "Mabedui" kwa waarabu hawa mabedui walikuwa wanatoa hukumu juu ya usahihi wa lugha au tamko fulani na kupitisha au kukosa lingine,rejea kikao kilichofanyika kati ya Imamu Kisai na Imamu Sibawayhi kipindi cha mtawala Haruni Rashidi akiwa na waziri wake Al Barmaki,kikao hiki aliyekuja kuamua ni bedui kuwa kati ya Imamu Kisai na Imamu Sibawayhi nani alipatia katika sentensi ambayo Imamu Kisai alimuuliza Imamu Sibawayhi. Kwahiyo naposema Waswahili wana nafasi kubwa katika kuhukumu juu ya usahihi wa tamko na maana yake. Sasa ungekuwa ni mtu wa kusoma mambo ya lugha na misingi yake hili ungelielewa na usinge bisha juu ya kadhia hii,lazima uwe na marejeo.


Bibi mkubwa huku usiende sababu utashindwa kurudi. Tamko hilo halitaki wala halihitaji Balagha ya maana,wala Balagha ya bayana,liko wazi sana.

Maana,nitakuuliza balagha gani katika zile aina tatu za balagha ?


Tamko Ulamaa nimeshakufafanulia ya kuwa kiasili katika kirabu ni wingi lakini Waswahili wamelitumia kwa umoja,na hakuna mswahili anaetumia tamko "Alama" kwa maana ya msomi zaidi yako wewe leo hii.

Sasa unapo kataa kwamba huwezi kumuita mtu mmoja "Ulamaa" ,mimi nitakuuliza kwa misingi gani ya lugha ya Kiswahili au ya Kiarabu ? Ukisema Kiswahili utakuwa muongo na ukisema Kiarabu nitakwambia kwani hapa tunazungumzia Kiarabu ?


Hii maana umeipata wapi ? Waswahili hivi vitu hawana,Alimu na Alama sisi hatuna.


Sasa hiki ni kiburi,sababu unaikataa haki.


Hii kauli kielimu haina nafasi,hii kauli imekaa kihuni na kwa ajili ya wahuni.

Tujikite kwenye mada.
Sasa wewe ndiyo haupo kielimu. Unabisha usivyovielewa. Hakuna methali ya kihuni, labda lugha tu inakupiga chenga na au elimu uliyosoma ukisikia neno "dog" au "mbwa" ushajenga fikra potofu.

Hilo swali lako la Kiswahili na Kiarabu halina mantiki kwenye "title" Alama kwani huwezi kutenganisha au kutafsiri "title" au jina la mtu Kiswahili likawa vingine na Kiarabu likawa vingine na pia huwezi kutenganisha Waislam na Kiarabu. Never.

Mwenye "title" ya Doctor kwa Kingereza anabaki kuwa Doctor kwa Kiswahili au Kiarabu. Mwenye title ya Professor anabaki kuwa hivyo kwa Kiswahili au Kiarabu au lugha nyengine yoyote ile. Hali kadhalika mwenye "title" ya Alama anabaki kuwa Alama kwa lugha yoyote iwe mnaongea Kiswahili, Kingereza au Kiarabu au lugha nyengine yoyote ile, atabaki kuwa Alama. Kama vile ID yako "Zurri" nani awezae kukubadilisha akakuita apendavyo yeye kwa kuwa tu kwa lugha yake haileti maana? Fikiri.

Soma ...

96_4.gif

4. Ambaye amefundisha kwa kalamu. 4

96_5.gif

5. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui.



Unaziona "Alama" ngapi hapo na zinamaanisha nini?


Ulitakiwa urudi kwenye Kiarabu siyo kurudi kwenye Kiswahili kwani maneno mengi ya Kiswahili yanatokana/oana na Kiarabu.

Na hiyo "Alama" ni "title" inayotumika vilivyo Mashariki ya kati na Persia na wote, Sunni na Shia. Haibagui hiyo.

Labda ungeniambia badala ya L moja niweke mbili iwe "Allama" hapo ningekuelewa.

Kama umetafuta kwenye google na ukakuta neno alama kwa Kiswahili linamaanisha "sign", hujakosea bali fahamu tu, neno alama kama "sign" likiwa katikati ya sentensi litabaki na kuanza kwa herufi ndogo (small letter) lakini "title Alama hata katikati ya sentensi litaanza na herufi kubwa. Unafahamu kwanini?

Pia kwa kukuongezea faida tu, neno linaweza kuwa jina pia na neno moja linaweza kuwa na maana zaidi ya moja, itategemea na tasarufi. Na pia maana moja inaweza kuwa na maneno zaidi ya moja, mfano neno "aya" pia ni "sign" na hutumika Kiswahili na Kiarabu lakini lina sehemu zake na neno alama pia ni "sign" lakini lina sehemu zake na jina Alama lina sehemu zake na "title" Alama ina sehemu zake.

Pale ulipotafuta hukupapata, nnakusaidia. Soma zaidi: https://findwords.info/term/allamah

Msome hapa Dr. Sir Muhammad Iqbal ambae licha ya "title" zote hizo za Doctor na Sir, Waislam wakimuita "Allama Iqbal", jiulize kwanini? Soma zaidi: http://www.allamaiqbal.com/

Usinijaribu kwenye balagha hata nikitoka usingizini na ndiyo maana nikakufahamisha juu hapo kuhusu balagha.

Kwa ufupi hiyo inaelezeka kwa "badi'i" ukipenda, ambayo sijakufafanulia huko bado. Au ukipenda, nimekufafanulia juu huko "bi maane'i" nilipokufahamisha maana ya Alama itumikavyo kama "title". Au ulitaka niingie kwenye "bayan"? Unalo? Na hapo bado sijaingia kwenye "tasawur".

Na tafadhali usije ukanichokoza kwenye "sarf" na "nahw".

Zurri una mengi ya kujifunza na nnakuhakikishia ukija taratibu na ukiwa unanisoma kwa utulivu utajifunza mengi sana kwani binafsi kila siku nnajifunza mapya kwa namna moja au nyengine.

Huwa sikisii.

Hutoweza kunibadilisha kwenye hilo. Wanasema "you can't teach an old dog new tricks".

Niache tu, turudi kwenye mada.
 
Sasa wewe ndiyo haupo kielimu. Unabisha usivyovielewa. Hakuna methali ya kihuni, labda lugha tu inakupiga chenga na au elimu uliyosoma ukisikia neno "dog" au "mbwa" ushajenga fikra potofu.

Hilo swali lako la Kiswahili na Kiarabu halina mantiki kwenye "title" Alama kwani huwezi kutenganisha au kutafsiri "title" au jina la mtu Kiswahili likawa vingine na Kiarabu likawa vingine na pia huwezi kutenganisha Waislam na Kiarabu. Never.

Mwenye "title" ya Doctor kwa Kingereza anabaki kuwa Doctor kwa Kiswahili au Kiarabu. Mwenye title ya Professor anabaki kuwa hivyo kwa Kiswahili au Kiarabu au lugha nyengine yoyote ile. Hali kadhalika mwenye "title" ya Alama anabaki kuwa Alama kwa lugha yoyote iwe mnaongea Kiswahili, Kingereza au Kiarabu au lugha nyengine yoyote ile, atabaki kuwa Alama. Kama vile ID yako "Zurri" nani awezae kukubadilisha akakuita apendavyo yeye kwa kuwa tu kwa lugha yake haileti maana? Fikiri.

Soma ...

96_4.gif

4. Ambaye amefundisha kwa kalamu. 4

96_5.gif

5. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui.



Unaziona "Alama" ngapi hapo na zinamaanisha nini?


Ulitakiwa urudi kwenye Kiarabu siyo kurudi kwenye Kiswahili kwani maneno mengi ya Kiswahili yanatokana/oana na Kiarabu.

Na hiyo "Alama" ni "title" inayotumika vilivyo Mashariki ya kati na Persia na wote, Sunni na Shia. Haibagui hiyo.

Labda ungeniambia badala ya L moja niweke mbili iwe "Allama" hapo ningekuelewa.

Kama umetafuta kwenye google na ukakuta neno alama kwa Kiswahili linamaanisha "sign", hujakosea bali fahamu tu, neno alama kama "sign" likiwa katikati ya sentensi litabaki na kuanza kwa herufi ndogo (small letter) lakini "title Alama hata katikati ya sentensi litaanza na herufi kubwa. Unafahamu kwanini?

Pia kwa kukuongezea faida tu, neno linaweza kuwa jina pia na neno moja linaweza kuwa na maana zaidi ya moja, itategemea na tasarufi. Na pia maana moja inaweza kuwa na maneno zaidi ya moja, mfano neno "aya" pia ni "sign" na hutumika Kiswahili na Kiarabu lakini lina sehemu zake na neno alama pia ni "sign" lakini lina sehemu zake na jina Alama lina sehemu zake na "title" Alama ina sehemu zake.

Pale ulipotafuta hukupapata, nnakusaidia. Soma zaidi: https://findwords.info/term/allamah

Msome hapa Dr. Sir Muhammad Iqbal ambae licha ya "title" zote hizo za Doctor na Sir, Waislam wakimuita "Allama Iqbal", jiulize kwanini? Soma zaidi: http://www.allamaiqbal.com/

Usinijaribu kwenye balagha hata nikitoka usingizini na ndiyo maana nikakufahamisha juu hapo kuhusu balagha.

Kwa ufupi hiyo inaelezeka kwa "badi'i" ukipenda, ambayo sijakufafanulia huko bado. Au ukipenda, nimekufafanulia juu huko "bi maane'i" nilipokufahamisha maana ya Alama itumikavyo kama "title". Au ulitaka niingie kwenye "bayan"? Unalo? Na hapo bado sijaingia kwenye "tasawur".

Na tafadhali usije ukanichokoza kwenye "sarf" na "nahw".

Zurri una mengi ya kujifunza na nnakuhakikishia ukija taratibu na ukiwa unanisoma kwa utulivu utajifunza mengi sana kwani binafsi kila siku nnajifunza mapya kwa namna moja au nyengine.

Huwa sikisii.

Hutoweza kunibadilisha kwenye hilo. Wanasema "you can't teach an old dog new tricks".

Niache tu, turudi kwenye mada.
Ndugu zangu,
Hadi hapa inatosha turudini kwenye mada.
Maalim Faiza katoa darsa la kutosha hali kadhalika Zurri.

Mjadala umeonesha aina ya watu ambao tunao hapa.
Hawa ndiyo wanaoifanya hii Majlis kun'gara.
 
.
Ndugu zangu,
Hadi hapa inatosha turudini kwenye mada.
Maalim Faiza katoa darsa la kutosha hali kadhalika Zurri.

Mjadala umeonesha aina ya watu ambao tunao hapa.
Hawa ndiyo wanaoifanya hii Majlis kun'gara.
Nimekuelewa Allama (notice the changes in spelling in order to differentiate "alama" ya ishara (sign) na "Alama" ya hadhi (title)).

Nakuomba msamaha Zurri na wasomaji wengine kama nimetumia lugha inayoweza kutafsirika vibaya na wengine. Mwisho wa siku, hakuna mkamilifu ila Allah. Lakini pia nafurahi na ku!farijika kuwa malumbano yamekuja katika kutafuta "title" sahihi kwako kaka yangu. Ma shaa Allah.

Turudi kwenye mada.

Allama, nini maoni yako baada ya kumsikiliza Professor Ware?
 
Huyo anaejiita Dripboy ni "typical" punguani wa zao la "single mother", si unaona jinsi asivyo na adabu katika maandiko yake humu?

Huyo ni wale watoto ambao kila mwanamme anaeingia kwao anaambiwa "mwamkie baba'ko". Mwishowe wanadhani kila mtu anaweza kuwa baba wa yeyote.

Afanaalek kufa hakuna break.
Duh, umetisha dada, unamaanisha kijana ni mmojawao wale wanaoitwa "watoto wa nyumba za wageni"?.
 
Mitaani wanasema "palipoacha kuwasha usipakune tena".

Umemsikiliza Professor Ware? Una maoni yepi kutokana na mafundisho yake na kichwa cha mada hii.
We bibi full time huko JF unafanya Kazi zako muda gani?
 
.

Nimekuelewa Allama (notice the changes in spelling in order to differentiate "alama" ya ishara (sign) na "Alama" ya hadhi (title)).

Nakuomba msamaha Zurri na wasomaji wengine kama nimetumia lugha inayoweza kutafsirika vibaya na wengine. Mwisho wa siku, hakuna mkamilifu ila Allah. Lakini pia nafurahi na ku!farijika kuwa malumbano yamekuja katika kutafuta "title" sahihi kwako kaka yangu. Ma shaa Allah.

Turudi kwenye mada.

Allama, nini maoni yako baada ya kumsikiliza Professor Ware?

Nimekusamehe kwa moyo mkunjufu kabisa.
 
Mitaani wanasema "palipoacha kuwasha usipakune tena".

Umemsikiliza Professor Ware? Una maoni yepi kutokana na mafundisho yake na kichwa cha mada hii.
Professor Ware anaongea ukweli, wazungu wanataka kila kitu kizuri kijulikane kuwa asili yake ni wao, kila kibaya wanatupiwa waafrika na waarabu.

Ni wazungu hao hao waliowaua mababu na mabibi zetu katika bahari ya atlantic wakati wa safari ya kuelekea Marekani.
 
Sasa hili la "Ulamaa" ndio waswahili wamesikika wakilitumia. Hilo la "Alama" umelisikia kwa kina nani au wewe ndio wa kwanza na kama wewe si wa kwanza kwanini uwatangulie wakubwa zako ?




Lengo sio kukubadilisha lengo ni kuku kumbusha urudi kwa waswahili wenyewe. Maana hata lugha nayo huwa inatoa hukumu.

Ila haya maneno yako ya mwisho,kielimu hayako sahihi kabisa na usiwe unayatumia katika jambo linalo husu elimu.
Kwa mara ya kwanza nimekuelewa kiongozi akili kubwa sana unayo.
 
Back
Top Bottom