Tafakuri Jadidi: Fukuto la Kongo, Kabila (Baba) alimwandaa Mwanaye Joseph tangu Kunduchi Mtongani, Tanzania

Bakongoman wanasumbuliwa na wazungu, kuna rasilimali wachukua na ili waendelee 4
 
Mjengwa nakuomba fanya utafiti wa kutosha kuhusu historia ya kweli kuhusu Joseph, je, jina la Joseph ndiyo alilo batizwa nalo wakati alipo zaliwa,je Laurent ndiye kweli biological father wa Joseph?

Mama yake Joseph ambaye alikuwa anaitwa Marcellina alikuwa na undugu gani na Waziri wa sasa wa Ulinzi wa huko Rwanda, kama ni mjomba wake hii imekaa vipi? Mjengwa ana uhakika gani kama Joseph alizaliwa Dar na sio kwenye kambi ya wapigania uhuru wa misituni aliyo kuwa setup katika misitu ya Kongo na Kabila Sr. pamoja na mpigania uhuru mwenzake kutoka Rwanda, huyo ndie alikuwa amemuoa Marcellina na alizaa nae watoto watatu na baadae alifariki kwenye mazingira ya kutatanisha.

Sasa Bwana Mjengwa atwambie huyo mpigania uhuru wa Rwanda alikuwa anaitwa nani, atutajie majina ya watoto wake, je,watoto hao walilelewa nani baada ya baba yao mzazi kuuwawa, uandishi wa Mjengwa na tafiti zake sio kwamba hajui ukweli huo is simply convenietly avoiding kulizungumzia.

Bila Wacongomani kujuwa kwa undani suala hili - amani katika Taifa la DRC itabaki ni ndoto za mchana, kuna inherent external influence zinazo manipulate siasa ndani ya Congo DRC kwa kutumia remote control hilo ndilo tatizo kuu nchini Congo - haya masuala ya Waluba, Wakasai, wa boringo boringo, wa bandeko nangai, wa maseke ya meme, Wahima hilo ni tatizo dogo kutatulika - narudia kusema wabaya wa DRC wako nje ya Congo.

Wacongomani wakifanya mchezo, wakashindwa kushikamana na ku-address kwa pamoja ni nani hasa adui wa kweli wa Taifa lao, basi Wacongo wataendelea kuvurugwa miaka nenda rudi mpaka jimbo la KIVU litakapo jitenga na kuungana na nchi jirani - that is the crux of the matter here in other words ndio lengo kuu za perenial turmoil inayo endelea nchini Congo - mengine ni danganya toto tu.
heko mkuu,na pale nahc mpk Yesu arudi ndo watatulia
 
Taabu kubwa DRC ni raslimali nyingi, kutokuwa na mfumo thabiti wa utawala, viongozi wabinafsi, Viongozi wakuu wa majeshi wajasiliamali, Nchi jirani kama Rwanda ,Uganda ni wanufaika wakubwa wa Vita mashariki Congo.
 
Tangu alipouwawa Lumumba DRC haiwezi kutulia kirahisi tu. Kutaibuka sababu za kuhalalisha mifarakano na utajiri wao utaendelea kuondoka ndani ya makontena ya futi 20 pale bandarini Dar.

Hiyo ndio laana ya rasilimali. Bahati nzuri sana Tanzania hatukuwa na msingi wa kujitawala kama wa mataifa mengi ya afrika. Yanayowasumbua waafrika wenzetu tumekuwa tukiweza kuyatambua mapema na hivyo hayatusumbui.

Kuna yule mpuuzi mmoja wa EU alitaka kuanzisha chokochoko lakini atakuwa kasimuliwa Tanzania ilivyo na tofauti na mataifa mengine yaliyoharibiwa na mbinu chafu za kibeberu tangu zilipopata uhuru wa bendera miaka ya 1960 mwanzoni.
 
Tangu alipouwawa Lumumba DRC haiwezi kutulia kirahisi tu. Kutaibuka sababu za kuhalalisha mifarakano na utajiri wao utaendelea kuondoka ndani ya makontena ya futi 20 pale bandarini Dar.

Hiyo ndio laana ya rasilimali. Bahati nzuri sana Tanzania hatukuwa na msingi wa kujitawala kama wa mataifa mengi ya afrika. Yanayowasumbua waafrika wenzetu tumekuwa tukiweza kuyatambua mapema na hivyo hayatusumbui.

Kuna yule mpuuzi mmoja wa EU alitaka kuanzisha chokochoko lakini atakuwa kasimuliwa Tanzania ilivyo na tofauti na mataifa mengine yaliyoharibiwa na mbinu chafu za kibeberu tangu zilipopata uhuru wa bendera miaka ya 1960 mwanzoni.

Beberu akimbiwi.Kama unakalia raslimali na hazikunufaishi zakufaa nn.
 
Hata ukimuoa hatataka uzao na ww km cyo mtusi.Ataaga anaenda kwao kusalimia atabeba mimba ya mtusi mwenzie atarudi kwako.Na huwa hata km ni mama wa nyumbani lkn lazima atatumika kiintelijensia kwa manufaa ya Rwanda.
True we huoni wale majasusi wa kiuchumi waliotumia uzuri wao kuwasomesha namba wazee wetu wakashindwa kuvurukuta sababu ya nguvu ya Kei.
 
Hata ukimuoa hatataka uzao na ww km cyo mtusi.Ataaga anaenda kwao kusalimia atabeba mimba ya mtusi mwenzie atarudi kwako.Na huwa hata km ni mama wa nyumbani lkn lazima atatumika kiintelijensia kwa manufaa ya Rwanda.
True we huoni wale majasusi wa kiuchumi waliotumia uzuri wao kuwasomesha namba wazee wetu wakashindwa kuvurukuta sababu ya nguvu ya Kei.
Mjengwa nakuomba fanya utafiti wa kutosha kuhusu historia ya kweli kuhusu Joseph, je, jina la Joseph ndiyo alilo batizwa nalo wakati alipo zaliwa,je Laurent ndiye kweli biological father wa Joseph?

Mama yake Joseph ambaye alikuwa anaitwa Marcellina alikuwa na undugu gani na Waziri wa sasa wa Ulinzi wa huko Rwanda, kama ni mjomba wake hii imekaa vipi? Mjengwa ana uhakika gani kama Joseph alizaliwa Dar na sio kwenye kambi ya wapigania uhuru wa misituni aliyo kuwa setup katika misitu ya Kongo na Kabila Sr. pamoja na mpigania uhuru mwenzake kutoka Rwanda, huyo ndie alikuwa amemuoa Marcellina na alizaa nae watoto watatu na baadae alifariki kwenye mazingira ya kutatanisha.

Sasa Bwana Mjengwa atwambie huyo mpigania uhuru wa Rwanda alikuwa anaitwa nani, atutajie majina ya watoto wake, je,watoto hao walilelewa nani baada ya baba yao mzazi kuuwawa, uandishi wa Mjengwa na tafiti zake sio kwamba hajui ukweli huo is simply convenietly avoiding kulizungumzia.

Bila Wacongomani kujuwa kwa undani suala hili - amani katika Taifa la DRC itabaki ni ndoto za mchana, kuna inherent external influence zinazo manipulate siasa ndani ya Congo DRC kwa kutumia remote control hilo ndilo tatizo kuu nchini Congo - haya masuala ya Waluba, Wakasai, wa boringo boringo, wa bandeko nangai, wa maseke ya meme, Wahima hilo ni tatizo dogo kutatulika - narudia kusema wabaya wa DRC wako nje ya Congo.

Wacongomani wakifanya mchezo, wakashindwa kushikamana na ku-address kwa pamoja ni nani hasa adui wa kweli wa Taifa lao, basi Wacongo wataendelea kuvurugwa miaka nenda rudi mpaka jimbo la KIVU litakapo jitenga na kuungana na nchi jirani - that is the crux of the matter here in other words ndio lengo kuu za perenial turmoil inayo endelea nchini Congo - mengine ni danganya toto tu.

Joseph Kanambe.
Vipi mfano PAKA Mungu akimpenda zaidi as human nature je mpango wa Kivu kujitenga utaendelea kuwepo Ili kujiunga na nchi ya East Africa au ndo utakufa kibudu.
 
Mjengwa nakuomba fanya utafiti wa kutosha kuhusu historia ya kweli kuhusu Joseph, je, jina la Joseph ndiyo alilo batizwa nalo wakati alipo zaliwa,je Laurent ndiye kweli biological father wa Joseph?

Mama yake Joseph ambaye alikuwa anaitwa Marcellina alikuwa na undugu gani na Waziri wa sasa wa Ulinzi wa huko Rwanda, kama ni mjomba wake hii imekaa vipi? Mjengwa ana uhakika gani kama Joseph alizaliwa Dar na sio kwenye kambi ya wapigania uhuru wa misituni aliyo kuwa setup katika misitu ya Kongo na Kabila Sr. pamoja na mpigania uhuru mwenzake kutoka Rwanda, huyo ndie alikuwa amemuoa Marcellina na alizaa nae watoto watatu na baadae alifariki kwenye mazingira ya kutatanisha.

Sasa Bwana Mjengwa atwambie huyo mpigania uhuru wa Rwanda alikuwa anaitwa nani, atutajie majina ya watoto wake, je,watoto hao walilelewa nani baada ya baba yao mzazi kuuwawa, uandishi wa Mjengwa na tafiti zake sio kwamba hajui ukweli huo is simply convenietly avoiding kulizungumzia.

Bila Wacongomani kujuwa kwa undani suala hili - amani katika Taifa la DRC itabaki ni ndoto za mchana, kuna inherent external influence zinazo manipulate siasa ndani ya Congo DRC kwa kutumia remote control hilo ndilo tatizo kuu nchini Congo - haya masuala ya Waluba, Wakasai, wa boringo boringo, wa bandeko nangai, wa maseke ya meme, Wahima hilo ni tatizo dogo kutatulika - narudia kusema wabaya wa DRC wako nje ya Congo.

Wacongomani wakifanya mchezo, wakashindwa kushikamana na ku-address kwa pamoja ni nani hasa adui wa kweli wa Taifa lao, basi Wacongo wataendelea kuvurugwa miaka nenda rudi mpaka jimbo la KIVU litakapo jitenga na kuungana na nchi jirani - that is the crux of the matter here in other words ndio lengo kuu za perenial turmoil inayo endelea nchini Congo - mengine ni danganya toto tu.
Mkuu kama mleta mada atasoma hili bandiko lako, ajue amezungumzia juujuu tu.
 
Back
Top Bottom