Hebu fikiria we Baba umepata safari ya kikazi miezi mitatu. Siku unarudi unamkuta mkeo mpendwa kavaa kanga yenye maandishi, "KULIKO KIOZE, HERI NIMPE JIRANI".
Ungechukua uamuzi gani?
Na tufanye basi nimekopi na kupaste, huna basi la kuchangia?
Hebu fikiria we Baba umepata safari ya kikazi miezi mitatu. Siku unarudi unamkuta mkeo mpendwa kavaa kanga yenye maandishi, "KULIKO KIOZE, HERI NIMPE JIRANI".
Ungechukua uamuzi gani?