Tafakari: Vita Kali Tanzania vs Mabeberu

Katika ulimwengu huu uliostaarabika
Mabeberu wametengeneza magari, ndege, meli, Traini, pikipiki mpaka baiskeli.

Mabeberu wametengeneza simu za Kila aina, mitandao ya Kila aina , yahoo, google, tweeter, Facebook..Instagram,telegram,viber,
Skype , zoom , Microsoft teams nk
Hii yote ni kupata taarifa na muunganiko wa watu duniani.

Sisi watu weusi Pamoja na ubaya tunaodai mabeberu wanao, hasa Tanzania . Tumechangia nini katika kwa maendeleo haya ya Dunia?
Na hakuna vita vyovyote! Anayeshadadia kuwaita mabeberu alikuwa kwenye ziara huko huko kwa mabeberu, akiwasalimu kwa kuinama kabisa!
 
Katika ulimwengu huu uliostaarabika
Mabeberu wametengeneza magari, ndege, meli, Traini, pikipiki mpaka baiskeli.

Mabeberu wametengeneza simu za Kila aina, mitandao ya Kila aina , yahoo, google, tweeter, Facebook..Instagram,telegram,viber,
Skype , zoom , Microsoft teams nk
Hii yote ni kupata taarifa na muunganiko wa watu duniani.

Sisi watu weusi Pamoja na ubaya tunaodai mabeberu wanao, hasa Tanzania . Tumechangia nini katika kwa maendeleo haya ya Dunia?
Hii sumu ya kuwa mabeberu wanatuonea wivu waafrika wingi,tumelishwa na viongozi wetu waliochukua madaraka kutoka kwa wakoloni kwa mbwembwe,then wakashindwa kuwaletea wananchi wao maendeleo,kisingizio kilikuwa ni mabeberu hawatupendi
 
Hii sumu ya kuwa mabeberu wanatuonea wivu waafrika wingi,tumelishwa na viongozi wetu waliochukua madaraka kutoka kwa wakoloni kwa mbwembwe,then wakashindwa kuwaletea wananchi wao maendeleo,kisingizio kilikuwa ni mabeberu hawatupendi
Very sad. Miaka ya sitini 🐅 Tiger Countries zilikuwa fukara kama sisi, leo nchi hizo ni tajiri sana
 
Naamini una ubongo kichwani kwako, nimekwambia jiulize makampuni ya mabeberu yanafuata nini Afrika? Na nikasema, ukipata jibu, basi utajua mchango wetu ni upi. Sasa niambia, umepata jibu gani? Liweke hapa, maana huo ndio mchango wetu.

Hujasikia jitihada za kutafuata wawekezaji?

Hivi yule Kitila Mkumbo, profesa ni waziri wa nini vile?

Kumbe wao ndiyo wanakuja na sisi hatuwataki kabisa?

Akili za buku saba kweri hazina akili.
 
Yaani utakuta Hata time na Sisi hawana, ni wanasiasa tu wametuchanganya ¯\(ツ)/¯ we Sisi kushindana na hao Jamaa, ni sawa na Mimi na wewe tushindane na serikali, Kwa vyovyote huezi Shinda, kaangalie Libya, Zimbabwe ndo Hata pesa yao wenyewe Sidhani Kama wanayo Nahisi ilitoweka, ni ngumu kushindana na hao watu, Zimbabwe pesa yake Ilikuwa kubwa sana zilikuwa zinachuana na Randy ya south,Zimbabwe ilikuwa na chakula kingi sana Leo kimyaaa,sisi mijiZi ilikuwa humuhumu ndani, now yamethibitiwa, ujanja ulikuwa mwingi sana, hongera rais wetu
 
Meko nae huwaga ni muongo muongo kujenga ka flyover kamoja uchwara sisi tumekuwa ni matajiri..mbeges zake
 
Tumechangia madini yetu yanayotumika kutengeneza vitu mbalimbali kwenye viwanda vyao
 
Ni ujinga wa kiongozi wetu kutokufuata misingi ya demokrasia na kua incompetent katika suala ya uongozi wake,kirahisi kwake ni kutaka kugeuza wananchi wake wawachukie wazungu bila sababu

Sababu anayotoa ni "mabeberu",hatoi specifics wametubeberu nini,na jukumu la kuzuia kubeberuiwa tumempa yeye azuie,cha ajabu hazuii analia,sasa kama yeye analia sisi wananchi tukalilie wapi?

Hii tabia ya hovyo sana mwanasiasa kulalamikia external nations pale anaposhindwa kazi nchini mwake ni ya hovyo sana

Ila mambo yakienda vizuri ndani ya nchi utasikia ni "juhudi za rais wetu mpendwa"

Akishindwa kazi,mambo yakiwa yanaenda hovyo ndani ya nchi anageuza blame kupelekea nchi kubwa za mbali,....mwanzo walikua wanageuza blame kwa vyama vya upinzani,sasa ni mabeberu....hii ni stupid blame game

Kiongozi mbovu hua anatafuta pakupeleka blames zake,yeye hua hana kosa,kosa ni wanadamu wengine na wala sio yeye,yeye ni bora sana hafanyi kosa kabisa,yeye ni mungu....

Madikteta hovyo mno aisee
Jamaa Kisha sema anahitaji kuombewa. Kile kichwa ni abnormal load
 
Back
Top Bottom