Huyo fisi ni yule mwanadiplomasia anaetokea kusini mwa tz mkuu?namuona fisi kwa mbali akisubiri mteremko.
Picha fikirishiHuyo fisi ni yule mwanadiplomasia anaetokea kusini mwa tz mkuu?
kazi ipo kweli kweli si mchezoFaru ameshiba kweli kweli, ana misuli imara kuliko hao simba wanaotaka kumuangusha. Simba mmoja keshakula kibano nadhani kilichobaki kwa mwengine ni kutimua mbio au kuufyata harafu fisi ajiokotee mzoga, akajisifu kwa wenzake kua amepata bonge la kitoweo.
View attachment 914973
Lazima mtu aliwe nyama tu hapo unataka au hutaki.......
Na huyo simba akitua chini anacho cha pili lazima wasepe tuFaru ameshiba kweli kweli, ana misuli imara kuliko hao simba wanaotaka kumuangusha. Simba mmoja keshakula kibano nadhani kilichobaki kwa mwengine ni kutimua mbio au kuufyata harafu fisi ajiokotee mzoga, akajisifu kwa wenzake kua amepata bonge la kitoweo.
Nimemuona Mzee wa mizogaView attachment 914973
Lazima mtu aliwe nyama tu hapo unataka au hutaki.......
duh umefanya siku yangu iwe nzuriYaan hapo faru akifa fisi lazima ale nyama na simba akifa fisi lazima ale nyama..sometimes kua fisi kuna faida sana
Hahahah mkuu umenifanya nizoomnamuona fisi kwa mbali akisubiri mteremko.
😂😂😂😂😂Yaan hapo faru akifa fisi lazima ale nyama na simba akifa fisi lazima ale nyama..sometimes kua fisi kuna faida sana