Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
View attachment 914973
Lazima mtu aliwe nyama tu hapo unataka au hutaki.......
Hii kitu ni hatari sana. Sasa mbona amechana kiasi hicho au alikuwa amelala wakamotea?
View attachment 914973
Lazima mtu aliwe nyama tu hapo unataka au hutaki.......
Kabisa, hapo dume limechanganyikiwa maana mbeleko imeangukasioni ushindi kwa simba ikiwa jike ameshakalia msumari,pigo hilo ni baya sana.
Kwenye kuchanwa sidhani kama kachanwa na simba..simba wanaua mnyama kwanza kula baadae..Hii kitu ni hatari sana. Sasa mbona amechana kiasi hicho au alikuwa amelala wakamotea?
Hata mie nimemuona mzee wa slopu kakaa chonjo akisubiri makombonamuona fisi kwa mbali akisubiri mteremko.
Nimemuona Mzee wa mizoga
okView attachment 914973
Lazima mtu aliwe nyama tu hapo unataka au hutaki.......
slopu manake mteremko au bwerereslopu........