Tafakari; Je wana jF ni invisibles?

kuna mzee mmoja alikuja ofisini wakati anasubiri kitu flani akaenda pozi kwenye gari yake wakati namfuata nikaona yuko jf anafuatilia mjadala flani kwa PC.....!
ndo huwezi muuliza handle yake ni privacy na wala hat mimi sikumwambia ni member jf
 
Back
Top Bottom