Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,722
- 3,366
Ni rahisi kumuona mtu anachekelea huku anachat kwa uwazi page ya Facebook, Instagram au TikTok.
Ni rahisi kumuona mtu anatazama channel ya YouTube kwa uwazi na bashasha tele.
Ni rahisi sana kumuona mtu anachat au anasoma mtandao wa X (Twitter).
Ni rahisi sana kutomuona mtu yeyote, popote pale anatumia jF.
Cha ajabu ukiangalia posts za hapa jF ni kama zinaingia kila sekunde!
Sasa hawa wanaopost humu wanatoka wapi jamani au ni invisibles?
Eboo,,,hivi namimi ni invisible?
Ni rahisi kumuona mtu anatazama channel ya YouTube kwa uwazi na bashasha tele.
Ni rahisi sana kumuona mtu anachat au anasoma mtandao wa X (Twitter).
Ni rahisi sana kutomuona mtu yeyote, popote pale anatumia jF.
Cha ajabu ukiangalia posts za hapa jF ni kama zinaingia kila sekunde!
Sasa hawa wanaopost humu wanatoka wapi jamani au ni invisibles?
Eboo,,,hivi namimi ni invisible?