Tafadhari Brother Freeman Mbowe, Tujitafakari upya

Tafadhari Brother Freeman Mbowe, Tujitafakari upya

Nimekuwa siwaaamini sana wanasiasa wanaotokea KIGOMA!!! ni watu wenye kuyumba na kukosa msimamo!!!
Mbona Kafulila hakuyumba na kukosa msimamo kwenye suala la ESROW? Au hatoki Kigoma yeye!
 
Aende zake hakuna cha historia Wala nn ameyapanda lazima ayavunee
 
Hii post ya Barafu haitakuwa na ladha nzuri kwa yeyote anayetaka kuasi au aliyeasi. Nimeipenda hii kwamba kuna maisha nje ya siasa........... Ahsante kamanda Barafu.
 
Hivi CHADEMA si ni taasis mnasema,sasa kwa nini huu mvutano mnalazimisha uonekane very personal yaani Mbowe versus Zitto?

Anyway fuatilia historia ya Museven na Dr. Besije ndo urudi tena au umesahau Julius Malema amewahi kunukuliwa akiropoka yuko tayari kuua kwa ajili ya Zuma way back akiwa Patrobas wa ANCYL,akawa Makonda kwa kuwatukana kina Hellen Zille na akina Mbeki.

Yaliyotokea si kila mmoja anayajua.

politicians are creatures of their own specie.
 
Mimi naamini ZZK ingawa amechelewa atafanya yale aliyoyafanya Kafulila ili arudi kwenye chama. Asipofanya hivyo ataishia kuwa kama yule wa CUF ambae credibility yake kisiasa imebakia kuwa mtumwa wa CCM.

Nafikiri sawa nawewe kaka.Bado kuna nafasi ya hawa watu wawili kurudi meza moja na kuongea.Ni kweli amekosa lakini ifike mahali asemehewe ,apewe nafasi ya pili nina uhakika atajirudi na kuona mabaya yake.

Mbowe,Lissu & co wanatakiwa kuliona hili kama binadamu na kuacha chuki mbali tusije tukawa kama mkulu.............
 
Je imekaa sawa hii? Au ndio kuminya demokrasia?

Unafikiri kwann shirikisho la soka duniani hawataki kesi za kisoka zipelekwe mahakamani? Na ukibainika umepeleka hukumu yake si unaijua au?
 
Kazi ya Zitto ilikua kuiinua chadema na kuipeleka kwa vijana. Kazi yake imeisha, atupishe
 
Walihitilafiana na uhasama juu CUF na CHADEMA lakini yamepita na watu wapo pamoja na mambo yanakwenda, kukosea na kusameeana ndivyo tulivyoumbwa, tunamkosea mungu muumba tunamuomba msamaha na anatusamehe, ijekua zitto na chadema?

Rudini mezani muyamalize
 
Katiba ya Chadema Ibara ya 8.0.
HATUA ZA KINIDHAMU KWA WABUNGE, MADIWANI,WENYEVITI WA VIJIJI/MITAA NA VITONGOJI

x. CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi nawanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atafukuzwa uanachama.

Nchi au tahasisi haziendeshwi kwa Katiba peke yake bali HEKMA inaitajika. Siku Chadema watakapo gundua damage ya Zitto itakuwa too late.
 
Sasa HAWA WAVUTA BANGI NA WALA VIROBA NDIYO WAPIGA KURA??

BADALA YA KUWAHAMASISHA KUJIANDIKISHA NYI MNAKADHANI KUKUSANYA HAO WALEVI?

HAKUNA HOJA KWENYE BANDIKO LA UZI HUU

KIKUBWA KILICHOPO CHADEMA NI UKANDA UDINI NA UKABILA
Zitto alidhani ni mkuu kuliko chama! Anang'oka na ndio kwanza CDM inapeta!

attachment.php
 
"..................... ...kuna maisha nje ya siasa,kuna maisha baada ya siasa..mnatupa wakati mgumu sisi marafiki zenu ambao hatuwezi kutenganishwa nanyi kwa ugomvi wa kisiasa"
 
Nchi au tahasisi haziendeshwi kwa Katiba peke yake bali HEKMA inaitajika. Siku Chadema watakapo gundua damage ya Zitto itakuwa too late.
Zitto alishaacha kufanya kazi ya kujenga CHADEMA siku nyingi sana. Zitto alikuwa anafanya kazi za kujijenga mwenyewe na kukigawa chama.

Mbona CCM hawamtaki? Kama ni hazina kubwa kwa nini hawamchukui na wanapigania abaki CHADEMA?
 
Sasa HAWA WAVUTA BANGI NA WALA VIROBA NDIYO WAPIGA KURA??

BADALA YA KUWAHAMASISHA KUJIANDIKISHA NYI MNAKADHANI KUKUSANYA HAO WALEVI?

HAKUNA HOJA KWENYE BANDIKO LA UZI HUU

KIKUBWA KILICHOPO CHADEMA NI UKANDA UDINI NA UKABILA
Wewe kila post yako unapost udini na ukanda, huna point nyingine?
 
Walihitilafiana na uhasama juu CUF na CHADEMA lakini yamepita na watu wapo pamoja na mambo yanakwenda, kukosea na kusameeana ndivyo tulivyoumbwa, tunamkosea mungu muumba tunamuomba msamaha na anatusamehe, ijekua zitto na chadema?

Rudini mezani muyamalize
Ili kupatana inabidi uwepo unyenyekevu. Je Zitto anao huo unyenyekevu?
 
Je imekaa sawa hii? Au ndio kuminya demokrasia?

Kama FIFA vile.ogopa sana mtu anaekwepa mahakama.hivi chadema wakichukua dola kipengele cha kupeleka kesi mahakamani watakiondoa?
 
Hivi CHADEMA si ni taasis mnasema,sasa kwa nini huu mvutano mnalazimisha uonekane very personal yaani Mbowe versus Zitto?

Anyway fuatilia historia ya Museven na Dr. Besije ndo urudi tena au umesahau Julius Malema amewahi kunukuliwa akiropoka yuko tayari kuua kwa ajili ya Zuma way back akiwa Patrobas wa ANCYL,akawa Makonda kwa kuwatukana kina Hellen Zille na akina Mbeki.

Yaliyotokea si kila mmoja anayajua.

politicians are creatures of their own specie.

mkuu chukua like,tatizo members wengi wa sasa wa JF hawafikiri sawa sawa na si wafuatiliaji wa mambo ya siasa,ya ndani na ya nnje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom