Tafadhari Brother Freeman Mbowe, Tujitafakari upya

Tafadhari Brother Freeman Mbowe, Tujitafakari upya

Tatizo ni kiburiiii tu cha kawaida au academic Arrogance!!!Dogo ulijiona mkubwa kuliko chama au kuna mahali mlikoseana?Nenda Zitto nenda,Angalikuwapo Mama yako Shida Salumu angekuombea msamaha wangemuonea aibu na kukurudisha kundini.Asingekubali na hajawahi kukubali kukuona unaiacha Chadema yako.

Mama hayupo tena,hakuna wa kukutetea na kukuombea msamaha...hata Mama nakumbuka tukiwa Tabata Magorofani aliwahi kukuonya kuwa achana na miruzi mingi kumbuka waliokulea na walikokutoa...nakumbuka Bi Shida alitoa machozi tukiwa pale Tabata.Alikuasa kuachana na wanaokupotosha,alisema aliongea kwa kirefu na wazee wa Chama akiwemo Mzee Kimesela na Mzee Mtei,akakwambia na yeye kagundua kuwa umekosea na ujirekebishe,Kwa ushahidi wa namna ulivyouzwa majimbo ya Musoma Vijijini nk,Mama alikuomba sanaaa usirudie wala usishindane na waliokulea,alisema tuache tamaa,tusirubuniwe na vijipesa tukawasahau wenzetu na kuwauza,akasema familia ina heshima ya kuwa waasisi wa Chadema,tusiipoteze historia hiyo.Nakumbuka akasema miaka 20 ijayo mwanetu Chachage Zitto Zubeir Kabwe aje ajivunie uasisi wa bibi na baba ndani ya Chadema

Nasikitika umepuuza ushauri wa mama,Japo ulisema utamuenzi lkn kwa hili hujamuenzi..umemuangusha Mama umemuangusha,angakuwa hai asingekubali uondolewe ktk chama alichojua unakipenda toka ukiwa mtoto,anakumbuka jinsi wakati mwingine alivyokugombeza usome kwanza badala ya kupendelea siasa...Leo mama asingekubali hata kidogooooo ...

Jitafakari Zitto,najua baba yako si sehemu ya washauri wako kisiasa lkn rudi nyuma tazama ulipokosea..Wewe siyo wa kufa kibudu hivyo kisiasa Ndani ya Chadema,Weeee Zitto Zubeir Kabwe!!!????Yaani wakati 2005 Salumu Mwalimu akiwa bado haijui Chadema Wewe ulikuwa ndani ya harakati,2003 wakati Ole Sosopi akiwa shule ya msingi akichunga ndama...wewe ulikuwa kwenye hostel za Chuo kikuu usiku wa manane tena kwa Siri na Mbowe mkipanga mikakati ya kupata wanachama toka Chuo kikuu.

Nakumbuka siku zile za mwisho wa week chuoni...Freeman Mbowe akija Hall kwa gari binafsi usiku wa weekend,akitubeba kwa gari mpaka club billicanas,wakati huo tukimuita brother,kwenda kupoteza mawazo na kurefresh then kuturudisha au wakati mwingine kulala huko huko,tukila chips ndani ya sahani moja,tukipita katikati ya jiji usiku tukishangaa jinsi habari za mitaa ya Ohio tulizosoma magazetini sasa twaziona kwa macho.Ni wapi wewe na brother Freeman mlipotofautiana??Yule Freeman aliyekwambia hata kwa kuiuza Bilicanas wewe lazima ukagombee jimbo la Kgm Kaskazini,Freeman aliyekuwa anakutegemea kwa mambo Mengi leo mmegeukana???kweli siasa mchezo mchafu...yaani urafiki na undugu wenu unavunjika sababu ya tofauti za siasa????

U sometimes used to feel our pocket money kipindi cha miezi dume..ilifikia mpaka Siri za ndani baina yenu mkawekeana bayana!!Ni siasa tu au kuna mengine??Kama ni siasa tu,basi kweli siasa "mchezo mchafu",hufitinisha ndugu na jamaa.Hivi ule ushauri wa Bro Freeman kwenda Hull City kuongeza elimu hukuwa sehemu ya mshauri bwana ZZK pale Hotelin Dar??
Camonnnnn!!Guys come on the round table,yamalizeni haya...kuna maisha nje ya siasa,kuna maisha baada ya siasa..mnatupa wakati mgumu sisi marafiki zenu ambao hatuwezi kutenganishwa nanyi kwa ugomvi wa kisiasa.

Kuna Kiongozi mmoja hapa nchini aliwahi sema kuwa tusiwe wachekeshaji wa mfalme.Mada hii ina sura hiyo,huku wapambe wengine wenye hulka zilizofanana wakikusifu uchekeshe zaidi.Umekopy hisia za msiba za marehemu Komba umeleta kwenye chama chako(Nenda zitto,nenda) This is more arrogant beyond academics scope.Umeamua kumlisha Mama wa Zitto mungu amrehemu uko aliko maneno yako ili tu yawe yake ili kumfurahisha mfalme.Nimefurahishwa na aliyeweka refference ya maneno halisi na pengine ya mwisho aliyoyasema Shida.Pengine siku mfalme mtukuzwa ikiwa siku akianguka sijui utakuja na hisia zipi.It's not that much far and time will justfy all.Thank you so much
 
Fedha ni fitna kubwa... Majuto ni mjukuu!!! alikuwa na chance ya kuomba msamaha na kuyamaliza lakini KIBURI, MAJIVUNO na KUWAAMINI CCM zaidi kuliko Watanzania kumemgharimu... Hope Waliomtuma hawatamtosa ...
Pole zako Zitto kwa kukubali kurubuniwa na Mwigulu Nchemba. Ndo imetoka hivyo!



 
Tatizo ni kiburiiii tu cha kawaida au academic Arrogance!!!Dogo ulijiona mkubwa kuliko chama au kuna mahali mlikoseana?Nenda Zitto nenda,Angalikuwapo Mama yako Shida Salumu angekuombea msamaha wangemuonea aibu na kukurudisha kundini.Asingekubali na hajawahi kukubali kukuona unaiacha Chadema yako.

Mama hayupo tena,hakuna wa kukutetea na kukuombea msamaha...hata Mama nakumbuka tukiwa Tabata Magorofani aliwahi kukuonya kuwa achana na miruzi mingi kumbuka waliokulea na walikokutoa...nakumbuka Bi Shida alitoa machozi tukiwa pale Tabata.Alikuasa kuachana na wanaokupotosha,alisema aliongea kwa kirefu na wazee wa Chama akiwemo Mzee Kimesela na Mzee Mtei,akakwambia na yeye kagundua kuwa umekosea na ujirekebishe,Kwa ushahidi wa namna ulivyouzwa majimbo ya Musoma Vijijini nk,Mama alikuomba sanaaa usirudie wala usishindane na waliokulea,alisema tuache tamaa,tusirubuniwe na vijipesa tukawasahau wenzetu na kuwauza,akasema familia ina heshima ya kuwa waasisi wa Chadema,tusiipoteze historia hiyo.Nakumbuka akasema miaka 20 ijayo mwanetu Chachage Zitto Zubeir Kabwe aje ajivunie uasisi wa bibi na baba ndani ya Chadema

Nasikitika umepuuza ushauri wa mama,Japo ulisema utamuenzi lkn kwa hili hujamuenzi..umemuangusha Mama umemuangusha,angakuwa hai asingekubali uondolewe ktk chama alichojua unakipenda toka ukiwa mtoto,anakumbuka jinsi wakati mwingine alivyokugombeza usome kwanza badala ya kupendelea siasa...Leo mama asingekubali hata kidogooooo ...

Jitafakari Zitto,najua baba yako si sehemu ya washauri wako kisiasa lkn rudi nyuma tazama ulipokosea..Wewe siyo wa kufa kibudu hivyo kisiasa Ndani ya Chadema,Weeee Zitto Zubeir Kabwe!!!????Yaani wakati 2005 Salumu Mwalimu akiwa bado haijui Chadema Wewe ulikuwa ndani ya harakati,2003 wakati Ole Sosopi akiwa shule ya msingi akichunga ndama...wewe ulikuwa kwenye hostel za Chuo kikuu usiku wa manane tena kwa Siri na Mbowe mkipanga mikakati ya kupata wanachama toka Chuo kikuu.

Nakumbuka siku zile za mwisho wa week chuoni...Freeman Mbowe akija Hall kwa gari binafsi usiku wa weekend,akitubeba kwa gari mpaka club billicanas,wakati huo tukimuita brother,kwenda kupoteza mawazo na kurefresh then kuturudisha au wakati mwingine kulala huko huko,tukila chips ndani ya sahani moja,tukipita katikati ya jiji usiku tukishangaa jinsi habari za mitaa ya Ohio tulizosoma magazetini sasa twaziona kwa macho.Ni wapi wewe na brother Freeman mlipotofautiana??Yule Freeman aliyekwambia hata kwa kuiuza Bilicanas wewe lazima ukagombee jimbo la Kgm Kaskazini,Freeman aliyekuwa anakutegemea kwa mambo Mengi leo mmegeukana???kweli siasa mchezo mchafu...yaani urafiki na undugu wenu unavunjika sababu ya tofauti za siasa????

U sometimes used to feel our pocket money kipindi cha miezi dume..ilifikia mpaka Siri za ndani baina yenu mkawekeana bayana!!Ni siasa tu au kuna mengine??Kama ni siasa tu,basi kweli siasa "mchezo mchafu",hufitinisha ndugu na jamaa.Hivi ule ushauri wa Bro Freeman kwenda Hull City kuongeza elimu hukuwa sehemu ya mshauri bwana ZZK pale Hotelin Dar??
Camonnnnn!!Guys come on the round table,yamalizeni haya...kuna maisha nje ya siasa,kuna maisha baada ya siasa..mnatupa wakati mgumu sisi marafiki zenu ambao hatuwezi kutenganishwa nanyi kwa ugomvi wa kisiasa.

Kuna Kiongozi mmoja hapa nchini aliwahi sema kuwa tusiwe wachekeshaji wa mfalme.Mada hii ina sura hiyo,huku wapambe wengine wenye hulka zilizofanana wakikusifu uchekeshe zaidi.Umekopy hisia za msiba za marehemu Komba umeleta kwenye chama chako(Nenda zitto,nenda) This is more arrogant beyond academics scope.Umeamua kumlisha Mama wa Zitto mungu amrehemu uko aliko maneno yako ili tu yawe yake ili kumfurahisha mfalme.Nimefurahishwa na aliyeweka refference ya maneno halisi na pengine ya mwisho aliyoyasema Shida.Pengine siku mfalme mtukuzwa ikiwa siku akianguka sijui utakuja na hisia zipi.It's not that much far and time will justfy all.Thank you so much
 
Hivi niwaulize nyinyi misukule ya Lumumba aka buku 7 mnalipwa vile mnavyochangia au mnalipwa malipo ya kwa siku maana kila mada mpo halafu cha maana mnachochangia hakuna zaidi ya kukashifu watu tu na kuharibu uzi.hebu jamani tulieni kidogo basi Mods hebu watazameni hawa watu wanaliharibu hili jukwaa inaonekana wote ni watoto humu watu makini wanalikimbia hili jukwaa jamani hawa vijana watazamwe kwa jicho la tatu

Hakuna cha misukule. Jimbo la Kigoma kaskazini byebyebye chadema. chadema ndio itawajua waha ni akina nani.
 
Tatizo ni kiburiiii tu cha kawaida au academic Arrogance!!!Dogo ulijiona mkubwa kuliko chama au kuna mahali mlikoseana?Nenda Zitto nenda,Angalikuwapo Mama yako Shida Salumu angekuombea msamaha wangemuonea aibu na kukurudisha kundini.Asingekubali na hajawahi kukubali kukuona unaiacha Chadema yako.

Mama hayupo tena,hakuna wa kukutetea na kukuombea msamaha...hata Mama nakumbuka tukiwa Tabata Magorofani aliwahi kukuonya kuwa achana na miruzi mingi kumbuka waliokulea na walikokutoa...nakumbuka Bi Shida alitoa machozi tukiwa pale Tabata.Alikuasa kuachana na wanaokupotosha,alisema aliongea kwa kirefu na wazee wa Chama akiwemo Mzee Kimesela na Mzee Mtei,akakwambia na yeye kagundua kuwa umekosea na ujirekebishe,Kwa ushahidi wa namna ulivyouzwa majimbo ya Musoma Vijijini nk,Mama alikuomba sanaaa usirudie wala usishindane na waliokulea,alisema tuache tamaa,tusirubuniwe na vijipesa tukawasahau wenzetu na kuwauza,akasema familia ina heshima ya kuwa waasisi wa Chadema,tusiipoteze historia hiyo.Nakumbuka akasema miaka 20 ijayo mwanetu Chachage Zitto Zubeir Kabwe aje ajivunie uasisi wa bibi na baba ndani ya Chadema

Nasikitika umepuuza ushauri wa mama,Japo ulisema utamuenzi lkn kwa hili hujamuenzi..umemuangusha Mama umemuangusha,angakuwa hai asingekubali uondolewe ktk chama alichojua unakipenda toka ukiwa mtoto,anakumbuka jinsi wakati mwingine alivyokugombeza usome kwanza badala ya kupendelea siasa...Leo mama asingekubali hata kidogooooo ...

Jitafakari Zitto,najua baba yako si sehemu ya washauri wako kisiasa lkn rudi nyuma tazama ulipokosea..Wewe siyo wa kufa kibudu hivyo kisiasa Ndani ya Chadema,Weeee Zitto Zubeir Kabwe!!!????Yaani wakati 2005 Salumu Mwalimu akiwa bado haijui Chadema Wewe ulikuwa ndani ya harakati,2003 wakati Ole Sosopi akiwa shule ya msingi akichunga ndama...wewe ulikuwa kwenye hostel za Chuo kikuu usiku wa manane tena kwa Siri na Mbowe mkipanga mikakati ya kupata wanachama toka Chuo kikuu.

Nakumbuka siku zile za mwisho wa week chuoni...Freeman Mbowe akija Hall kwa gari binafsi usiku wa weekend,akitubeba kwa gari mpaka club billicanas,wakati huo tukimuita brother,kwenda kupoteza mawazo na kurefresh then kuturudisha au wakati mwingine kulala huko huko,tukila chips ndani ya sahani moja,tukipita katikati ya jiji usiku tukishangaa jinsi habari za mitaa ya Ohio tulizosoma magazetini sasa twaziona kwa macho.Ni wapi wewe na brother Freeman mlipotofautiana??Yule Freeman aliyekwambia hata kwa kuiuza Bilicanas wewe lazima ukagombee jimbo la Kgm Kaskazini,Freeman aliyekuwa anakutegemea kwa mambo Mengi leo mmegeukana???kweli siasa mchezo mchafu...yaani urafiki na undugu wenu unavunjika sababu ya tofauti za siasa????

U sometimes used to feel our pocket money kipindi cha miezi dume..ilifikia mpaka Siri za ndani baina yenu mkawekeana bayana!!Ni siasa tu au kuna mengine??Kama ni siasa tu,basi kweli siasa "mchezo mchafu",hufitinisha ndugu na jamaa.Hivi ule ushauri wa Bro Freeman kwenda Hull City kuongeza elimu hukuwa sehemu ya mshauri bwana ZZK pale Hotelin Dar??
Camonnnnn!!Guys come on the round table,yamalizeni haya...kuna maisha nje ya siasa,kuna maisha baada ya siasa..mnatupa wakati mgumu sisi marafiki zenu ambao hatuwezi kutenganishwa nanyi kwa ugomvi wa kisiasathe .


Umetoa ya moyon IN A GENTLEMAN WAY hakuna pakuongeza wala kupunguza YOU ARE SUPPOSE TO MEDIATE THE ISSUE,. UMEFUNGUKA VIZURI BILA CHEMBE YA UNAFIKI. HONGERA SANA.
 
Zitto alidhani ni mkuu kuliko chama! Anang'oka na ndio kwanza CDM inapeta!

attachment.php

Mazezeta CDM hawataisha,wewe ni no 1.
 
Tatizo ni kiburiiii tu cha kawaida au academic Arrogance!!!Dogo ulijiona mkubwa kuliko chama au kuna mahali mlikoseana?Nenda Zitto nenda,Angalikuwapo Mama yako Shida Salumu angekuombea msamaha wangemuonea aibu na kukurudisha kundini.Asingekubali na hajawahi kukubali kukuona unaiacha Chadema yako.

Mama hayupo tena,hakuna wa kukutetea na kukuombea msamaha...hata Mama nakumbuka tukiwa Tabata Magorofani aliwahi kukuonya kuwa achana na miruzi mingi kumbuka waliokulea na walikokutoa...nakumbuka Bi Shida alitoa machozi tukiwa pale Tabata.Alikuasa kuachana na wanaokupotosha,alisema aliongea kwa kirefu na wazee wa Chama akiwemo Mzee Kimesela na Mzee Mtei,akakwambia na yeye kagundua kuwa umekosea na ujirekebishe,Kwa ushahidi wa namna ulivyouzwa majimbo ya Musoma Vijijini nk,Mama alikuomba sanaaa usirudie wala usishindane na waliokulea,alisema tuache tamaa,tusirubuniwe na vijipesa tukawasahau wenzetu na kuwauza,akasema familia ina heshima ya kuwa waasisi wa Chadema,tusiipoteze historia hiyo.Nakumbuka akasema miaka 20 ijayo mwanetu Chachage Zitto Zubeir Kabwe aje ajivunie uasisi wa bibi na baba ndani ya Chadema

Nasikitika umepuuza ushauri wa mama,Japo ulisema utamuenzi lkn kwa hili hujamuenzi..umemuangusha Mama umemuangusha,angakuwa hai asingekubali uondolewe ktk chama alichojua unakipenda toka ukiwa mtoto,anakumbuka jinsi wakati mwingine alivyokugombeza usome kwanza badala ya kupendelea siasa...Leo mama asingekubali hata kidogooooo ...

Jitafakari Zitto,najua baba yako si sehemu ya washauri wako kisiasa lkn rudi nyuma tazama ulipokosea..Wewe siyo wa kufa kibudu hivyo kisiasa Ndani ya Chadema,Weeee Zitto Zubeir Kabwe!!!????Yaani wakati 2005 Salumu Mwalimu akiwa bado haijui Chadema Wewe ulikuwa ndani ya harakati,2003 wakati Ole Sosopi akiwa shule ya msingi akichunga ndama...wewe ulikuwa kwenye hostel za Chuo kikuu usiku wa manane tena kwa Siri na Mbowe mkipanga mikakati ya kupata wanachama toka Chuo kikuu.

Nakumbuka siku zile za mwisho wa week chuoni...Freeman Mbowe akija Hall kwa gari binafsi usiku wa weekend,akitubeba kwa gari mpaka club billicanas,wakati huo tukimuita brother,kwenda kupoteza mawazo na kurefresh then kuturudisha au wakati mwingine kulala huko huko,tukila chips ndani ya sahani moja,tukipita katikati ya jiji usiku tukishangaa jinsi habari za mitaa ya Ohio tulizosoma magazetini sasa twaziona kwa macho.Ni wapi wewe na brother Freeman mlipotofautiana??Yule Freeman aliyekwambia hata kwa kuiuza Bilicanas wewe lazima ukagombee jimbo la Kgm Kaskazini,Freeman aliyekuwa anakutegemea kwa mambo Mengi leo mmegeukana???kweli siasa mchezo mchafu...yaani urafiki na undugu wenu unavunjika sababu ya tofauti za siasa????

U sometimes used to feel our pocket money kipindi cha miezi dume..ilifikia mpaka Siri za ndani baina yenu mkawekeana bayana!!Ni siasa tu au kuna mengine??Kama ni siasa tu,basi kweli siasa "mchezo mchafu",hufitinisha ndugu na jamaa.Hivi ule ushauri wa Bro Freeman kwenda Hull City kuongeza elimu hukuwa sehemu ya mshauri bwana ZZK pale Hotelin Dar??
Camonnnnn!!Guys come on the round table,yamalizeni haya...kuna maisha nje ya siasa,kuna maisha baada ya siasa..mnatupa wakati mgumu sisi marafiki zenu ambao hatuwezi kutenganishwa nanyi kwa ugomvi wa kisiasa.

hii thread yako haujaiandika kishabiki........hakika, hata wanaomchukia Zitto, ITAWAGUSA
 
Last edited by a moderator:
Zito amekua akiijenga chadema kumfukuza itawacost sana hata leo akiludi jimboni kwake atapata ubunge kwa chama kingine ishu sio ubunge ishu ni zito kuijenga chadema mimi ni CCM ila i can see CHADEMA is dying soon chadema itakua kama UDP kwa umaarufu mark my words na huu mtego umesukwa vizuri sana na mabere marando yule jamaa ni usalama hawa jamaa huwa hawaachi kazi hadi wanakufa

Ukweli bro nilipenda sana CHADEMA pamoja na uanachama wangu CCM,ilionekana wazi kabisa CCM kwa CCM ni watu wa kulindana hasa linapokuja suala la wizi. Upinzani chini ya CHADEMA imara hata wana CCM tuliokuwa tunaogopa kutaja majina ya wezi walioko ndani ya chama chetu tulipeleka siri upande wa CDM kama njia ya kuinusuru nchi yetu toka kwa viongozi mchwa wachache walioko CCM. Tunapoona chama ambacho ndiyo kingesimamia dhuruma kinafanya yaleyale ya CCM unatafakari na kuona giza mbeleni. Mwisho naanza kuufahamu ukweli kuwa hata kushindwa kwa Dr. Slaa kuendelea na upadri ni kupungukiwa kwa hekima na moyo wa kusamehe.
 
Zito amekua akiijenga chadema kumfukuza itawacost sana hata leo akiludi jimboni kwake atapata ubunge kwa chama kingine ishu sio ubunge ishu ni zito kuijenga chadema mimi ni CCM ila i can see CHADEMA is dying soon chadema itakua kama UDP kwa umaarufu mark my words na huu mtego umesukwa vizuri sana na mabere marando yule jamaa ni usalama hawa jamaa huwa hawaachi kazi hadi wanakufa

ZITTO hapati ubunge, tusubiri!
 
Unafikiri kwann shirikisho la soka duniani hawataki kesi za kisoka zipelekwe mahakamani? Na ukibainika umepeleka hukumu yake si unaijua au?
Wewe ndio unieleze je haina walakini?
 
Walikuepo wengi tu na nchi bdo no maskini..kaka zitto ina mambo ya kikekike we nenda tu.sisi tutaendelea na chadema yetu..!
!
 
Zitto alikuwa kiongozi wa CHADEMA kwa miaka mingi. Hakujua hili? Au kwa kuwa limetumika kwake?
Acahana na Zitto keshaondoka. Wewe unaonaje limekaa sawa kwa mkabala wa wanachama waliobaki na tutakaojiunga?
 
Zitto alikuwa kiongozi wa CHADEMA kwa miaka mingi. Hakujua hili? Au kwa kuwa limetumika kwake?

Acahana na Zitto amekwishaondoka. Je we unalionaje kwa Mkabakla wa wanachama wa CHADEMA na wanachama wapya tunaotaka kujiunga?
 
Umekopy Hii Story pumbaf wewe aliandika zitto peke yake ahahaaaaaaaaaa
 
zito amekua akiijenga chadema kumfukuza itawacost sana hata leo akiludi jimboni kwake atapata ubunge kwa chama kingine ishu sio ubunge ishu ni zito kuijenga chadema mimi ni ccm ila i can see chadema is dying soon chadema itakua kama udp kwa umaarufu mark my words na huu mtego umesukwa vizuri sana na mabere marando yule jamaa ni usalama hawa jamaa huwa hawaachi kazi hadi wanakufa
kakijenga kivipi una matokeo ya kura za urais 2010 mgombea wa chadema dr.slaa alipata kura ngapi jimboni kwa zitto? Idadi ya madiwani wa chadema jimoni kwake kupitia chadema ni wnagapi? Je idadi ya kura za raisi, idadi ya madiwani inafanana na ya akina mbowe, tundulisu na lema? Tumia akili
 
Hakuna cha misukule. Jimbo la Kigoma kaskazini byebyebye chadema. chadema ndio itawajua waha ni akina nani.

Kwa hiyo cdm ilianzishwa kwa ajili ya jimbo la kigoma kaskazini tu? Misukule utaijua tu kwa kauli za kipuuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom