Aisee yupo wapi Sammuel999 ajibu mashtaka?Hahahaha! Acheni Wakisii wakae bwana.
Maharage nayo yanaitwa madondo.Chapati wanaita Chapoo
Kitendo cha kuwatupia huu mzigo watu a kisii peke yao badala ya taifa zima la Kenya ndo ubaguzi huo, kwamba maeneo mengine mko vizuri isipokuwa wakisii, na hapa ukumbuke unaongea na watu kutoka taifa jingine. So unachotaka kutuaminisha ni makabila mengine yako sawa isipokuwa wakisii. Hii ingekuwa poa kule KT sio hapa.Sijambagua mtu yeyote ule. Aliyeandika hiyo nadhani alikuwa anawatania tu na ile lahaja yao nzito. Relax buana.
Hicho kiswahili kiliandikwa na mtu asiyejua vizuri kisw na akaamini kuwa anajua mbona hata huku kwetu wapo watu kibao wanakoseaga kuandika mfano unamkuta mtu badala ya kuandika Mbwa anaandika Mubwa
Umeonaa eeh? Hatw hapa kwetu watu kibao wanakikosea kisw...... zaidi nenda huko vijijin ukakutane na wale watu waliosoma na kukomea madarasa ya chini utacheka sana!Hehehe Kwanza Wakurya
MKURYA MMOJA ALISIKIKA AKISEMA:
AROO! HAYA MAJITU YANASHINDWA KUBIKIRI FIZURI, MAWASO YAO YOTE YAKO KWENYE KURA KIBORO NA UCHI.
akiwa na maana ya:
ALOO! HAWA WATU WANASHINDWA KUFIKIRI VIZURI, MAWAZO YAO YOTE YAKO KWENYE KULA KIPORO NA UJI
Wakurya na kiswahili
Lahaja zingine za lugha ya mama ni nzito kweli kweli. Ukisikia mtu anakuambia 'alipigwo' 'akanyogwo'(kabali) kisha 'akanyang'anywo' hela zake, jamani usiulize maswali mengi. Wewe kausha tu.Wanafurahisha kweli
Githwahiri hisho kimepikwo gikaiva hadi gikashura.Washana na huyo mwadishi, maana ameadika githwahiri muthuri......
Wakurya tatizo lao ni kwenye matumiz ya R na L pekee, herufi nyingne wanatamka vizuri kwa usahihi bila kukoseaHehehe Kwanza Wakurya
MKURYA MMOJA ALISIKIKA AKISEMA:
AROO! HAYA MAJITU YANASHINDWA KUBIKIRI FIZURI, MAWASO YAO YOTE YAKO KWENYE KURA KIBORO NA UCHI.
akiwa na maana ya:
ALOO! HAWA WATU WANASHINDWA KUFIKIRI VIZURI, MAWAZO YAO YOTE YAKO KWENYE KULA KIPORO NA UJI
Wakurya na kiswahili
Erooo! Kanyoo, kae moda ninye? Naona umeanza uchokozi. Ngoja nije na kile kiboko chetu huwa tunakiita nchivi shivi. Utakoma, nikikucharaa kimoja eroo utakunja mgongo kama kangaroo.Wakurya tatizo lao ni kwenye matumiz ya R na L pekee, herufi nyingne wanatamka vizuri kwa usahihi bila kukosea
Mawaso= Wamasai hawa sio wakurya (wanatumia S sehemu ya kutumia Z)
FISURI =wamasai pia
Kiboro= sijui ni kabila gani hilo haliwezi tofautisha P na B... kuna harufu ya uongo hapa
Mkuu sijakuelewa kabisa hapo mwanzoEroo kae moda ninye? Naona umeanza uchokozi. Ngoja nije na kile kiboko chetu huwa tunakiita nchivi shivi. Utakoma nikikucharaa kimoja eroo utakunja mgongo kama kangaroo.
Hahaha nimekuuliza kama wewe ni mwendawazimu. Yaani huelewi lugha rahisi kama hiyo? Kimaa hicho, natania tu mkuu.
siku hizi anaitwa mkikuyu akili punguani.Aisee yupo wapi Sammuel999 ajibu mashtaka?
Itakuwa una stress nyingi sana, sio kwa taarifa hizi ndefu ndefu. Breathe iiin, ouut alafu rudia baada yangu. Aaall iis weell x3. Kitulizo kamili .Kitendo cha kuwatupia huu mzigo watu a kisii peke yao badala ya taifa zima la Kenya ndo ubaguzi huo, kwamba maeneo mengine mko vizuri isipokuwa wakisii, na hapa ukumbuke unaongea na watu kutoka taifa jingine. So unachotaka kutuaminisha ni makabila mengine yako sawa isipokuwa wakisii. Hii ingekuwa poa kule KT sio hapa.
Ingefaa hii mchukulie kama mnavyofanya kwa wakalenjin pale wanapoleta medali za riadha kenya, sijawahi kuona mtu hapa akisema hao ni