BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Hahahz uwiii
Hahaha 3 idiots. Aaaall is wellItakuwa una stress nyingi sana, sio kwa taarifa hizi ndefu ndefu. Breathe iiin, ouut alafu rudia baada yangu. Aaall iis weell x3. Kitulizo kamili .
My nina hamu ya kula Mayaye.Subu
Eti masigwa. Hicho ni kikisii bana, hata wao pia wanasemaga kiswahili sio 'mudomo yetu'.
na chuisiMy nina hamu ya kula Mayaye.
Aiseee 'akanyogwo'Lahaja zingine za lugha ya mama ni nzito kweli kweli. Ukisikia mtu anakuambia 'alipigwo' 'akanyogwo'(kabali) kisha 'akanyang'anywo' hela zake, jamani usiulize maswali mengi. Wewe kausha tu.
Kitendo cha kuwatupia huu mzigo watu a kisii peke yao badala ya taifa zima la Kenya ndo ubaguzi huo, kwamba maeneo mengine mko vizuri isipokuwa wakisii, na hapa ukumbuke unaongea na watu kutoka taifa jingine. So unachotaka kutuaminisha ni makabila mengine yako sawa isipokuwa wakisii. Hii ingekuwa poa kule KT sio hapa.
Ingefaa hii mchukulie kama mnavyofanya kwa wakalenjin pale wanapoleta medali za riadha kenya, sijawahi kuona mtu hapa akisema hao ni wakalenjin, ila huwa mnasema hao ni wakenya.
So kwenye makosa pia myabebe kama taifa sio kubaguana kwa ukanda.
Akhsante.
Lahaja nzito ndio unamaanisha nini?Sijambagua mtu yeyote yule. Aliyeandika hiyo nadhani alikuwa anawatania tu na ile lahaja yao nzito. Relax buana.
Ndio dialect yao acha ubishi wa kipumbavu eti amekoseaHicho kiswahili kiliandikwa na mtu asiyejua vizuri kisw na akaamini kuwa anajua mbona hata huku kwetu wapo watu kibao wanakoseaga kuandika mfano unamkuta mtu badala ya kuandika Mbwa anaandika Mubwa
Kwani lazima uchorewe kama 'zebra crossing' ndio uelewe?Lahaja nzito ndio unamaanisha nini?
RIP something
Hahaha alafu mnasema nyie ni Brits kumbe hata kuandika English nayo ni mzozochips-chibusi
juice-chuisi
haya ni maneno ya kiingereza pia...
Ni lafudhi nzito sio lahaja nzitoKwani lazima uchorewe kama 'zebra crossing' ndio uelewe?
Hahaha best movie ever!Hahaha 3 idiots. Aaaall is well