Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 638
- 1,902
Kenya mpo ,Tanzania rasmi ndani ya Afrika imepeleka timu kubwa mbili toka Derby ya kariakoo yaani Young Africans na Simba
Kuna wakati lazima usemwe Tanzania ndio Giant ya mpira kwa sasa Africa
Ndugu zetu wakenya msione aibu kuja Dar es Salaam kujifunza mbinu
Kuna wakati lazima usemwe Tanzania ndio Giant ya mpira kwa sasa Africa
Ndugu zetu wakenya msione aibu kuja Dar es Salaam kujifunza mbinu