Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Athubutu kama hajaenda mwenyewe na maji, mchawi mpe mwana alee. Hakuna wajinga bali u kweli ndio utamuita dikteta athubutu aone.nchi hii hatujielewi mkuu ushauri wako ni bora kwa mustakabali wa nchi tatizo ni pale raisi atakapoifanya sekta ya madini kuwa chini yake wajinga watamuita dikteta!!