Neutral Figure
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 537
- 201
Wote ikiwemo Magufuli tunajua fika kabisa amepita kizali
Hakuna kitu kama hiyo kwenue Siasa wewe kima! Ule ulikuwa ni nkakati maalum
Wote ikiwemo Magufuli tunajua fika kabisa amepita kizali
bado ccm itahitaji msaada wa lowasa ktk kampeni
shut....your mouth wewe unamfahamu sana lowassa kuliko wajumbe wote WA NEC kwa UNDANI????/
ACHA KUFUATA MKUMBO......
ACHA CHUKI BINAFSI....
Kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa CCM.
naomba uachane na Usikubali kukaa meza moja na Lowasa kwasababu zifuatazo.
Moja Lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika
anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.
Magufuli jipe moyo Wafuasi wa Lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.
na lazma Lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukusapoti na unaweza.
Kumbuka JK aliingia kwa msaada wa Lowasa na watuhumiwa wa ufisadi na akashindwa kufanya mazuri kwenye nchi.
Najua magazeti ya Lostam yatamsifu na kukuponda na ya Mengi pia sijui alihaidiwa vitaru vya gesi? Kuwa na imani utashinda tu.
mnaanzakuweweseka mapema ngoja mwezi wa kumi mtajua nguvu ya mmasai
Tatizzo tu ni pale uliporejea 'usafi'...ni nani msafi huko na hana kashifa hata ndogo ya ufisadi. Kumbuka ufisadi mkubwa uanza na mfogo.Kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa CCM.
naomba uachane na Usikubali kukaa meza moja na Lowasa kwasababu zifuatazo.
Moja Lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika
anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.
Magufuli jipe moyo Wafuasi wa Lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.
na lazma Lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukusapoti na unaweza.
Kumbuka JK aliingia kwa msaada wa Lowasa na watuhumiwa wa ufisadi na akashindwa kufanya mazuri kwenye nchi.
Najua magazeti ya Lostam yatamsifu na kukuponda na ya Mengi pia sijui alihaidiwa vitaru vya gesi? Kuwa na imani utashinda tu.
chambua hoja sio majibu ya mkato. au umejibu kichwa cha habari tu. Unatakiwa kuwa great thinker
Kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa CCM.
naomba uachane na Usikubali kukaa meza moja na Lowasa kwasababu zifuatazo.
Moja Lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika
anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.
Magufuli jipe moyo Wafuasi wa Lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.
na lazma Lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukusapoti na unaweza.
Kumbuka JK aliingia kwa msaada wa Lowasa na watuhumiwa wa ufisadi na akashindwa kufanya mazuri kwenye nchi.
Najua magazeti ya Lostam yatamsifu na kukuponda na ya Mengi pia sijui alihaidiwa vitaru vya gesi? Kuwa na imani utashinda tu.
MMASAI WA KICHINA.........TEHE TEHE TEHEEEEEEEE!!! Kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiii!!!!mnaanzakuweweseka mapema ngoja mwezi wa kumi mtajua nguvu ya mmasai
Kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa CCM.
naomba uachane na Usikubali kukaa meza moja na Lowasa kwasababu zifuatazo.
Moja Lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika
anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.
Magufuli jipe moyo Wafuasi wa Lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.
na lazma Lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukusapoti na unaweza.
Kumbuka JK aliingia kwa msaada wa Lowasa na watuhumiwa wa ufisadi na akashindwa kufanya mazuri kwenye nchi.
Najua magazeti ya Lostam yatamsifu na kukuponda na ya Mengi pia sijui alihaidiwa vitaru vya gesi? Kuwa na imani utashinda tu.
kwanza wengi wameisha kili utendaji wako mzuri na kunashaka ndogo zaidi juu ya uadilifu wako kuliko wagombea wote wa ccm.
Naomba uachane na usikubali kukaa meza moja na lowasa kwasababu zifuatazo.
Moja lowassa anataka ahakikishiwe kulindwa kwa maslahi yake yeye na marafiki zake kama wewe ukiwa raisi hata kama yanaumiza maslahi ya nchi. Ndio maana anatumia watu umuite eti mtafute maridhiano.
Pili lowasa sio msafi machoni pa wakosoaji kuambatana nae ni kubaliki uchafu na ufisadi tuhuma ambazo zinamkabili mda mrefu na ameshindwa kuthibitisha kuwa hahusiki nazo.
Atakuunganisha na marafiki wake wasioaminika
anahasira za kukatwa hivyo hakuna uhakika kama hana kisasi moyoni.
Magufuli jipe moyo wafuasi wa lowasa waliobaki wapo monduli tu. Wengine wamelala mbele na naamini utashinda bila msaada wa mafisadi.
Na lazma lowasa ajue unaweza kuwa raisi bila yeye kukusapoti na unaweza.
Kumbuka jk aliingia kwa msaada wa lowasa na watuhumiwa wa ufisadi na akashindwa kufanya mazuri kwenye nchi.
Najua magazeti ya lostam yatamsifu na kukuponda na ya mengi pia sijui alihaidiwa vitaru vya gesi? Kuwa na imani utashinda tu.
great thinker kama wewe au kama nani?chambua hoja sio majibu ya mkato. au umejibu kichwa cha habari tu. Unatakiwa kuwa great thinker