Kaka uko sahihi,kwanza magufuri kukaa meza ya maridhiano na lowasa ni weakness hizo,na pindi akiwa karibu yake atamhujumu ili aonekane kwamba si mtendaji mzuri na alibebwa tu,kumbuka kuna chanzo cha habari kimeandika kwamba huyo mamvi alikuwa anamzunguka mheshimiwa raisi pale alipokuwa anawateua wakurugenzi,wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa kwamba mheshimiwa rais hakupenda kuwateua hao watu isipokuwa yeye mamvi alijinasibu kuwapigia debe wateuliwe hivyo akawa anajenga kwake kwa mheshimiwa raisi anamvurugia,pia kauri ya raisi mstaafu ktk kikao cha kamati kuu kupokea majina matano toka wazee wa maadili,wakina nchimbi walipoanza zengwe kwa nini jina la lowasa halipo,raisi mstaafu alisema mwenyekiti ambaye raisi anavyanzo vya kutosha vya taarifa za watu,na anataarifa za kutosha kuhusu lowasa,na mengine ni ya aibu kuyazungumza hadharani ambayo yalifanywa na lowasa,soma mwananchi pia la leo,page ya puli au tatu