mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,171
Ukilaza wa Lumumba huu ni lini alimteua?Alimteua hadharani na sio chumbani kwa hiyo lazima aulizwe hadharani. Over
Lumumba sipajui. Anyway hata kama kateuliwa na mtangulizi wake kwa hiyo anawajibika kwa nani sasa. Aende kwa mkwere basi. Zero digits kabisa mkuuUkilaza wa Lumumba huu ni lini alimteua?
wasemaji wa CAG Mnapambana !
au aende akawe rais wa chinaEti "china google haiko huru".sasa kwani sisi wachina?
Issue Kwa sasa ipo bungeni, wabunge wanahaki ya kuibana serikali, wewe hapa unafanya siasa kwenye suala nyetiHabari wakuu.
Pamoja na yote unayokumbana nayo ktk kazi yako. Tafadhali CAG usijiuzulu.
Kitendo cha leo ulichofanyiwa ikulu mbele ya vyombo vya usalama na umma najua kimekuudhi sana.
Ila nakuomba sana usijiuzulu. Ukikosea ukafanya hivyo itakuwa Sherehe kubwa sana kwa fisadi mkuu jiwe. Hilo ndio lengo lake.
Wewe tulia pamoja na visa vyote anavyokufanyia hadharani na sirini.
Ukweli watu wameujua.
Namba hazijibiwi na porojo au vitisho na ubabe..
Swali uliloulizwa umejibu sahihi kabisa.
Ni sawa na mtu aniulize leo. Eti Ben Saanane ameuwawa. Jibu ni Hapana.
Maelezo yake ndo HAJULIKANI ALIPO.
Bado tunasema serikali iseme ipo wapi trillion 1.5?!!!
[emoji16][emoji16][emoji16],walimsifu kinyama, kuanzia Jana wameanza kumgeuka na kumwambia ajiuzuru, wajinga Sana, Majibu ya naibu waziri wa fedha, hakuna mchadema wa Zitto awezaye pangua Majibu hayo, wamebaki Jukwaani Kaa ID fake wakigugumia [emoji16][emoji16][emoji16]wasemaji wa CAG Mnapambana !
Hakumteua yeye. Japo aliteuliwa Chumban na kuapishwa hadharaniAlimteua hadharani na sio chumbani kwa hiyo lazima aulizwe hadharani. Over
na aliuliza leading question ,,, swali la ndiyo au hapana.Hii nchi niya ajabu sana nilipo ona raisi ana muuliza cag mbele ya halaiki nika zalau kabisa.
CAG hateuliwi na Rais. Nenda kaelimikeAlimteua hadharani na sio chumbani kwa hiyo lazima aulizwe hadharani. Over
sana.Inatia hasira kwa majibu mepesi
Eleza trillion 1.5 ilipo? Leo ndo umekumbuka kuwa tunaitajirisha JF!!!... Kwa nini mna wivu na utajiri wa wenzenu?Mnatajirisha jf tu! Yaani mliozoezi kick za wizi tafuteni hoja nyingine hapa ni Kazi tu!
findo gwakoMamaako
Tulia wewe siasa zako nyepesi we siyo saiz yanguEleza trillion 1.5 ilipo? Leo ndo umekumbuka kuwa tunaitajirisha JF!!!... Kwa nini mna wivu na utajiri wa wenzenu?