Hivi Mbowe kashalipa deni la NSSF??
TACAIDS ni taasisi ya serikali kama sikosei. Sasa sijui ilikuwaje taasisi hii imlipe Komba 68m. Alifanya kazi gani huko? Na ilikuwaje Ofisi ya Waziri mkuu iingilie mchakato wa benki kutaka kuuza mali za Komba?
Mwenye majibu atwambie.
Tiba
Hei,anangoma?
TACAIDS ni taasisi ya serikali kama sikosei. Sasa sijui ilikuwaje taasisi hii imlipe Komba 68m. Alifanya kazi gani huko? Na ilikuwaje Ofisi ya Waziri mkuu iingilie mchakato wa benki kutaka kuuza mali za Komba?
Mwenye majibu atwambie.
Tiba
Hivi Mbowe kashalipa deni la NSSF??
Hivi Mbowe kashalipa deni la NSSF??
Msambaza ukimwi anapolipiwa deni lake la kununulia malaya na Taasisi ya UMMA ya Kupambana na Ukimwi.
Haya utayaona na kusikia Tanzania tu
Shule gani itauzwa kwa hela hizo? labda ni shule ya mabox ...kwani hata kiwanja chenyewe hakiwezi kuwa cha bei hiyo, may be is advanceTacaids wamenunua ile shule kwa ajili ya kutoa elimu wa watu walio athirika
hadi magitaa anayo, uwe na bendi ukose ngoma?
Ulikuwa hujui mkuu?!Hei,anangoma?
Yericko Nyerere,
Kwa kauli yako unaweza kupelekwa mahakamani moja kwa moja. Una uhakika gani kwamba Mh Komba ana ukimwi?, hata kama anao kausambaza vipi?, kwanani na lini?.
Jamani tafadhalini sana tusitoke nje ya maadili wakati tunajadili mambo hapa JF. Mh Komba ni binadamu, ana watoto, ndugu, jamaa na marafiki. Baadhi wanapita hapa JF hivyo si hekima kumshambulia Mh Komba bila kuwa na uhakika. Hata kama una uhakika kwamba Mh Komba ameathirika bado huna haki ya kuja kumdhalilisha hapa JF. Unaweza kushitakiwa.